Hivi chuki dhuidi ya wana diaspora na hasa toka kwa wanasiasa na watu wenye hali nzuri za kimaisha hapa nyumbani inatokana na nini?
Cha ajabu ni kuwa mawaziri na viongozi kadhaa wa serikali ya nchi hii watoto wao wana uraia wa nchi mbili mbili japo sheria hiyo haipo. Mfano Waziri wa mambo ya nchi za nje ambaye diaspora iko chini yake, Bw Bernard Membe, watoto wake ni raia wa Canada, Sisemi kuwa kuwa na uraia wa nje ni dhambi lakini ungetegemea kuwa alikuwa na uwezo wa kuwaandikisha wanae kuwa ni raia wa Tanzania lakini alikubali waandikishwe kuwa ni raiua wa Canada. Cha ajabu ni kuwa Mheshimiwa Membe amekjuwa kimya sana huku watanzania ambao wako Diaspora wakiendelea kusulubiwa na wanasiasa na vyombo vya habari hii inanipelekea kulizia kuwa hivi chuki na husda dhidi ya wana Disapora (ambao wengi wao ni watoto wa maskini) inatokana na nini hasa?
Hivi vyama vya siasa vina maoni gani kuhusu hili suala?
Ndugu yangu malcolmX
Unapaswa kutambua kilicho nyuma ya vikwazo vya suala hili si chuki na husda kama unavyodhani...
Tena umesema wanasiasa na matajiri ndio wenye chuki na husda dhidi ya diasporas je chuki na husda yao nini dhidi ya diasporas?
Kuanzisha mada kwa mrengo huo sidhani kama utapata uchangiaji mzuri toka kwa wadau..
jaribuni kujenga hoja zenye mashiko ambazo zitawashawishi ndugu zenu kulikubali hili suala..
Nimefuatilia mijadala mingi juu ya suala hili hapa jf na nje ya jf lakini sijawahi ona diaspora yoyote akitoa hoja ya mashiko ktk uchangizi wake zaidi ya kusema tunaonewa wivu...chuki..husda n.k n.k
mbaya zaidi hamuelezi hizo chuki..wivu..husda zinaletwa na nini hasa maana hao wanasiasa mnaowashutumu wengi wana ndugu na watoto nje ya nchi....
Kwanini msibadili aina hii ya mawazo na mje na hoja mujarabu?
Membe amepigania sana hii issue kwenye katiba mpya alikwama kwanini?
Kwenda kwa maneno mepesi namna hii katika issue nzito kama hii inayowaumiza itawagharimu wenyewe...
Jaribuni kubadilika maana mi sioni chuki..husda..wivu dhidi yenu unatoka wapi na kwanini ikiwa kwenda nje kila mtu akitaka anaweza kwenda kama wafanyavyo wengine sasa hapo sijui unaweza semaje..
Binafsi issue hii inanigusa pia kwakuwa nina ndugu na jamaa Nje ila tatizo kubwa lililopo kwetu ni uelewa juu ya jambo hili kwa wadau...
Kila la kheri..
Kwani wakiwa na uraia wa nchi mbili tunaathirika vipi?Wewe si umeona hapo kwenye ramani, hapa Tanzania hao watu hawasaidii kitu. Mwaka 2011 Diaspora wa Ethiopia waliweza kutengeneza reliable electricity dam chini ya kiongozi marehemu Meles Zenawi. Kumbuka misaada mingi ya nje siyo ya nia nzuri ama ya kutuwezesha kujikomboa. Sasahivi Ethiopia wataweza kujitosheleza umeme na mwingine mwingi watauza nchi za jirani. Hawa wa kwetu wengi experience siyo nzuri, wakirudi wanakimbilia siasa na wanafanya madudu (ref. Masha, Nyalandu etc).
Halafu wengi wao huko ng'ambo ni wabangaizaji kama kina Chris Lukos, na wengine wakirudi huku hawaji kuwekeza waliyotokanayo huko, badala yake wanakuja kujificha kwenye siasa na kutafuta mianya ya ufisadi (Le Mutuz).
Watanzania ni porojo sana popote pale walipo, hawaishi kutafuta visingizio. Watu wenye nia ya kuwekeza nchini kwao hawaitaji uraia pacha kufanya hivyo. Tumewaona wapopo (wanaijeria) walioko kwenye nchi zinazokataa uraia pacha kama Norway, lakini wanaukana uraia wao na bado wanawekeza nyumbani. Acheni porojo, mjitume...ongezeni ujuzi mpate kazi za maana au muanzishe miradi yenu huko ughaibuni na mnaweza kuja huku nyumbani hata kama foreign investors (tena wengi hamjui tu, Tanzania inawajali foreign investors kuliko wazawa). Tatizo lenu wengi mmejikita kwenye "unskilled jobs" (kama vile kupiga "dish" subway, carpet cleaning, hotel room makers etc) halafu mnategemea uraia pacha utawaletea mabadiliko......no way, kama vipi mrudi tu nyumbani bado kuna ardhi kubwa tu yenye rutuba.
Uje na rambirambi zote za marehemu Dav Mwangosi,Mkuu ukiangalia asilimia kubwa ni wale wanaoogopa kupoteza nafasi zao kisiasa iwapo walio nje wataruhusiwa.
Solution kwa mtu anaetaka kuwa mwanasiasa TZ ni kuukana uraia alionao sasa na kurudi nyumbani kugombea
Mimi ni mhehe wa Kalenga, baba katokea Kalenga na mama Katokea Tosa maganga, wanangu pia ni full wahehe, sasa kesho nirudi nyumbani nione kenge yeyote ananisumbua, kwanza wengine ni wanyarwanda na warundi tu..
Mkuu ukiangalia asilimia kubwa ni wale wanaoogopa kupoteza nafasi zao kisiasa iwapo walio nje wataruhusiwa.
Solution kwa mtu anaetaka kuwa mwanasiasa TZ ni kuukana uraia alionao sasa na kurudi nyumbani kugombea
Mimi ni mhehe wa Kalenga, baba katokea Kalenga na mama Katokea Tosa maganga, wanangu pia ni full wahehe, sasa kesho nirudi nyumbani nione kenge yeyote ananisumbua, kwanza wengine ni wanyarwanda na warundi tu..
Ndugu yangu unataka kuwekwe hoja gani ili mtu adai haki yake iliyo dhahiri. Kwani hao wanaozuia wanatowa hoja gani za maana?
Iwapo Mtanzania wa kuzaliwa anaonekana ni tatizo lakini kwanini mafao yake yasiwe tatizo.
Tatizo zima ni ufinyu wa kupambanua. Kwanini ulazimishe raia wako aukane uraia wake ili kupata uraia wa nchi nyengine? Kwanini isiwe mtu kuukana uraia kwa hiyari? Iwapo mazingira yanamlazimisha raia wako kutafuta njiaya kupata kipato nje ya nchi kwanini iwe nongwa?
Majoka ya mdimu nyinyi, "tunaemdesha mambo yetu" gani hayo zaidi ya ufisadi na wizi wa mali za ummah.
Shida sio nongwa...
Shida uelewa..
Toa hoja zako ili nikukubalie au nikukatalie kulalamika hakuleti suluhu...
Uje na rambirambi zote za marehemu Dav Mwangosi,
Pia uje na doz za kutosha za ule ugonjwa wako.
Hoja inakuwa hoja pale mnajadili kitu lakini pale mmoja anapofanya kuwa yeye ni juu ya mwenziwe basi yule wa chini huwa hatowi hoja bali hutowa malalamiko.
Kama unataka hoja basi wewe mwenyewe usiwaone wanaolalamika kuwa wana kosa.
Wachukulie Watanzania hao kama wewe halafu kuzungumzie hoja.
Mkuu anza kwa kueleza nini kosa la Watanzania hao ili tuone kwanini wanastahiki kuwekwa nafasi waliyowekwa.
Kama huku kumejaa ufisadi si mbaki huko huko. Mnataka uraia wa nchi iliyojaa ufisadi. Hii nchi tutajenga wenyewe, mbona hapo kwenye ramani sijaiona Botswana, Namibia, Angola etc nchi ambazo zimepiga maendeleo makubwa kiuchumi bila hayo "mabilioni" yenu.
Ndugu yangu malcolmX
Unapaswa kutambua kilicho nyuma ya vikwazo vya suala hili si chuki na husda kama unavyodhani...
Tena umesema wanasiasa na matajiri ndio wenye chuki na husda dhidi ya diasporas je chuki na husda yao nini dhidi ya diasporas?
Kuanzisha mada kwa mrengo huo sidhani kama utapata uchangiaji mzuri toka kwa wadau..
jaribuni kujenga hoja zenye mashiko ambazo zitawashawishi ndugu zenu kulikubali hili suala..
Nimefuatilia mijadala mingi juu ya suala hili hapa jf na nje ya jf lakini sijawahi ona diaspora yoyote akitoa hoja ya mashiko ktk uchangizi wake zaidi ya kusema tunaonewa wivu...chuki..husda n.k n.k
mbaya zaidi hamuelezi hizo chuki..wivu..husda zinaletwa na nini hasa maana hao wanasiasa mnaowashutumu wengi wana ndugu na watoto nje ya nchi....
Kwanini msibadili aina hii ya mawazo na mje na hoja mujarabu?
Membe amepigania sana hii issue kwenye katiba mpya alikwama kwanini?
Kwenda kwa maneno mepesi namna hii katika issue nzito kama hii inayowaumiza itawagharimu wenyewe...
Jaribuni kubadilika maana mi sioni chuki..husda..wivu dhidi yenu unatoka wapi na kwanini ikiwa kwenda nje kila mtu akitaka anaweza kwenda kama wafanyavyo wengine sasa hapo sijui unaweza semaje..
Binafsi issue hii inanigusa pia kwakuwa nina ndugu na jamaa Nje ila tatizo kubwa lililopo kwetu ni uelewa juu ya jambo hili kwa wadau...
Kila la kheri..
Hoja ya mashiko si ndio hiyo kwamba tatizo ni CHUKI?
Mimi sioni kosa..
Nataka hoja ili nikubali au nikatae kwakuwa ki sheria hilo swala halipo..
Ili turejee kurekebisha sheria ndo panapohitajika michango kuntu ya wadau kushawishi mabadiliko ya sheria..
Hiyo dhana ya kosa iondoe coz watu nje wanaenda tafuta fursa za maisha ambazo hapa home ni chache...
Hoja ya mashiko si ndio hiyo kwamba tatizo ni CHUKI?
Mkuu ukiangalia asilimia kubwa ni wale wanaoogopa kupoteza nafasi zao kisiasa iwapo walio nje wataruhusiwa..... kwanza wengine ni wanyarwanda na warundi tu..