Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Mkuu ngoja niwaongeze na wengine kwenye orodha yako Mama Sabrina na Demiss kwa nini mnakuwa na tabia hii??
Mkuu ngoja niwaongeze na wengine kwenye orodha yako Mama Sabrina na Demiss kwa nini mnakuwa na tabia hii??
Ahsante.Nakubaliana na we Dada.
sasa mwisho wa siku mnakua mnatupa shida sisi tunaowazunguka jaman kwa nn mnakua hivo.Kwamba wamenuniana miaka yote hiyo
Ni kama mimi nikiamua kumfuta tu hata neno langu hayolisikia abadan hata mpaka tunakufa
Mi sijui naenda hii hali nairekebisha kidogo ,,mim huwa najishusha chini lakin pia inategemea na kosa kuna makosa yakivuka mipaka sitskusemesha nikikukuta na wengine nasalimia wengine we nakuacha ,tunavinyongo vikali sana nadhanisasa mwisho wa siku mnakua mnatupa shida sisi tunaowazunguka jaman kwa nn mnakua hivo.
Pamoja sana mkuuInafaa kuwa hvyo mkuu
Hongera
na hili nae ajue kama umemtema kweli kweli ndo unapita karibu yake kabisaa na hata sura humuangalii..........daaaahh.....Mungu awaponyeMi sijui naenda hii hali nairekebisha kidogo ,,mim huwa najishusha chini lakin pia inategemea na kosa kuna makosa yakivuka mipaka sitskusemesha nikikukuta na wengine nasalimia wengine we nakuacha ,tunavinyongo vikali sana nadhani
Ni ngumu sana kutuelewa maana hata sisi wakati mwingine hatujui tunataka nini... Ndio maana hata Mungu aliwaagiza " ishini nao kwa akili" hivyo anajua kilichopo kwa mwanamke.
Eheeee yaan awe anakuona mnaongea na wengine kwa furaha kabisana hili nae ajue kama umemtema kweli kweli ndo unapita karibu yake kabisaa na hata sura humuangalii..........daaaahh.....Mungu awaponye
unakuta walonuniana wote rafki zangu na ndo wote watu tupo sehm moja......mfno kipnd hcho chuo ndo mpo group discussion afu watu hawaongei......nlikua nakwazika sana afu napata tabu kinomaEheeee yaan awe anakuona mnaongea na wengine kwa furaha kabisa
Sasa nyie mnapataje shida?
Kuna siku sisi tulihama hiyo hotel na tukawachamba juu wanahudumia wanaume tu sisi tumefika tunaangaliwa tuWanawake hatupendani,tena tuna wivu na chuki zisizo na sababu,na mara nyingi ukichunguza unakuta anayekuchukia umempita maisha kwenye kila kitu!akikuona anatamani akumeze.
Kwenye masuala ya huduma mfano hotelini au bar unaweza ukafika ukachelewa kupata huduma kwa kigezo tu we ni mwanamke hii inanikutaga mara nyingi haukaribishwi vizuri kama wanaume wanavyofanyiwa.Wivu na husda ndo zinatusumbua.
Ahahahahaahahunakuta walonuniana wote rafki zangu na ndo wote watu tupo sehm moja......mfno kipnd hcho chuo ndo mpo group discussion afu watu hawaongei......nlikua nakwazika sana afu napata tabu kinoma
Mie nimeshahama sana! Unafika hotel unakaa hadi dk tano huoni anayekusikiliza meza yako wanaipita kama hawajaiona shenzy zao kabsa sijui wanafikiri hatuna pesa za kulipa au ni wivu tu unawasumbua.Ndio maana napenda kuwashaur wamiliki wa hotel waajiri tu wakaka maana wengi wako very humble,sidhan nao kama wanawaletea pozi vidume wenzao.Kuna siku sisi tulihama hiyo hotel na tukawachamba juu wanahudumia wanaume tu sisi tumefika tunaangaliwa tu
Hasa wakioma mzungu shogaa ataenda kusikilizwa kwanza mzungu nyie msubiri
Kazi kweliiMie nimeshahama sana! Unafika hotel unakaa hadi dk tano huoni anayekusikiliza meza yako wanaipita kama hawajaiona shenzy zao kabsa sijui wanafikiri hatuna pesa za kulipa au ni wivu tu unawasumbua.Ndio maana napenda kuwashaur wamiliki wa hotel waajiri tu wakaka maana wengi wako very humble,sidhan nao kama wanawaletea pozi vidume wenzao.