Chunga sana ulimi wako mwanandoa

Kama kuna jambo wanaume wanakosea ni kudhani wanawake ni wajinga....
Kweli Vale huwa wanahisi ujinga wao huwa hatuwezi kuutambua huwa tuna nyamaza tu,mara nyingine mtu anajitutumua na kutafuta sifa mbele za watu unakuta mwanamke analia ananyamaza aisee siku akikuchoka utaamka pumbu hazipo,
 
Siwezi kusahau niliambiwaga
'are you a blessing or a curse?'
 
Kweli Vale huwa wanahisi ujinga wao huwa hatuwezi kuutambua huwa tuna nyamaza tu,mara nyingine mtu anajitutumua na kutafuta sifa mbele za watu unakuta mwanamke analia ananyamaza aisee siku akikuchoka utaamka pumbu hazipo,
We acha tu,pale moyo wa uvumilivu unapogeuka kua moyo wa jiwe ni kasheshe
 
Juzi jamaa angu alikwazana na mke wandoa na wtt2 chaajabu mke alikua anatoa maneno makali sn,nanuakuu"unajifanya mjanja mtu mwenyewe fara tu huna hata kibanda kwenu maskini wakubwa,lione umefahamu kuvaa box wajiona wamaana,mtu mwenye sura mbaya ulinioa tu kwa sababu ya vihela vyako zaidi usingenipata wewe" kwali hizi mambo ziko kwa jamii
 
Mimi nishawahi Kuambiwa '''bora angenioa fulani kuliko kuja kuishi hapa na wewe, najijutia na nitajuta milele'''' niliumia sana tena sana ukicheki huyo fulani mwenyewe alikuwa ndio msuluhishi wangu.. Licha ya kujakutambua kosa lake na kuomba msamaha lakini alikuwa ameshachelewa kwani nilishakiweka kitu moyoni
 
Kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake.
 
Hasira. Mtu anaongea ukwel awapo na hasira. Mm nikiambiwa kitu mtu akiwa na hasira najua huo ndio ukwel halisi. True colour inaonekana mtu awapo na hasira
 
Mtu anakwambia i dnt know when i wil stop loving u cz my love is not permanent. One of my frnd aliambiwa hiv.aah nikamtel achana na mtu huyo cz hajielewi. Bora umuache kabla hajakuacha. Halafu baadaye anarud anamuomba msamaha et alikua na stress x wake anaolewa. Nikamtel tupa kule mwanaume suruali huyo. Muwe makini na maneno jamn.
 
Hasira. Mtu anaongea ukwel awapo na hasira. Mm nikiambiwa kitu mtu akiwa na hasira najua huo ndio ukwel halisi. True colour inaonekana mtu awapo na hasira
Ahsante mpendwa
Kuna wale mkigombana tu kidogo "let's give us each other some space", aisee me ndo nitolee hiyo,
 
Utasikia "najuta kuolewa na wewe.....una gubu, bahili, hunipendi"
Haya ni maneno common sana kwa wanawake
Uliyasikia wapi my lovely kaka? Just curious
 
Ukiwa na hasira, ukizinguana na mwenzi best solution ni kukaa kimya, ukimya unaepusha mengi mnoo
Ukiwa na hasira mpaka kuja kufikiria kukaa kimya ushaharibu zamanii, ni kipaji ati!!
 
Bado unakumbuka hadi leo? Pole mwaya ulimi kiungo kidogo lakin unaweza washa moto usiozimika
 
Leo tu nimeambiwa hayo maneno mchana na wife lakini kwa sababu ana mimba changa nimemchukulia poa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…