Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
huku ikiwa imebeba baadhi ya wajumbe wa mkutano wa Sullivan ulioisha mwishoni mwa juma mkoani Arusha. Habari zinasema watu nane wakiwemo marubani wawili wamefariki dunia na tayari jitihada za kuitafuta miili na kujua chanzo cha ajali zimeanza.