GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,583
- 108,936
Pape Ousmane Sakho, Kibu Denis na Medie Kagere watafunga Magoli mpaka Watachoka kwani mwenye Pasi zake na Fundi wa 'Miauta' Raia wa Zambia ameshatua nchini.
Kuna Watu sasa naona ile nia yao ya Ubingwa inaenda Kutoweka na tayari Coastal Union FC ya Tanga wameshaapa, kulishana Yamini na kusoma Kisomo na Jumapili kuna Watu wanaenda kupoteana mazima huko Tanga Mkwakwani Stadium Kudadadeki.
Kuna Watu sasa naona ile nia yao ya Ubingwa inaenda Kutoweka na tayari Coastal Union FC ya Tanga wameshaapa, kulishana Yamini na kusoma Kisomo na Jumapili kuna Watu wanaenda kupoteana mazima huko Tanga Mkwakwani Stadium Kudadadeki.