mangimeza
Senior Member
- May 13, 2011
- 190
- 98
views 448 replies 18 manyang'au yanaishia kuchungulia hata ushauri wa pole tu hamna!!
Ukweli unauma...
views 448 replies 18 manyang'au yanaishia kuchungulia hata ushauri wa pole tu hamna!!
naomba mnisaidie nifanye nin ili chuchu zisiume.
nina mtoto mchanga wa wiki moja nilijifungua kwa operation, sasa nilipojifungua maziwa yalikuwa sio mengi, mwanangu akawa ananyonya hivyo hivyo hali hii imepelekea chuchu kuuma. yaani zinauma sana hadi huwa nawaza sana ninapotaka kumnyonyesha.
naomben mnijuze nitumie nin chuchu zangu zipone?
views 448 replies 18 manyang'au yanaishia kuchungulia hata ushauri wa pole tu hamna!!
hahahaha ili uamini manyang'au wa JF sio watu wazuri wao wanapenda chuchu tu ila zinapopata shida hawazisaidii
Pole...kwa mimi nilikua najikanda maji ya uvuguvugu + kumnyonyesha mtoto..ila hapo wakat wa kumnyonyesha uvumilie sana hata chozi laweza kukudondoka!!
Hahahaaaa heheheeee ni kweli mzee
Eeeh maskin pole
Ahsante...nilishapoa!
Eeh bana eeh tuwe na chuchu wakati wa shida na raha jamani!!
Na mimi ninavyozipendaaa
Hahaha kweli manake kichwa cha habari kinavutia manyang'au wakiingia wanakuta ni mzazi wanaufyata!
cc:michepuko