Chorus 10 bora za muda wote katika bongo flava!!

Chorus 10 bora za muda wote katika bongo flava!!

hakuna mtu mkali kwenye chorus kama g warawara huyo kiba mnampaisha tu
Umeonyesha chuki kum underrate Ali kiba
G warawara ni chorus killer wa hiphop songs,lakin ali kiba ni aina zote za nyimbo
 
Wakali wa chorus kipind bongo fleva ilipokuwa kweli Bongo fleva
1.Juma nature
2.Lady Jay dee
3.Ali kiba
4.Q chief
5.T.I.D
6.Mandojo & Domokaya

2010-....(modern bongo fleva)
G nako
Belle 9
Ben Pol
 
Enzi hizo chorus akisimama Msitu wa vina aka Nature, Q Chief,TID, Lady jaydee, Paulina Zongo, Mr Paul lazima utapenda tu

Enzi za kati, walikua akina Steve Rnb, Wakali kwanza woote, Dully sykes, matonya

Siku hizi wakina Ali Kiba, Belle9, G warawara, Ben Paul, Baraka
 
Toka muziki wa kizazi kipya ushike chart hapa nchini kumetokea wasanii lukuki waliojitahidi kuonesha uwezo wao!!

Chorus nyingi zimeimbwa iwe katika nyimbo za wasanii husika ama zile za kushirikishwa!

Kwangu chorus bora zaid katika bongo flava ni hizi hapa

1. Nampenda-Mike T feat Juma Nature

2. Wanapendana-Mwanafa feat Dully Sykes

3. Sintobadilika-Mike T feat Q chief

4. Wanoknok-Mandojo na Domokaya feat Jay Dee

5. Hawapendi-Jafarai feat Q chief

6. Nimechokwa-Shetta feat Belle 9

7. Mfalme-Mwanafa feat Gnako

8. Alisema-Stamina feat Jux

9. Milele-Godzilla feat Alikiba

10. Kazi yake mola-Madee feat Mandojo na Domokaya
HAKUNAGA KAMA MILELE
 
Chorus Kali

Unanitega - mwana fa
Asanteni kwa kuja - mwana fa
She got gwan - ngwea
Mikasi - ngwea feat feruzi
Chochote utapata - klynn
Dar mpaka Moro - tmk
Twende zetu - chege
We ni mchizi wangu remix - nako 2 nako
Hawatuwezi - nako 2 nako.
Nipo mstari wa Mbele - kalapina

Nitaendelea
Ongeza 13 ya young killer
 
Chorus Kali

Unanitega - mwana fa
Asanteni kwa kuja - mwana fa
She got gwan - ngwea
Mikasi - ngwea feat feruzi
Chochote utapata - klynn
Dar mpaka Moro - tmk
Twende zetu - chege
We ni mchizi wangu remix - nako 2 nako
Hawatuwezi - nako 2 nako.
Nipo mstari wa Mbele - kalapina

Nitaendelea
Ongeza 13 ya young killer
 
ndio zetu-nako 2 nako
niko busy jaffarai ft. daz baba
wa zamani kama wa sasa-o ten ft.godzilla na linex (chorus hii ya linex ni hatari sana)
 
nakumbuka kipindi cha uchaguzi nlikuwa shabiki sana wa ukawa,ila kwenye gari nkitulia mwenyewe nlikuwa nasikiliza lile songi hata mara 8 kwa siku hasa nikiwa Naenda safari za mbali
Hahahaha kaka umeua, najua ukawa ilikua inakufanya mkiwa na ukaamua ujiliwaze kwa mbele kwa mbele.
 
Wakali wa chorus kipind bongo fleva ilipokuwa kweli Bongo fleva
1.Juma nature
2.Lady Jay dee
3.Ali kiba
4.Q chief
5.T.I.D
6.Mandojo & Domokaya

2010-....(modern bongo fleva)
G nako
Belle 9
Ben Pol
Ongeza Dully Sykes kwenye hii list
 
Baby Candy -Dully Sykes
Watasema Sana-TID feat Nazizi
Mfalme-MwanaFa feat Gnako
Nimechokwa-Shetta feat Belle 9
Wanoknok-Mandojo na Domokaya feat Jay Dee
Hawatuwezi-N2N feat Enika
Combination ya MwanaFa +Lady Jay Dee I hope one day watakuja kupatana
 
Back
Top Bottom