Hahaaa, hata mimi niko ivo, hata nikiviona kwa mafundi naviwazia hivyo.Wewe ukishaona kitanda tuu unawaza matusi
Msimu wa vuguvugu, si wajoto si wabaridi mkuu😎😎😎Msimu wa kulala hapo ni msimu gani?
Msimu wa vuguvugu, si wajoto si wabaridi mkuu😎😎😎
Si ni adivencha hiyo Beef Lasagna ? Wazungu wanapeeenda majambo ya adivencha, hapo atalala na sweetheart wake na matusi watafanya hata kama walinzi watajificha kwenye kale kamlima wanapiga kideo, walaa hawajliKulala nje siwezi bora jumba la makuti .hata Bure nisingeweza
Adivencha hiyo mkuu, mara mojamoja kwenye life time sio mbayaHapo si ni kama umelala nje.
Wanafanya hivyo wakati wa joto kali usiku(Summer time)Mvua ikija je?
Kuingiza wapi na unaona hakuna ukuta?kuingiza demu inaruhusiwa??
Shida yake ni kuingiza tuu, utawaweza hawa Mkuu.Kuingiza wapi na unaona hakuna ukuta?
Ni mwendo wa vichakani tuMaliwato yao yapo sehemu gani? Bafu jee?
Au Ndo utawala binafsi?
Ni mwendo wa vichakani tu
Nawaachia advecha yao hao wazungu Mimi mswahili wa temeke vimenishinda kwakweliSi ni adivencha hiyo Beef Lasagna ? Wazungu wanapeeenda majambo ya adivencha, hapo atalala na sweetheart wake na matusi watafanya hata kama walinzi watajificha kwenye kale kamlima wanapiga kideo, walaa hawajli
Sio kuingiza!! Sema kuja naye. Si unaambiwa hakuna ukuta. hahahahahahahah.kuingiza demu inaruhusiwa??
Mbona bado mdogo wewe, umri wa kujifunza mambo mapya bado haujkupita banaNawaachia advecha yao hao wazungu Mimi mswahili wa temeke vimenishinda kwakweli
Sio kulala nje kama mapopo jamaniMbona bado mdogo wewe, umri wa kujifunza mambo mapya bado haujkupita bana
Kwani hata waswahili wa Temeke si wanavigodoro vyao? Watemeke wanaenda kumwaga radhi Tegetaaa, anawajua nani huko😛
Maisha ndio hayahaya Beef Lasagna
Hahahaaaa, si ni siku moja tu banaa, utakua na lipi la kuwahadthia wajukuu uzeeni sasa?Sio kulala nje kama mapopo jamani
hahahaha akija c anavua viatu lakini ndo anakua kashaingiaSio kuingiza!! Sema kuja naye. Si unaambiwa hakuna ukuta. hahahahahahahah.