Cht Cht Sanaa

Shem langu full maubunifu......... Wapi beibe nasty sasa?.
Haahahahah wat can i say to my sweet hubby judgement no body can fit on dat bt u darlin u such
Ideal Gosh ts amazing! I love it hatulali njaa hapa. Nilikuwa naanda maanjumat na kausingz kakanipitia
 
dah!kaka umetokelezea ile mbaya,...yaani hili ni bonge la funiko,sina swali,bila shaka pongezi zako nazipeleka moja kwa moja kwa sabuni wako wa malavidavi mpenda kikojoleo si mwingine ni beibe nasty salute kaka

Thanks!
Tena sichezi mbali na BN!
Naogopa ile "When the Cat's away the Mice do play!"
 
Last edited by a moderator:
dah!kaka umetokelezea ile mbaya,...yaani hili ni bonge la funiko,sina swali,bila shaka pongezi zako nazipeleka moja kwa moja kwa sabuni wako wa malavidavi mpenda kikojoleo si mwingine ni beibe nasty salute kaka

Thanks!
Tena sichezi mbali na BN!
Naogopa ile "When the Cat's away the Mice do play!"
 
Last edited by a moderator:
Kaka hapa umefunika,hongera zikufikie popote ulipo labda nikuulize tu hivi kuna binti ambaye amewahi kukukataa..??
 
Kaka hapa umefunika,hongera zikufikie popote ulipo labda nikuulize tu hivi kuna binti ambaye amewahi kukukataa..??

Mkuu Mtakatifu! Japo ni swali la kizushi , but niseme ondoa kukataliwa, huko nyuma nishapigwaga kibuti cha hiari ! Kabla sijampata nilie nae currently!
 
Mkuu Mtakatifu! Japo ni swali la kizushi , but niseme ondoa kukataliwa, huko nyuma nishapigwaga kibuti cha hiari ! Kabla sijampata nilie nae currently!



Kwajinsi ulivyoweza kupanga majina katika hadithi yako mkuu nimekukubali na ndio nikajiuliza kama unaamua kumshushia mistari mtu sijui kama kuna kiumbe ke anayeweza kukuchomoka nadhani ipo siku nitahitaji msaada wako,kuna mtu anasumbua kidogo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom