Bila shaka wewe ni mwanamkeSidhani kama ni kweli kwamba Wanawake wana chuki dhidi ya Wanawake wenzao klk Wanaume walivyo na chuki dhidi ya Wanaume wenzao, sioni ushahidi wa unachokisema kwani Wanaume wengi wanauliwa, kuumizwa, kuibiwa, kudhurumiwa na Wanaume wenzao na siyo Wanawake hivyo kama ni kweli kwamba Wanaume wanapendana basi Jela wangeajaa Wanawake waliotendwa na Wanawake.
Isitoshe Wanawake hata wana uwezo wa kujenga urafiki baina yao klk Wanaume, ukiangalia Wanawake wengi wana marafiki wa kweli ambao Wanawake wenzao ambao huwa nao wakati wa shida kuliko Wanaume!
Usiangalie kutendwa tu, tunazungumzia mzunguko mzma wa maisha kwa mwenendo wa tabia ilivyo wanawake kwa wanawake...Ingekuwa ni kweli basi Jela ingejaa Wanawake ambao wametendwa na Wanawake wenzao, lkn ni kinyume chake, kwanza Wanawake wanaopigania Wanaume ni wachache sana kulinganisha na Wanaume kwa Wanaume wanaopigana na kudhuriana shauri ya Mwanamke!
Usiangalie kutendwa tu, tunazungumzia mzunguko mzma wa maisha kwa mwenendo wa tabia ilivyo wanawake kwa wanawake...
Mim sijataka kusema kuwa ni wote hapana ila asilimia kubwa wapo hvyo..
Wanaume kuwa jela, pia inaweza tokana na wanawake juu ya wanawake wenzao kwa wanaume.
Fungua uzi kuhusu wanaume watakujaMmekariri tu na mkawaaminisha wanawake hivyo, hivyo hata likitokea la kutokea kwasababu za kibinadamu tu mnahitimisha hivyo. Mbona wanaume wanaongoza kugombana,kuchukiana hata kuuana wao kwa wao.
Sijakalili Bali nimeelewa kwa hivo nitajibu kwa kutumia fikra zangu pasipo kutegemea ya MTU.Unajua itahusu nini?
HujanielewaWenzio wanaikataa hyo hali.
Well said.Sijaelewa hata hiyo kichwa cha habari na yaliyomo ndani kama yanahusiana.
Kuhusu kwenye hizo daladala mie naona kwa kuwa mshajua wanawake ndio tupo hivyo ni vyema nyie wanaume mkazidi kuwa na mioyo ya huruma ili aibu yetu ipate kufichika.
Sababu ikitokea mwanamke mwenye mimba sijui mzee kasimama halafu we mwanaume unampisha akae haitokaa zikaonekana roho mbaya zetu.
Mbona kama unajibu kwa kebehi xana?Sijaelewa hata hiyo kichwa cha habari na yaliyomo ndani kama yanahusiana.
Kuhusu kwenye hizo daladala mie naona kwa kuwa mshajua wanawake ndio tupo hivyo ni vyema nyie wanaume mkazidi kuwa na mioyo ya huruma ili aibu yetu ipate kufichika.
Sababu ikitokea mwanamke mwenye mimba sijui mzee kasimama halafu we mwanaume unampisha akae haitokaa zikaonekana roho mbaya zetu.