Jamani Chumvi na sukari vinapanda bei??
Vitu vinapanda bei, je mishahara imepanda?
Kama kuna mfumuko wa bei, na mishahara imeongezeka??
Kauli mbiu ile ishakufa....Maisha bora kwa kila Mtanzania ulikua hujui?
Wananchi fungeni mikanda tujenge Taifa Letu changa.
Tuvumiliane kwa miaka 5 tu mambo yatakuwa shwari,
Msiwasikilize chadema in Vizabizana na wachochezi
Tudumishe Amani na Utulivu
Wananchi fungeni mikanda tujenge Taifa Letu changa.
Tuvumiliane kwa miaka 5 tu mambo yatakuwa shwari,
Msiwasikilize chadema in Vizabizana na wachochezi
Tudumishe Amani na Utulivu
jamani chumvi na sukari vinapanda bei??
Vitu vinapanda bei, je mishahara imepanda?
Kama kuna mfumuko wa bei, na mishahara imeongezeka??