Chuki ya Kagame kwa Rais Kikwete ilianza siku nyingi, soma hapa....

I'm speechless!

Ben,Wewe ni Extrimist na CDM wasipokudhibiti ipo siku utingiza nchi yetu vitani na majirani zetu.Leo nimethibitisha kwa wale waliodai una chuki na wazungu kwenye ule uzi unaohusu message ya Assad kwa Tanzani na jinsi ulivyomtetea na kulaani wazungu.Kumbe ndiyo maana ukiwa chuo ulikua na sifa hii ya kugombana na watu wa mataifa mengine hata darasani kwenye mihadhara kwa sababu tu wameongea negative kuhusu Tanzania?naanza kumuamini Eddah kishimba kauli na Matamko yake juu ya extrimism yako.Be moderate my young brother.Maextrimist wengi waliishia kuwa kama Hitler na Julius Malema

Wewe nawe unaboa!
 
Thank you.

Morgan Tsavangirai sijawahi kumkubali na post zangu kuhusu huyu mpinzani toy ambaye ni mouthpiece ya western imperialists zipo humu JF na kila nikiandika kuhusu huyu desperate puppet huwa baadhi ya wana-JF wananiweka matatani. Heri Simba Makoni na MDC itakuaopposition ya Kweli pale akina Tendai Biti watakapo-take over na kuimarisha institutional mechanism ya kui-challenge status quo.Meanwhile ni misimamoya Mugabe iendelee kuliko misimamo ya kibaraka Morgan aliyekubali masharti ya Ushoga kitu ambacho Mbwa na Nguruwe hawawezi kufanya huyu ni ovyo kuliko Nguruwe.Si kawaida yangu kuwabeza wapinzani lakini hawa ni wa ovyo kama walivyo wapinzani wa Ahmedjad kule Iran ambao naona Rafsanjani(former president) amewaunga mkono,wapinzani wengine wa ovyo ni wale wa Syria kama walivyokua wendawazimu wa Benghazi waliomuondoa Ghaddafi kiboko ya Mabeberu wakisaidiwa club ya wahuni wa magharibi na Marekani (NATO),

Hapa kwenye Case yetu,Kagame ni Tatizo.Huyu expansionist sijui anapata wapi audacity ya kutoa matusi haya kwa Kikwete,Ujasiri wa kuongelea Genocide anautoa wapi maana hata yeye ni culprit maana katika walioongoza mauaji ya akina Raiis Habryiamana yeye ndiye aliyekua front kwa mujibu wa mkuu wake wa Inteligensia wa zamani Jenerali Nyamwasa anayeishi Exile South Africa.

Akitaka kujua kuwa Watanzania tunaipenda nchi yetu aendeleze upuuzi aone tutakavyoungana kumfutilia mbali na vibaraka wake.Hadi muda huu sijaona kauli kali ya waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe.Kauli za Kagame ni very undiplomatic na huwezi kukurupuka kutoa kauli kama zile wakati Kikwete alikua akiongelea kwa maslahi mapana ya ukanda huu.Kenya na Uganda sasa walinywe maana ndiyo walikua makuwadi wa Rwanda katika kuhakisha wanapata admission EAC.Hata katika voting they always votes katika line ya Kenya na Uganda kwa gharama ya Tanzania kama Member State.

Namshangaa Kagame kwa kujifanya anayakoromea mataifa ya magharibi kinafiki hasa wanapojadili kuhusika kwake na mauaji ya kimbari,Yeye anawaita kuwa ni wakoloni na huku aki-enjoy matunda ya ukoloni kwa hiyo title aliyo nayo ya Urais.Hajui kwamba kama sio wakoloni waligawa eneo hili leo pengine angekua kama mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo tu maana Rwanda ingekua Mkoa wa Tanganyika hadi leo.


Shameless Muderous!!!
Hapa kwenye desk langu nina mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya kuganga njaa lakini natamani HERI NILALE SASA HIVI ili nisijie ubongo wangu ukawa spoiled na posts zingine coz' nikilala sasa, nitakuwa nimelala kwa amani; peace resulted from word to word of your post as I do agree with it kwa 100%+.

Hakika acha niongeze faraja yangu kwa kumkumbuka huyu hapa:
I don't know if the Cuban revolution will survive or not. It's difficult to say. But [if it doesn't] . . . don't come looking for me among the refugees in the embassies. I've had that experience, and I'm not ever going to repeat it. I will go out with a machine gun in my hand, to the barricades. . . I'll keep fighting to the end.
Ernesto 'Che' Guevara quotes

All can I say is REST IN PEACE COMRADE CHE GUEVARA coz Cuban Revolution Not ONLY do SURVIVE but BUT IT LIVE since the day you left!!
 
Hapa kwenye desk langu nina mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya kuganga njaa lakini natamani HERI NILALE SASA HIVI ili nisijie ubongo wangu ukawa spoiled na posts zingine coz' nikilala sasa, nitakuwa nimelala kwa amani; peace resulted from word to word of your post as I do agree with it kwa 100%+.

Hakika acha niongeze faraja yangu kwa kumkumbuka huyu hapa:
I don't know if the Cuban revolution will survive or not. It's difficult to say. But [if it doesn't] . . . don't come looking for me among the refugees in the embassies. I've had that experience, and I'm not ever going to repeat it. I will go out with a machine gun in my hand, to the barricades. . . I'll keep fighting to the end.
Ernesto 'Che' Guevara quotes

All can I say is REST IN PEACE COMRADE CHE GUEVARA coz Cuban Revolution Not ONLY do SURVIVE but BUT IT LIVE since the day you left!!
Thank you my Comrade.Have a goodnight!
 
Mnazungumzia kibaraka? Hivi kuna kibaraka kwetu hivi leo zaidi ya Kikwete? Amejiuza kwa Wamarekani, ameuza jeshi letu kuwa mamluki wa Marekani, leo mna uthubutu wa kuzungumzia vibaraka? Angalau Kagame anahudumia maslahi ya nchi yake.
Sina hakika endapo Kagame nae ni kibaraka ila nililo na uhakika nalo ni kwamba Kagame ni Muuaji asiye na tofauti yeyote na wauaji kama George Bush! Hakuna maslahi ya nchi yanayoweza kuwa justified na vita !! Congo DRC hapakaliki kwa ajili ya Kagame na wenzake, hili lipo wazi na kamwe haliwezi kuwa na justification. Kikwete anaweza kuwa tatizo kwa Tanzania lakini Kagame ni tatizo kwa ukanda mzima wa maziwa makuu!! Congo haitawaliki kwa sababu ya Kagame na Kagame hafanyi haya kwa ajili ya wananchi wake bali kwa ajili ya uroho wake wa expansionism.
 
Mengi sana yanasemwa kuhusu Jakaya humu,na mara nyingi maoni yanayotolewa dhidi ya Jakaya ndiyo fasheni siku hizi.Kwamba kila jambo baya hapa Tanzania linafanywa na huyu bwana,mimi simjui na wala sina uhusiano naye kabisa lakini nadhani kumtukana,kumpinga,kumkejeli,kumshutumu sio njia njema ya kumkosoa.
 
Huyu kagame rwanda kwenyewe wanalia wansema ni kibaraka wa Uganda na kila kitu rwanda wameshikilia wa Baganda nadhani ni ndugu na musaeven hawa watu. Na ndio walio muweka hapo alipo.
 
Sina hakika endapo Kagame nae ni kibaraka ila nililo na uhakika nalo ni kwamba Kagame ni Muuaji asiye na tofauti yeyote na wauaji kama George Bush! Hakuna maslahi ya nchi yanayoweza kuwa justified na vita !! Congo DRC hapakaliki kwa ajili ya Kagame na wenzake, hili lipo wazi na kamwe haliwezi kuwa na justification. Kikwete anaweza kuwa tatizo kwa Tanzania lakini Kagame ni tatizo kwa ukanda mzima wa maziwa makuu!! Congo haitawaliki kwa sababu ya Kagame na Kagame hafanyi haya kwa ajili ya wananchi wake bali kwa ajili ya uroho wake wa expansionism.

Nas Daz,
Ukitaka kuelewa tatizo la Kagame anza na mipango ya Ufaransa na Mobutu kuwakaribisha Interahamwe Congo. Ni kama vile Wanazi wa Hitler wangepata mahali pa kukimbilia baada ya kuwaua Wayahudi. Kagame leo yuko mashariki mwa Congo kwa sababu huko ndiko walikokimbilia interahamwe ambao leo wanajibanza kama FDLR kumbe ni wauaji tu katika ngozi ya kondoo. Take away the interahamwe from eastern Congo and then you have the legitimacy to criticize Kagame. Manazi waliwindwa kila mahali walipokimbilia. This is what the likes of Kikwete should be doing and not encouraging Kagame to talk to his murderers.
 
Mwisho wake kagame unakuja dunia ya leo siyo ya kuongoza kwa nguvu anajidanganya tu.

dunia ya leo si ya kuongozwa kwa nguvu?
Waulize wana Ntwara Nchimbi anawaongozaje.
Uliza walioshuhudia mtu akilipuliwa bomu Iringa, muulize Ulimboka na Madaktari wenzake, muulize Kibanda, wewe pita pita na kila baada ya hatua kadhaa uliza yeyote.
 
Ningekua Amiri Jeshi Mkuu leo hii nisingefanya jambo lingine zaidi ya kum-finance Jenerali Kayumba Nyamwasa kumpindua huyu Bloody Thirsty Dictator Kagame na kule Malawi ningeelekeza Nguvu kwa Prof.Peter Mutharika afutilie Mbali kibaraka mkubwa wa Mabeberu Joyce Banda(shame of Africa) wakati huo huo nikitumia vein tactic ya umuhimu wa Diplomasia

Moral Authority....there is a very small thin line (microline) between....
 
Unataka kusema majeshi ya uasi ya mulugo yalifika hadi ikulu ya zimbabwe?

Ikulu iletekwa kwa siku nzimaa,MULUGO akiwa South Africa akaitisha press conference na kuitangaza zimbabwe ni sehemu ya Muungano tena akaenda mbali akasema kuanzia siku ile zimbabwe itakuwa inaitwa kisiwa wakati akifikiria jina zuri la kuipa....huruma tu ya kikwete ndo ilimrudisha mgabe madarakani.
 
Tutulie tujadiliane kama taifa linapokuja swala la utaifa wetu maslahi ya vyama tuyaweke pembeni, Tanzania ikibomoka hatasalia mwana CCM au CDM wote watakwenda na maji so we have to be sure more than sure when we discuss crusial issues zinazoweza kubomoa nchi yetu na/au uhusiano wetu kama Taifa na majirani zetu.
 
Ningekua Amiri Jeshi Mkuu leo hii nisingefanya jambo lingine zaidi ya kum-finance Jenerali Kayumba Nyamwasa kumpindua huyu Bloody Thirsty Dictator Kagame na kule Malawi ningeelekeza Nguvu kwa Prof.Peter Mutharika afutilie Mbali kibaraka mkubwa wa Mabeberu Joyce Banda(shame of Africa) wakati huo huo nikitumia vein tactic ya umuhimu wa Diplomasia

Naipenda sana CHADEMA, naomba wakiingia madarakani wasiwe kabisa na mawazo machafu kama haya, ya kutumia pesa za watanzania kwa ajili ya kufinance rebels.

Comments zako Ben huwa nazikubali sana nahisi hii si ya kwako, honestly!
 
This statement does not deserve comment. It is tribalistic and the kind of statements that led to the Rwandan genocide.
My Sincere Apology to all concern and I am very sorry with regretful to all humanity, kind thanks for alert.
Good luck and blessings.
 
Tutulie tujadiliane kama taifa linapokuja swala la utaifa wetu maslahi ya vyama tuyaweke pembeni, Tanzania ikibomoka hatasalia mwana CCM au CDM wote watakwenda na maji so we have to be sure more than sure when we discuss crusial issues zinazoweza kubomoa nchi yetu na/au uhusiano wetu kama Taifa na majirani zetu.

Chadema wanaita wazo lako wazo mbadala wazo lenye maana na ukweli
 
Nas Daz,
Ukitaka kuelewa tatizo la Kagame anza na mipango ya Ufaransa na Mobutu kuwakaribisha Interahamwe Congo. Ni kama vile Wanazi wa Hitler wangepata mahali pa kukimbilia baada ya kuwaua Wayahudi. Kagame leo yuko mashariki mwa Congo kwa sababu huko ndiko walikokimbilia interahamwe ambao leo wanajibanza kama FDLR kumbe ni wauaji tu katika ngozi ya kondoo. Take away the interahamwe from eastern Congo and then you have the legitimacy to criticize Kagame. Manazi waliwindwa kila mahali walipokimbilia. This is what the likes of Kikwete should be doing and not encouraging Kagame to talk to his murderers.
Jasusi,
Nikiri kwanza kwamba sifahamu lolote kuhusu huo mpango wa Ufaransa na Mobutu but let me try to connect za dots! Interahamwe waliendesha mauaji ya kimbali kule Rwanda. Waathirika wakuu wa mauaji yale ni Watusi na Wahutu wenye msimamo wa wastani! So, Interahamwe ni kundi la wauaji wa Kihutu! Kwahiyo bila shaka unataka kusema kwamba with the help of Mobutu na France, hawa wauaji wakapewa maficho Eastern Congo! Siwezi kukataa hili coz' Mobutu nae ni moja ya vibaraka ambao walitakiwa kufa kwa risasi au kuozea jela tofauti na kifo chake!!

So, unatachotaka kusema ni kwamba kwavile Interahamwe walikimbilia/walihifadhiwa Congo ndo basi tena Kagame ana haki ya kuingia Congo atakavyo!! The same language always spoken by Kagame kwamba anaingia Congo kwa ajili ya kuilinda Rwanda! This is a BIG LIE, hata kama Kagame ana haki na wajibu wa kuilinda Rwanda yake lakini haki hiyo inaishia within mipaka ya Rwanda! Kuvuka mipaka ya nchi yako na kuingia mipaka ya nchi nyingine kwa madai kwamba unaenda kuwasaka wauaji ni jambo lisilokubalika na hakuna tafsiri yoyote inayopaswa kutolewa kwa hatua kama hiyo zaidi ya kusema ni UVAMIZI! Kagame ana haki na wajibu wa kuilinda mipaka ya nchi yake lakini hana haki hata kidogo ya kuvuka mipaka ya nchi yake na kuingia ndani ya nchi nyingine kwa kisingizio cha kuwasaka waasi!

Vilevile tusisahau kwamba ni RPF ya Kagame ambayo iliwapatia silaha Banyamulenge ambao nao walianzisha mauaji dhidi ya wakimbizi wa Kihutu ambao walikimbia Mauaji ya Kimbali. Ni Kagame huyu huyu ambae aliungana na Warmonger mwenzake Yoweri Kaguta Mu7 kuleta hali ya sintofahamu hadi walipojidhalilisha mbele ya jicho la kimataifa pale walipoanza kupigana wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi ya kigeni!!

Kagame alionekana kama hero kwa kumsaidia Kabila kumng'oa Kibaraka na Dikteta Mobutu kumbe alifanya vile ili kuwafanya Wanyarwanda waliokuwa Congo wapate mahala salama pa kusihi na ndio maana alipoona Kabila amemgeuka na kuwataka Banyarwanda waondoke Congo; Kagame akaanza tena kumpiga vita Kabila!!

By the way, sioni kosa la JK kumshauri Kagame kuingia kwenye meza ya makubaliano! Kagame hataki bila shaka anaamini suluhu yake ni Vita....na hivi ndivyo walivyo WARMONGERS wote duniani! Kagame anataka ku-take advantage ya wabaya wake kutangazwa kwamba ni kundi la kigaidi na ile sheria ya wapenda vita wenzake kwamba you can not negotiate with terrorists....hiki ndicho kinachompa kichwa Kagame na ni kama amepata pa kutokea!! Lakini hata hao wapenda vita wenzake tayari wamesha-prove kwamba GUN CAN NEVER BE A SOLUTION! Wapenda vita wote lazima watatafuta sababu kama kiongozi wao mkuu BUSH alipoleta kisingizio cha kuwapo WMD ndani ya Iraq ili mradi tu apate sababu ya kuivamia! Matokeo yake, Iraq pamekuwa the worst place to live kuliko kipindi cha Saadam! Huo ni mfano tu lakini sehemu zote imekuwa hivyo. Hili nilitarajia lingekuwa funzo kwa Kagame kwamba bunduki haiwezi kuleta amani ardhini...lakini hata hivyo, si kwamba Kagame hafahamu; anafahamu vizuri sana nini anafanya!

Kagame anafahamu wazi kwamba kufanya mazungumzo ya mezani na FDLR maana yake ni kuikaribisha kwenye Meza ya Siasa za Rwanda! Na kwavile FDLR ni Wahutu na Wahutu ndani ya Rwanda ni zaidi 80% basi hii ni POLITICAL THREAT kwa Kagame na katu hawezi kuwa tayari kuruhusu hilo litokee! Hata kama Kagame amejitahidi kuuzika ukabila, lakini litakapokuja suala la sanduku la Kura, lazima kura zitapigwa kikabila tu na hivyo kuhatarisha uhai wake madarakani!
 
Last edited by a moderator:

ben saanane.this is the most radical statement i have ever seen/heard.chadema mnaandaa kiongozi hatari sana wa baadae hapa

.
nisingetegemea msimamo tofauti na huu kutoka kwako kama mwanasiasa mbishi,misimamo mikali,jeuri usiyeambilika

nakubaliana na wewe mkuu mia kwa mia
 
Back
Top Bottom