Chopa 3 = visima vya maji vingapi?

Chopa 3 = visima vya maji vingapi?

CCM imekusanya kodi kwa miaka 50.Wamefanya nini?Sisi tunawaonyesha watawala na watanzania kile ambacho tutafanya jinsi ambavyo Mwalimu Nyerere na TANU alivyofanya dhidi ya serikali ya kikoloni

CCM ilichokifanya miaka 50 hukioni, nadhani una matatizo kichwani mwako. Tuambie leo CDM mmenfanya nini kwenye halmashauri mnazoziongoza hapa nchini.
 
naomba unitajie eneo mojawapo ambalo ccm wamechimba kisima/visima au kujenga barabara kwa kutumia fedha za ccm, ukiishanipatia hili jibu naomba unifafanulie zile 90,000,000/= mwigulu alizochukua bank siku moja kabla ya uchaguzi zimeenda kalenga kuchimba visima vingapi?

cdm tunatakiwa tuonyeshe uchungu wetu juu ya wananchi na uzalendo, tusijilinganishe na ccm, hivyo hizi za kupaisha ndge ewani tungeinvest kwenywe visima vya maji, tungefanikiwa kweli kweli,
 
CCM ilichokifanya miaka 50 hukioni, nadhani una matatizo kichwani mwako. Tuambie leo CDM mmenfanya nini kwenye halmashauri mnazoziongoza hapa nchini.
tumewafundisha vijana wengi hasa kaskazini kuvuta:mvutaji: ndo maana arusha hamtuwezi.
 
cdm tunatakiwa tuonyeshe uchungu wetu juu ya wananchi na uzalendo, tusijilinganishe na ccm, hivyo hizi za kupaisha ndge ewani tungeinvest kwenywe visima vya maji, tungefanikiwa kweli kweli,

we kama uko serious bora uhame chadema uje ccm, hao chadema ni janga la taifa hivi bado hujashitukaga tu? karibu ccm hujachelewa ndugu ygn...huku ccm sio saccos ya mtei ..ni chama kongwe, inajua wajibu wake...na itapeta sana 2015
 
Chadema hawakubali hata siku moja bora hata wangekuwa wanachimba visima
 
mkuu hebu tuambie hizo halmashauri zinazoongozwa na CDM nini wamefanya tofauti na serikali ya CCM?

Ndugu kuwa na fikra pana nini majukumu ya Halmashauri na Halmashauri inapata fedha kutoka wapi? Hakuna sehemu unapoambiwa Mbunge au Diwani wa Halmashauri anakusanya mapato kwa ajili ya Halmashauri husika, Kutokana na jinsi CCM walivyojipambanua katika Kampeni za Kalenga wameweka wazi nini Hii Serikali ya CCM inachokifanya kwa maeneo ambayo yanaongozwa na Upinzani, Jukumu Hao viongozi wa CDM wanaoongoza hizo Halmashauri ni kufikisha ujumbe kwa Serikali inayokusanya Kodi juu ya mahitaji muhimu katika Halmashauri kupitia Bajeti mbali mbali cha ajabu fedha hazipelekwi na hata pale wafadhiri wanapojitokeza kusaidia Halmashauri mbali mbali miradi hiyo CCM wanaipeleka maeneo ambayo yanaongozwa na wao kitu ambacho si sawa.
 
hana hata haja ya kutukanwa, mawazo yake tu na yako ni dhalili tosha, yaani mnajitukan wenyewe.

Km unajua kazi ya upinzani ni kuonesha njia ya utatuzi, unadhani kujenga kisima ni kuonesha au kutatua?

Shida ya watu mlio wengi ni umbumbumbu, mbunge si kazi yake kutumia mshahara wake au fedha za chama chake kujenga kisima, ni fedha za serikali ndio zenye kazi hiyo, akiamua yeye basi katoa msaada.

Kwa akili fupi km zenu, mnadhani barabara hizi zikejengwa na fedha za ccm, si hivyo ni za tanzania

usipan[ic ni mawazo na mtazamo tuu,kalenga hoyeeeee
 
Badala ya kununua au kukodi chopa za kufanyia kampeni fanyeni kampeni kwa kutatua kero za wananchi (maji, madawati, umaskini, n.k) matunda yataonekana. Wanachi washajua kuwa mbunge mmoja wa upinzani hawezi kuleta kisima hata kimoja kwanini wapoteze kura zao?

Wewe ni kilaza ndugu jitambue kuwa wapinzani wanatumia fedha zao au kutoka kwa wafadhili rafiki zao kuendesha chama na kuimalisha chama, tofauti na ccm ambao ni watawala wanakusanya kodi na rasilimali zote za nchi zipo chini yao.Hivyo hisilinganishe cdm na ccm kutoa huduma sawa kwa wa tanzania.ujue chopa zote wanapewa na wafadhili marafiki zao ktk kujijenga.
 
CCM ilichokifanya miaka 50 hukioni, nadhani una matatizo kichwani mwako. Tuambie leo CDM mmenfanya nini kwenye halmashauri mnazoziongoza hapa nchini.

Wewe -----, inabidi ujue kuwa cdm hawana mandate ya kukusanya kodi, watu wenye uwezo huo ni ccm.cdm utawaulizaje wamefanya maendeleo gani ya nchi wakati hawakusanyi kodi? Au hujui kuwa kodi ndio maendeleo ya wananchi? NENDA TENA SHULE NDUGU!!
 
We kweli hamnazo,
Kazi ya chama cha upinzni ni kujenga visima!Rudi darasani usipotoshe watu.
Pima Elimu ya Uraia iliyowafikia watu kwa wingi wao,na uthaminishe na Chopa ndio utapata jibu.
 
Ndugu kuwa na fikra pana nini majukumu ya Halmashauri na Halmashauri inapata fedha kutoka wapi? Hakuna sehemu unapoambiwa Mbunge au Diwani wa Halmashauri anakusanya mapato kwa ajili ya Halmashauri husika, Kutokana na jinsi CCM walivyojipambanua katika Kampeni za Kalenga wameweka wazi nini Hii Serikali ya CCM inachokifanya kwa maeneo ambayo yanaongozwa na Upinzani, Jukumu Hao viongozi wa CDM wanaoongoza hizo Halmashauri ni kufikisha ujumbe kwa Serikali inayokusanya Kodi juu ya mahitaji muhimu katika Halmashauri kupitia Bajeti mbali mbali cha ajabu fedha hazipelekwi na hata pale wafadhiri wanapojitokeza kusaidia Halmashauri mbali mbali miradi hiyo CCM wanaipeleka maeneo ambayo yanaongozwa na wao kitu ambacho si sawa.

kwel kabisa mwana CDM mwenzangu
 
CCM ilichokifanya miaka 50 hukioni, nadhani una matatizo kichwani mwako. Tuambie leo CDM mmenfanya nini kwenye halmashauri mnazoziongoza hapa nchini.

Sisi hapo nyuma tulikuwa level moja na nchi kama malasia, Indonesia lakini ebu tupime wenzetu walipo kwa hiyo miaka 50 na sisi tulipo kwa hii miaka 50 ukipima hicho ndio utajuwa CCM imekifanya nini kwa Tanzania.
 
we kama uko serious bora uhame chadema uje ccm, hao chadema ni janga la taifa hivi bado hujashitukaga tu? karibu ccm hujachelewa ndugu ygn...huku ccm sio saccos ya mtei ..ni chama kongwe, inajua wajibu wake...na itapeta sana 2015

Kumkaribisha mwenzio ccm ni kumtafutia balaa la baadae kwani kikiingia chama kingine lazima aingie kitanzini tu.
 
Badala ya kununua au kukodi chopa za kufanyia kampeni fanyeni kampeni kwa kutatua kero za wananchi (maji, madawati, umaskini, n.k) matunda yataonekana. Wanachi washajua kuwa mbunge mmoja wa upinzani hawezi kuleta kisima hata kimoja kwanini wapoteze kura zao?

yawezekana hujui wajibu wa serikali kwa wananchi.hivi ccm wamejenga visima vingapi vile kwa pesa yao!?.
 
mkuu hebu tuambie hizo halmashauri zinazoongozwa na CDM nini wamefanya tofauti na serikali ya CCM?

Nenda kamuulize CAG ndio atakuammbia jinsi kulivyo na usimamizi mzuri wa fedha za umma.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Badala ya kununua au kukodi chopa za kufanyia kampeni fanyeni kampeni kwa kutatua kero za wananchi (maji, madawati, umaskini, n.k) matunda yataonekana. Wanachi washajua kuwa mbunge mmoja wa upinzani hawezi kuleta kisima hata kimoja kwanini wapoteze kura zao?

Kuna dalili kwa 100% kuwa wewe hujaelimika pamoja na kutumia hiyo simu yako kuchangia au kuanzisha mada hapa JF.
Unatia huruma kwa kutojielewa.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
hizo hesabu zingekuwa zinaendaga hivi nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo...nafikiri tungekuwa tunajadili habari za kusambaza wireless internet bure wala sio habari za visima..
sema ndio hivyo Shetani alivyotuandikia
 
Back
Top Bottom