Kweli kabisa. Na pia wakati mtu amelewa unapata point!Nahisi kama kuna maneno ambayo Nipo weak/sensitive nayo sana ni maneno mtu akiniambia akiwa na hasira. Yani yananikaaga hapa, na honestly huwa yanabadilisha kila kitu. Mimi naaminigi mtu akiwa na hasira anakwambia vile vitu ambavyo anakuwaziaga mara nyingi ila tu huwa anashindwa kukwambia. " Life and death are in the power of the tongue"
Aah me hayo mambo ya kutishana siwezi, tumeshindwana basi kila mtu achukue time yake. Eeh tupeane break ndo kitu gani akhuuAh ah ah ah au mtu anakupa likizo ya love ah ah ah ah stupid kabisaa
Eeh akitaka space wewe Mpe na time kabisa, atacalculate velocity ya pa kukupata tenaSi ndio njia rahisi ya kutokomea.
Mambo mengine kujifanya tunaiga wazungu, tunapeana break kwani ni mpira huu, we sema am out kila mtu ashike 50 zake.Aah me hayo mambo ya kutishana siwezi, tumeshindwana basi kila mtu achukue time yake. Eeh tupeane break ndo kitu gani akhuu
Akirudi anakutana na density kabisa akose na pa kukaa.Eeh akitaka space wewe Mpe na time kabisa, atacalculate velocity ya pa kukupata tena
Hahaha huo uzungu mie umenishinda kabisaa, eti atakuta density teh tehMambo mengine kujifanya tunaiga wazungu, tunapeana break kwani ni mpira huu, we sema am out kila mtu ashike 50 zake.
Akirudi anakutana na density kabisa akose na pa kukaa.
Love love. Yaan ukiingia sehemu ambayo chaka unaweza pata wazimuu. Bora uchelewe kuingia ktk ndoa uingie sehemu sahihiAah me hayo mambo ya kutishana siwezi, tumeshindwana basi kila mtu achukue time yake. Eeh tupeane break ndo kitu gani akhuu
Maisha yenyewe mafupi haya hizo break utazifidia wapi? Bora red card nijue sichezi tenaaa nikajipange upya.Hahaha huo uzungu mie umenishinda kabisaa, eti atakuta density teh teh
Thank you darlin. Kosea kote, fanyia majaribio kokote ila sio kwenye ndoaLove love. Yaan ukiingia sehemu ambayo chaka unaweza pata wazimuu. Bora uchelewe kuingia ktk ndoa uingie sehemu sahihi
Ah ah ah msamehe bure. Bt if alikua anamaanisha ipo siku atayarudia akiwa hana mimbaLeo tu nimeambiwa hayo maneno mchana na wife lakini kwa sababu ana mimba changa nimemchukulia poa tu
Yaaan my dear unaweza juta y nimeolewa hapa. Better uchelewe kuolewa uingie sehemu sahihi kuliko kuwahi unaingia sehemu matesoo tu manyanyaso mia kidogo. Ndoa ni zaidi tunavyoijua. Mungu atusaidie ktk hilo. Utakuta mtu anaomba Mungu mwenzie afe ili awe free. Mungu tunaomba rehema.Thank you darlin. Kosea kote, fanyia majaribio kokote ila sio kwenye ndoa
Cha muhimu ni kumuomba tu akupe "mtu sahihi". Japo changamoto hazikosekani lakini ukiwa na mume/mke uliyepewa na Mungu, ndoa yenu haitakuwa ya kawaida kawaidaYaaan my dear unaweza juta y nimeolewa hapa. Better uchelewe kuolewa uingie sehemu sahihi kuliko kuwahi unaingia sehemu matesoo tu manyanyaso mia kidogo. Ndoa ni zaidi tunavyoijua. Mungu atusaidie ktk hilo. Utakuta mtu anaomba Mungu mwenzie afe ili awe free. Mungu tunaomba rehema.
Kabisaaaa. Hata kama kuna shida neema ya Mungu itawabeba tuu. Kuna wepesi fulani mtauonaCha muhimu ni kumuomba tu akupe "mtu sahihi". Japo changamoto hazikosekani lakini ukiwa na mume/mke uliyepewa na Mungu, ndoa yenu haitakuwa ya kawaida kawaida
Pole sana. Kajieleze tuu ataelewa mueleze situation uliyokua nayo thus y ukamjibu vile. Bt ukome cku nyingine ucrudiejana mama mtoto alikuwa analalamika mm nishavurugwa na mambo yangu nilipotoka nikamjibu kuwa "Nimechoka na haya mapenzi ya namna hii" ebanah ile kauli sikuisema nikiwa serious sana japo nilikuwa nimekasilika matokeo yake akalala sebuleni kwenye kochi na mtoto na alikataa kabisa kuongea na mm pamoja na kumbembeleza kote usiku kucha matokeo yake leo asubuhi kanichunia mpaka naondoka nyumbani sikupewa hata salamu...
Kila nikim-text ajibu na simu zangu hapokei hapa naenda nyumbani kinyonge sijui nini kitatokea maana huyu bibie hajawahi kuwa mkali hivi hata siku huu ni mwaka 3 ngononi
We hebu usimsumbue mungu wa jf bwana, si ulishaambiwa amechoka?Cha muhimu ni kumuomba tu akupe "mtu sahihi". Japo changamoto hazikosekani lakini ukiwa na mume/mke uliyepewa na Mungu, ndoa yenu haitakuwa ya kawaida kawaida
"Naregret sana kukuoa, kwanza sikuwahi kukupenda nilikosea tu njia, mi nilikuwa nampenda yule dada mfanyakazi mwenzangu ila sijui hata nilitokana wapi na wewe usie na mbele wala nyuma hadi nikaachana na yule dada." sijui uliniloga?" haya ni maneno alikuwa anaambiwa jirani yangu na mume wake.
Ni kweli Ndoa zina changamoto nyingi sana tu ila ukiwa kama mwanandoa panapotokea kupishana na mume/mke wako chunga sana ulimi wako maana maneno mabaya utayosema yana nguvu sana.Yanaweza punguza au kuondoa kabisa upendo kwa mwenzako.
Ndio una hasira,mwenzio kakuudhi sana ila yakupasa uchunge maneno usemayo,ni afadhali mara mia kama una hasira usiongee kabisa.maneno kama haya "najuta kuwa na wewe "au "sikuwahi kukupenda" ni maneno ambayo yana uzito sana kiasi cha kuweza kupunguza upendo au kuondoa kabisa upendo kwa anayeambiwa.
Mwanandoa chunga sana pale unapokuwa na hasira maana hasira zinaweza kuja kukuponza.
Tunalalamika sana ndoa ni mbaya ila ni maneno mabaya tunayoambiana tukiwa ndani ya ndoa ndo yanayomaliza ndoa zetu. usitegemee eti umwambie mwenzio sikuwahi kukupenda halafu baadaye ukaja kusema zilikuwa hasira kama atakuja kuwa sawa,hata ukiomba msamaha hili neno bado litamsumbua sana ni neema tu ya Mungu ndo itakuja kumuondoa na kufanya asahau na kuwa normal.
Jamani mwanandoa pima maneno unayomwambia mwenzio wakati ukiwa na hasira.Usiropokeropoke tu.
Exactly loveKabisaaaa. Hata kama kuna shida neema ya Mungu itawabeba tuu. Kuna wepesi fulani mtauona
Hahaha naomba tu kwenye list ya wasumbuaji sugu nisikose, maana sina mpango wa kuacha Usumbufu kwa Mungu wanguWe hebu usimsumbue mungu wa jf bwana, si ulishaambiwa amechoka?