Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
hilo kufuli linafunguliwa kwpassword, si unajua tena jiji hili kila mtu ana funguo malaya!!!!tabu itakuja pale utakapo poteza funguo ila hiyo haisaidii pale utakapopigwa roba ya mbao
Usikute gharama ya kufuli ndiyo kubwa kuliko hata ya simu.Usikute gharama ya hiyo simu sawa na bei ya kiwanja mbagala
sasa hii Simu ni ya kwako Mkuu bujibuji?
Usikute gharama ya kufuli ndiyo kubwa kuliko hata ya simu.