MAKANJAMNA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,138
- 1,515
Unatakiwa utangulize toilet paper inasaidia yale maji hayaruki.. na siku hizi kuna alcohol wipes zinaua bacteria so unasafisha pale kwenye kiti.. mambo muruakuna mazingira huwezi rekebisha kuna vyoo unakata gogo kwa machale huku unaruka pale unafanyaje?
mkuu siyo vya kukaa ohoo ujakutana na ambacho huwezi chuchumaa unabinua ukihisi limetoka na we unaruka ha ha haUnatakiwa utangulize toilet paper inasaidia yale maji hayaruki.. na siku hizi kuna alcohol wipes zinaua bacteria so unasafisha pale kwenye kiti.. mambo murua
Ni vizuri ukarekebisha, ndiyo ustaarabu! Ukiacha hivyo hivyo na kama ulivyosema, mheshimiwa anaingia ulikotoka, atajua tu kwamba alidhania wewe ni mstaarabu kumbe siyo!!Habari za Leo wapendwa,
Unapoingia katika choo cha jumuia mathalani kazini au chuoni, ukakuta kina hali mbaya inatia karaha. Unapoamua kukitumia hivyo hivyo umalize shida yako ile unatoka tu mlangoni unakitana na mtu unaeheshimiana nae anaingia choo hicho hicho utajisikiaje?
Ukikuta hali mbaya utaweka mambo vizuri kidogo au na wewe utaacha hivyo hivyo?
Maoni yenu wakuu.
mkuu siyo vya kukaa ohoo ujakutana na ambacho huwezi chuchumaa unabinua ukihisi limetoka na we unaruka ha ha ha
usiombe kukutana na hiyo hali sababu unaweza ruka likakufuata ha ha ha
Ki sheria kama maji hayatoki ofisi inatakiwa ifungwe, unapofungua ofisi au sehemu yeyote yenye mkusanyiko wa watu unatakiwa kuwe na huduma ya choo, kama kuna matatizo ya maji kuwe na cha shimo au mobile toilet, kuwe na water fountain, haya ni kwaajili ya wafanya kazi na wananchi watakaopata huduma katika ofisi ile, kuwe na madirisha ya kuingiza mwanga na hewa ya kutosha na kama ni nchi za baridi kuwe na heating system wakati wa kipupwe.
Mtu akikuchungulia anaweza dhani unacheza mziki kumbe unakwepa...usiombe kukutana na hiyo hali sababu unaweza ruka likakufuata ha ha ha
we mwenyewe unaweza cheka watu wakashangaaMtu akikuchungulia anaweza dhani unacheza mziki kumbe unakwepa...
Dr huu ni mtihani sana. Ili uwe salama inabidi usafishe.Habari za Leo wapendwa,
Unapoingia katika choo cha jumuia mathalani kazini au chuoni, ukakuta kina hali mbaya inatia karaha. Unapoamua kukitumia hivyo hivyo umalize shida yako ile unatoka tu mlangoni unakitana na mtu unaeheshimiana nae anaingia choo hicho hicho utajisikiaje?
Ukikuta hali mbaya utaweka mambo vizuri kidogo au na wewe utaacha hivyo hivyo?
Maoni yenu wakuu.
Kipindi nipo Ughaibuni nilipata kibarua cha usafi, sasa kinajumuisha kusafisha choo.. yani vitu nilivyokuwa nakutana navyo.....
Ha ha ha hiyo itakuwa milango minane NSUMBAKweli.
Kwa waliosoma boys vyoo vya shimo ni hatari... tulikuwa tunavua nguo zote kabla ya kuingia maana harufu utakayotoka nayo hapo ni balaa.
Du!Mimi sihangaikagi hahaaa bampa tu bampa. Kmzigo juu ya mzigo Nikikuta uyoga moja naacha uyoga mbili. Anayetaka kusafisha atasafisha yeye. Au kama vp waache tu mpaka kisinki kijae