kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Badala ya kununua au kukodi chopa za kufanyia kampeni fanyeni kampeni kwa kutatua kero za wananchi (maji, madawati, umaskini, n.k) matunda yataonekana. Wanachi washajua kuwa mbunge mmoja wa upinzani hawezi kuleta kisima hata kimoja kwanini wapoteze kura zao?