Ungeuliza ndege ya Rais ni visima vingapi? ungekuwa na akili
Mlipewa millioni 100 na sabodo mlichimba hata shimoNaomba unitajie eneo mojawapo ambalo CCM wamechimba Kisima/Visima au kujenga Barabara kwa kutumia fedha za CCM, Ukiishanipatia hili jibu naomba unifafanulie zile 90,000,000/= Mwigulu alizochukua Bank siku moja kabla ya Uchaguzi zimeenda Kalenga kuchimba visima vingapi?
Naomba unitajie eneo mojawapo ambalo CCM wamechimba Kisima/Visima au kujenga Barabara kwa kutumia fedha za CCM, Ukiishanipatia hili jibu naomba unifafanulie zile 90,000,000/= Mwigulu alizochukua Bank siku moja kabla ya Uchaguzi zimeenda Kalenga kuchimba visima vingapi?
Mbunge mmoja wa CCM aliyeleta kisima cha maji ni yupi??
Kwahiyo mnaombea CDM iongoze nchi kwa hela zake mfukoni ili ninyi CCM muendelee kutafuna Kodi za walalahoi kama kawaida??
CCM mmejichukulia kautawala chenu cha kikoo nchi mzima