Kongwamaji
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 560
- 145
CCM imekusanya kodi kwa miaka 50.Wamefanya nini?Sisi tunawaonyesha watawala na watanzania kile ambacho tutafanya jinsi ambavyo Mwalimu Nyerere na TANU alivyofanya dhidi ya serikali ya kikoloni
CCM ilichokifanya miaka 50 hukioni, nadhani una matatizo kichwani mwako. Tuambie leo CDM mmenfanya nini kwenye halmashauri mnazoziongoza hapa nchini.