stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 604
- 1,236
Chukua hii Unapojenga gholofa je umwage nguzo kwanza au uanze tofali kujenga kwanza ndipo umwage nguzo?
karibu chukua hii mbinu moja ya ujenzi ya kupata kitu cha kisasa na bora hasa kama unajenga gholofa.
Unashauriwa umwage nguzo kwanza.
kwanini
sababu ni kwamba ili cement ifikie ubora wake ni lazima ipate curing ya siku zinazohitajika.
Sasa ukianza na nguzo zitapata uimara na nguzo zitafikia ubora wake ila ukianza kujenga tofali kwanza na kwenye kona au kati ya tofali ndipo umwage nguzo kuna upande wa nguzo hautapata maji ya kutosha
Kama mchoro umerazimisha uanze tofali kwanza basi anza la sivyo hii ndio njia ya kisasa na rahisi kupata uimara sahihi
asante.
Eng James
Karibu sana mkuu!
Huduma zetu ni kama zifuatavyo:
-Tunachora ramani za Nyumba
-Tunaandaa Bill of Quantities (BOQ)
-Tunafanya Interior Design
-Tunatoa ushauri juu ya ujenzi (Consultancy)
-Tunasimamia ujenzi wa nyumba
Huduma zetu zote ni za bei nafuu na himilivu!
0743257669
Angalia baadhi ya kazi zetu hapa
karibu chukua hii mbinu moja ya ujenzi ya kupata kitu cha kisasa na bora hasa kama unajenga gholofa.
Unashauriwa umwage nguzo kwanza.
kwanini
sababu ni kwamba ili cement ifikie ubora wake ni lazima ipate curing ya siku zinazohitajika.
Sasa ukianza na nguzo zitapata uimara na nguzo zitafikia ubora wake ila ukianza kujenga tofali kwanza na kwenye kona au kati ya tofali ndipo umwage nguzo kuna upande wa nguzo hautapata maji ya kutosha
Kama mchoro umerazimisha uanze tofali kwanza basi anza la sivyo hii ndio njia ya kisasa na rahisi kupata uimara sahihi
asante.
Eng James
Karibu sana mkuu!
Huduma zetu ni kama zifuatavyo:
-Tunachora ramani za Nyumba
-Tunaandaa Bill of Quantities (BOQ)
-Tunafanya Interior Design
-Tunatoa ushauri juu ya ujenzi (Consultancy)
-Tunasimamia ujenzi wa nyumba
Huduma zetu zote ni za bei nafuu na himilivu!
0743257669
Angalia baadhi ya kazi zetu hapa