cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kuelekea 2020 hizi sikukuu ndio mbaya kuwahi kutokea
Biashara haziendi, wanunuzi wananunua kiduchu
Zile amsha amsha za sikukuu mtaani hakuna, halafu watu hawana sura ya tabasamu,watu wamejikunyata, nadhani wale watafiti wa viwango vya furaha wakija sasa hivi sijui tunakuwa namba ngapi? Sokoni wanapigwa na butwaa nini hiki,mzee wa kitambi anakuja kwako unafikiri hapa biashara itasogezwa angalau, loh anachanga kilo 4 za mchele anasepa
Naamini kiongozi atakayekuja wa upinzani akawa na sera za kiuchumi imara zinazoiponda za Magufuli, ataweza kutikisa nchi
Upinzani jiandaeni kuchukua nchi,hali si shwari kwa wananchi, uchumi unaendeshwa kwa matamko ya kisiasa hali ni mbaya kutokea
Ukiwa na nyumba yenye kila kitu halafu unalala njaa, hiyo nyumba haina faida kwako, bora ungelala kwenye gofu angalau ushibe ili upate nguvu ya uzalishaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara haziendi, wanunuzi wananunua kiduchu
Zile amsha amsha za sikukuu mtaani hakuna, halafu watu hawana sura ya tabasamu,watu wamejikunyata, nadhani wale watafiti wa viwango vya furaha wakija sasa hivi sijui tunakuwa namba ngapi? Sokoni wanapigwa na butwaa nini hiki,mzee wa kitambi anakuja kwako unafikiri hapa biashara itasogezwa angalau, loh anachanga kilo 4 za mchele anasepa
Naamini kiongozi atakayekuja wa upinzani akawa na sera za kiuchumi imara zinazoiponda za Magufuli, ataweza kutikisa nchi
Upinzani jiandaeni kuchukua nchi,hali si shwari kwa wananchi, uchumi unaendeshwa kwa matamko ya kisiasa hali ni mbaya kutokea
Ukiwa na nyumba yenye kila kitu halafu unalala njaa, hiyo nyumba haina faida kwako, bora ungelala kwenye gofu angalau ushibe ili upate nguvu ya uzalishaji
Sent using Jamii Forums mobile app