Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

MalcolmX

Senior Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
158
Reaction score
100
_42481604_africa_migration416x363.gif


Hivi chuki dhuidi ya wana diaspora na hasa toka kwa wanasiasa na watu wenye hali nzuri za kimaisha hapa nyumbani inatokana na nini?

Cha ajabu ni kuwa mawaziri na viongozi kadhaa wa serikali ya nchi hii watoto wao wana uraia wa nchi mbili mbili japo sheria hiyo haipo. Mfano Waziri wa mambo ya nchi za nje ambaye diaspora iko chini yake, Bw Bernard Membe, watoto wake ni raia wa Canada, Sisemi kuwa kuwa na uraia wa nje ni dhambi lakini ungetegemea kuwa alikuwa na uwezo wa kuwaandikisha wanae kuwa ni raia wa Tanzania lakini alikubali waandikishwe kuwa ni raiua wa Canada. Cha ajabu ni kuwa Mheshimiwa Membe amekjuwa kimya sana huku watanzania ambao wako Diaspora wakiendelea kusulubiwa na wanasiasa na vyombo vya habari hii inanipelekea kulizia kuwa hivi chuki na husda dhidi ya wana Disapora (ambao wengi wao ni watoto wa maskini) inatokana na nini hasa?

Hivi vyama vya siasa vina maoni gani kuhusu hili suala?
 
Ndugu yangu malcolmX

Unapaswa kutambua kilicho nyuma ya vikwazo vya suala hili si chuki na husda kama unavyodhani...

Tena umesema wanasiasa na matajiri ndio wenye chuki na husda dhidi ya diasporas je chuki na husda yao nini dhidi ya diasporas?

Kuanzisha mada kwa mrengo huo sidhani kama utapata uchangiaji mzuri toka kwa wadau..

jaribuni kujenga hoja zenye mashiko ambazo zitawashawishi ndugu zenu kulikubali hili suala..

Nimefuatilia mijadala mingi juu ya suala hili hapa jf na nje ya jf lakini sijawahi ona diaspora yoyote akitoa hoja ya mashiko ktk uchangizi wake zaidi ya kusema tunaonewa wivu...chuki..husda n.k n.k

mbaya zaidi hamuelezi hizo chuki..wivu..husda zinaletwa na nini hasa maana hao wanasiasa mnaowashutumu wengi wana ndugu na watoto nje ya nchi....

Kwanini msibadili aina hii ya mawazo na mje na hoja mujarabu?

Membe amepigania sana hii issue kwenye katiba mpya alikwama kwanini?

Kwenda kwa maneno mepesi namna hii katika issue nzito kama hii inayowaumiza itawagharimu wenyewe...

Jaribuni kubadilika maana mi sioni chuki..husda..wivu dhidi yenu unatoka wapi na kwanini ikiwa kwenda nje kila mtu akitaka anaweza kwenda kama wafanyavyo wengine sasa hapo sijui unaweza semaje..

Binafsi issue hii inanigusa pia kwakuwa nina ndugu na jamaa Nje ila tatizo kubwa lililopo kwetu ni uelewa juu ya jambo hili kwa wadau...

Kila la kheri..
 
Wewe si umeona hapo kwenye ramani, hapa Tanzania hao watu hawasaidii kitu. Mwaka 2011 Diaspora wa Ethiopia waliweza kutengeneza reliable electricity dam chini ya kiongozi marehemu Meles Zenawi. Kumbuka misaada mingi ya nje siyo ya nia nzuri ama ya kutuwezesha kujikomboa. Sasahivi Ethiopia wataweza kujitosheleza umeme na mwingine mwingi watauza nchi za jirani. Hawa wa kwetu wengi experience siyo nzuri, wakirudi wanakimbilia siasa na wanafanya madudu (ref. Masha, Nyalandu etc).

Halafu wengi wao huko ng'ambo ni wabangaizaji kama kina Chris Lukos, na wengine wakirudi huku hawaji kuwekeza waliyotokanayo huko, badala yake wanakuja kujificha kwenye siasa na kutafuta mianya ya ufisadi (Le Mutuz).
 
Ndugu yangu malcolmX

Unapaswa kutambua kilicho nyuma ya vikwazo vya suala hili si chuki na husda kama unavyodhani...

Tena umesema wanasiasa na matajiri ndio wenye chuki na husda dhidi ya diasporas je chuki na husda yao nini dhidi ya diasporas?

Kuanzisha mada kwa mrengo huo sidhani kama utapata uchangiaji mzuri toka kwa wadau..

jaribuni kujenga hoja zenye mashiko ambazo zitawashawishi ndugu zenu kulikubali hili suala..

Nimefuatilia mijadala mingi juu ya suala hili hapa jf na nje ya jf lakini sijawahi ona diaspora yoyote akitoa hoja ya mashiko ktk uchangizi wake zaidi ya kusema tunaonewa wivu...chuki..husda n.k n.k

mbaya zaidi hamuelezi hizo chuki..wivu..husda zinaletwa na nini hasa maana hao wanasiasa mnaowashutumu wengi wana ndugu na watoto nje ya nchi....

Kwanini msibadili aina hii ya mawazo na mje na hoja mujarabu?

Membe amepigania sana hii issue kwenye katiba mpya alikwama kwanini?

Kwenda kwa maneno mepesi namna hii katika issue nzito kama hii inayowaumiza itawagharimu wenyewe...

Jaribuni kubadilika maana mi sioni chuki..husda..wivu dhidi yenu unatoka wapi na kwanini ikiwa kwenda nje kila mtu akitaka anaweza kwenda kama wafanyavyo wengine sasa hapo sijui unaweza semaje..

Binafsi issue hii inanigusa pia kwakuwa nina ndugu na jamaa Nje ila tatizo kubwa lililopo kwetu ni uelewa juu ya jambo hili kwa wadau...

Kila la kheri..
Kama sii chuki unaweza kutuambia wewe ni sababu zipi ambazo mnapinga kuwepo kwa uraia wa nchi mbili. Chukulia hayo ni mawazo ya hawa wanaDiaspora maana hawajui sababu zaidi ya Kiuchumi kama wanavyoorodhesha mazuri yake, sasa wewe waambie sababu hasa ya pingamizi kisha tuijadili kwa mapana.
 
[h=2]Tanzania: Remittance inflows $10m last year, says Unctad report[/h]

Dar es Salaam: Remittances from Tanzanians in the diaspora amounted to Sh16 billion ($10.2 million) last year, a report has indicated. Released by the United Nations Conference on Trade and Development (Unctad) yesterday, the‘Least Developed Countries report' noted that $4.5 million of the remittances came from the UK, $3.2 million from Canada and $2.5 million from Kenya.
Last year the Bank of Tanzania reported that Tanzanians in the diaspora remitted Sh534 billion ($356 million) between July 2005 and September 2007.
According to Unctad, remittances to Least Developed Countries (LDCs) in 2011 were almost twice foreign direct investment (FDI) inflows ($15 billion) to such countries.
Remittances are much more important for LDCs than for other country groups. In LDCs, remittances account for 4.4 per cent of the gross domestic product and 15 per cent of exports. "These shares are three times higher than in other developing countries [non-LDCs]," says the Unctad.
Among the East African countries whose remittances exceeded receipts of FDI in 2008–2010 were Burundi and Uganda. The report estimates that about 2 million university-educated persons from LDCs live and work abroad. In developed countries, 35 per cent of immigrants have university education while in LDCs, just 4 per cent of immigrants have the same level of education
"One third of LDC university-educated emigrants live in just one country: the United States," says the report.
A World Bank brief says remittances to the developing world are expected to exceed earlier estimates to $406 billion this year, an increase of 6.5 per cent over the previous year. Remittances to developing countries are projected to grow by 7.9 per cent in 2013, 10.1 per cent in 2014 and 10.7 per cent in 2015 to reach $534 billion in 2015.

www.trademarksa.org/news/tanzania-remittance-inflows-10m-last-year-says-unctad-report



 
Kama sii chuki unaweza kutuambia wewe ni sababu zipi ambazo mnapinga kuwepo kwa uraia wa nchi mbili. Chukulia hayo ni mawazo ya hawa wanaDiaspora maana hawajui sababu zaidi ya Kiuchumi kama wanavyoorodhesha mazuri yake, sasa wewe waambie sababu hasa ya pingamizi kisha tuijadili kwa mapana.

Waseme wao kwanza kwanini wanataka uraia pacha then waTz nao wataeleza sababu za kukataa ama kukubali..
Mkuu usilete mada hii kwangu binafsi maana naona umeandika (wewe)
Mimi siwezi wabadilisha wanaoipinga sababu sijui faida zake ..
Hapo juu nimesema hata Mimi nina ndugu na jamaa ambao suala hili linawatesa..

KAZI RAHISI NI HII..
ELEZENI HAPA UMUHIMU WA HICHO KITU ILI NASI TUWE MABALOZI WAZURI WA KUTETEA. SI KUJA NA KAULI NYEPESI ZA WIVU..HUSDA..CHOYO NA CHUKI..
KAULI HIZI HAZINA SULUHU ZAIDI YA KUAMSHA MAJIBIZANO YASIYO NA TIJA...
 
Tanzania: Remittance inflows $10m last year, says Unctad report



Dar es Salaam: Remittances from Tanzanians in the diaspora amounted to Sh16 billion ($10.2 million) last year, a report has indicated. Released by the United Nations Conference on Trade and Development (Unctad) yesterday, the‘Least Developed Countries report' noted that $4.5 million of the remittances came from the UK, $3.2 million from Canada and $2.5 million from Kenya.
Last year the Bank of Tanzania reported that Tanzanians in the diaspora remitted Sh534 billion ($356 million) between July 2005 and September 2007.
According to Unctad, remittances to Least Developed Countries (LDCs) in 2011 were almost twice foreign direct investment (FDI) inflows ($15 billion) to such countries.
Remittances are much more important for LDCs than for other country groups. In LDCs, remittances account for 4.4 per cent of the gross domestic product and 15 per cent of exports. "These shares are three times higher than in other developing countries [non-LDCs]," says the Unctad.
Among the East African countries whose remittances exceeded receipts of FDI in 2008–2010 were Burundi and Uganda. The report estimates that about 2 million university-educated persons from LDCs live and work abroad. In developed countries, 35 per cent of immigrants have university education while in LDCs, just 4 per cent of immigrants have the same level of education
"One third of LDC university-educated emigrants live in just one country: the United States," says the report.
A World Bank brief says remittances to the developing world are expected to exceed earlier estimates to $406 billion this year, an increase of 6.5 per cent over the previous year. Remittances to developing countries are projected to grow by 7.9 per cent in 2013, 10.1 per cent in 2014 and 10.7 per cent in 2015 to reach $534 billion in 2015.

www.trademarksa.org/news/tanzania-remittance-inflows-10m-last-year-says-unctad-report





But why this remittences doesn't reflect on this map?

Diaspora misaada.gif
 
Wewe si umeona hapo kwenye ramani, hapa Tanzania hao watu hawasaidii kitu. Mwaka 2011 Diaspora wa Ethiopia waliweza kutengeneza reliable electricity dam chini ya kiongozi marehemu Meles Zenawi. Kumbuka misaada mingi ya nje siyo ya nia nzuri ama ya kutuwezesha kujikomboa. Sasahivi Ethiopia wataweza kujitosheleza umeme na mwingine mwingi watauza nchi za jirani. Hawa wa kwetu wengi experience siyo nzuri, wakirudi wanakimbilia siasa na wanafanya madudu (ref. Masha, Nyalandu etc).

Halafu wengi wao huko ng'ambo ni wabangaizaji kama kina Chris Lukos, na wengine wakirudi huku hawaji kuwekeza waliyotokanayo huko, badala yake wanakuja kujificha kwenye siasa na kutafuta mianya ya ufisadi (Le Mutuz).


mkuu mi siongezei kitu....umemaliza kabisa naomba uchangiaji wa hii thread uishie hapa
 
Kama sii chuki unaweza kutuambia wewe ni sababu zipi ambazo mnapinga kuwepo kwa uraia wa nchi mbili. Chukulia hayo ni mawazo ya hawa wanaDiaspora maana hawajui sababu zaidi ya Kiuchumi kama wanavyoorodhesha mazuri yake, sasa wewe waambie sababu hasa ya pingamizi kisha tuijadili kwa mapana.

Kaka mwenye hoja ndio huanza kuweka agenda mezani,sio kinyume chake!!!
 
_42481604_africa_migration416x363.gif


Hivi chuki dhuidi ya wana diaspora na hasa toka kwa wanasiasa na watu wenye hali nzuri za kimaisha hapa nyumbani inatokana na nini?

Cha ajabu ni kuwa mawaziri na viongozi kadhaa wa serikali ya nchi hii watoto wao wana uraia wa nchi mbili mbili japo sheria hiyo haipo. Mfano Waziri wa mambo ya nchi za nje ambaye diaspora iko chini yake, Bw Bernard Membe, watoto wake ni raia wa Canada, Sisemi kuwa kuwa na uraia wa nje ni dhambi lakini ungetegemea kuwa alikuwa na uwezo wa kuwaandikisha wanae kuwa ni raia wa Tanzania lakini alikubali waandikishwe kuwa ni raiua wa Canada. Cha ajabu ni kuwa Mheshimiwa Membe amekjuwa kimya sana huku watanzania ambao wako Diaspora wakiendelea kusulubiwa na wanasiasa na vyombo vya habari hii inanipelekea kulizia kuwa hivi chuki na husda dhidi ya wana Disapora (ambao wengi wao ni watoto wa maskini) inatokana na nini hasa?

Hivi vyama vya siasa vina maoni gani kuhusu hili suala?

Msimsulubu Membe wasulubuni wahafidhina wa CCM na wenzenu wa Chadema (Islamophobics) wanaosaidia kujenga chuki Zanzibar kwani Membe amelipigia debe sana hili suala na alifika pahali bado implimentation tu lakini Wahafidhina CCM wa Zanzibar ndio waliyoiwekea mguu kwa hofu eti Wa Zanzibari (Diaspora ya Arabuni) watarudi na mahela yao watakuja kumiliki kila kitu na kuchukua nchi na hili ni nyinyi hapo wa Tanganyika ndio munawaachia sasa ni kikulacho ki nguoni mwako. Mchunga kupigwa na ngombe wake. Kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe.

Poleni sana.


gombesugu, kahtaan, wabara, THE BIG SHOW, Gavana, Boko haram, mipangomiji, mfumo
 
Last edited by a moderator:
Kaka mwenye hoja ndio huanza kuweka agenda mezani,sio kinyume chake!!!
Mwenye hoja isha sema ni Chuki hivyo mnaokataa sio chuki ila ni....Nyie tuambieni haswa ni sababu gani mnaweka pingamizi uraia wa nchi mbili. Tunapenda sana kufahamu
 
_42481604_africa_migration416x363.gif


Hivi chuki dhuidi ya wana diaspora na hasa toka kwa wanasiasa na watu wenye hali nzuri za kimaisha hapa nyumbani inatokana na nini?

Cha ajabu ni kuwa mawaziri na viongozi kadhaa wa serikali ya nchi hii watoto wao wana uraia wa nchi mbili mbili japo sheria hiyo haipo. Mfano Waziri wa mambo ya nchi za nje ambaye diaspora iko chini yake, Bw Bernard Membe, watoto wake ni raia wa Canada, Sisemi kuwa kuwa na uraia wa nje ni dhambi lakini ungetegemea kuwa alikuwa na uwezo wa kuwaandikisha wanae kuwa ni raia wa Tanzania lakini alikubali waandikishwe kuwa ni raiua wa Canada. Cha ajabu ni kuwa Mheshimiwa Membe amekjuwa kimya sana huku watanzania ambao wako Diaspora wakiendelea kusulubiwa na wanasiasa na vyombo vya habari hii inanipelekea kulizia kuwa hivi chuki na husda dhidi ya wana Disapora (ambao wengi wao ni watoto wa maskini) inatokana na nini hasa?

Hivi vyama vya siasa vina maoni gani kuhusu hili suala?
Kimsingi hii mada in kaujinga kidogo.
Utakuwa na chuki na kitu ambacho wala hukijui.
Kumtaka Membe akutetee wakati unaweza kujieleza wewe mwenyewe ni infiority complex of thi highest order.

Mjipange kuweka mambo yenu sawa, sijasikia mhindi aliyejilipua akitaka udiaora wake.
Ukijilipua umejilipua , kaa huko and enjoy it.
Kama wataka kurudi huo ni uamuzi wako, kutaka utetewe ili uenjoy both worlds ni ujanja wako wa kuishi duniani.
 


African countries are reaching out to their Diasporas to encourage them to become more involved in the development of their native lands. VOA's Vincent Makori reports.



 
Last edited by a moderator:
Waseme wao kwanza kwanini wanataka uraia pacha then waTz nao wataeleza sababu za kukataa ama kukubali..
Mkuu usilete mada hii kwangu binafsi maana naona umeandika (wewe)
Mimi siwezi wabadilisha wanaoipinga sababu sijui faida zake ..
Hapo juu nimesema hata Mimi nina ndugu na jamaa ambao suala hili linawatesa..

KAZI RAHISI NI HII..
ELEZENI HAPA UMUHIMU WA HICHO KITU ILI NASI TUWE MABALOZI WAZURI WA KUTETEA. SI KUJA NA KAULI NYEPESI ZA WIVU..HUSDA..CHOYO NA CHUKI..
KAULI HIZI HAZINA SULUHU ZAIDI YA KUAMSHA MAJIBIZANO YASIYO NA TIJA...
Alaa kwa hiyo mnakataa pasipo kujua kwa nini wanataka uraia wa nchi mbili. yaani hamna sababu kabisa kama sio chuki ni nini haswa mkuu wangu maana hujui sababu ya kupinga hadi nikueleze! Dah sii ndio kuikataa salaam ya mtu anapoamkiwa ukidhani ina sababu!

Hivi nani alokwambia kwamba ni sisi Diaspora tunautaka uraia wa nchi mbili ama ni haki yao zya Uzawa ambayo haihitaji maleezo isipokuwa vitambulisho tu. Katika mazingira haya inatulazimu kutoa uraia wa nchi mbili tutake tusitake ni mfumo wa dunia ktk uhamiaji na ukuzaji wa uchumi. Mnapouliza sababu zetu ni sawa na kutojua kwa nini watanzania wameenda kuishi nje!
 
Mwenye hoja isha sema ni Chuki hivyo mnaokataa sio chuki ila ni....Nyie tuambieni haswa ni sababu gani mnaweka pingamizi uraia wa nchi mbili. Tunapenda sana kufahamu

Ok hebu fikiria mtu akujibu hivi bila kujali undugu; dunia ya sasa ni utandawazi na utandawazi ni faida kwanza mengine baadaye,nyie mnataka uraia sawa sisi tunaendesha mambo yetu bila uwepo wenu na yanaenda sasa nyie mnaotaka kuja kwetu mtafaidisha nini katika sekta za uchumi,elimu,siasa,afya na miundombinu????!!!
 
Alaa kwa hiyo mnakataa pasipo kujua kwa nini wanataka uraia wa nchi mbili. yaani hamna sababu kabisa kama sio chuki ni nini haswa mkuu wangu maana hujui sababu ya kupinga hadi nikueleze! Dah sii ndio kuikataa salaam ya mtu anapoamkiwa ukidhani ina sababu!

Hivi nani alokwambia kwamba ni sisi Diaspora tunautaka uraia wa nchi mbili ama ni haki yao zya Uzawa ambayo haihitaji maleezo isipokuwa vitambulisho tu. Katika mazingira haya inatulazimu kutoa uraia wa nchi mbili tutake tusitake ni mfumo wa dunia ktk uhamiaji na ukuzaji wa uchumi. Mnapouliza sababu zetu ni sawa na kutojua kwa nini watanzania wameenda kuishi nje!

Mkuu wangu mi sipo. Kwa wanaopinga au wanaokubali uraia pacha..
Isipokuwa nasubiri hoja ili nikubali au nikatae..
Habari za wivu na chuki ni nyepesi sana kwako
 
Not sure, lakini these figures are fro 2005.

Hizi ni pesa zinazotumwa lakini usisahau watu hawatumi pesa tuu lakini wananunua matrekta na malori na wengine wamefungua makampuni ambayo imeajiri watu na wanalipa kodi

replicating effect ni kubwa mno na huwezi ku quantify.
 
Wewe si umeona hapo kwenye ramani, hapa Tanzania hao watu hawasaidii kitu. Mwaka 2011 Diaspora wa Ethiopia waliweza kutengeneza reliable electricity dam chini ya kiongozi marehemu Meles Zenawi. Kumbuka misaada mingi ya nje siyo ya nia nzuri ama ya kutuwezesha kujikomboa. Sasahivi Ethiopia wataweza kujitosheleza umeme na mwingine mwingi watauza nchi za jirani. Hawa wa kwetu wengi experience siyo nzuri, wakirudi wanakimbilia siasa na wanafanya madudu (ref. Masha, Nyalandu etc).


Halafu wengi wao huko ng'ambo ni wabangaizaji kama kina Chris Lukos, na wengine wakirudi huku hawaji kuwekeza waliyotokanayo huko, badala yake wanakuja kujificha kwenye siasa na kutafuta mianya ya ufisadi (Le Mutuz).


Kazi ya kutengeneza data na graphs ni ya idara ya statistics ya Tanzania na BOT sasa kama hawajafanya hivyo usitulazimishe.
 
Back
Top Bottom