Chondechonde Maalim Seif Sharif Hamad

Baada ya kususia nini kifuate. Kama kuna guarantee ya haki kutendeka sawa. Nahofia kama ya 2015.

Katika mazingira hayo ndio nikasema bora waingie tu.

Unafiki was CCM unaendelea tu. Roho za wazanzibari zinazidi kupotea.

Tutulie kufanya tathmini. Jazba haina maana.

Mimi naamini katika kupunguza madhara na kuyafanya mapambano yadumu.

Sasa hivi kuna dhoruba LA kisiasa, linahitaji majemedari hodari kuusoma mchezo.

Narudia tena jazba haifai lazima uwe na focus. Kususia kutapoteza hata network ya ndani.

Walau kushiriki kutapunguza madhara ambayo naamini CCM wameshayapanga.

Hiyo GNU yenyewe inaenda kufutwa.

Itoshe tu. Maalim na ACT wawatafute wazee na kamati zao wajadili kwa kina na kupanga mikakati ya kuishi na adui na isiinekane usaliti.

Zanzibar iko pabaya sana. Nahodha hodari anahitajika sio jazba.
Hii pointi nzuri; wengi wanakuja na wazo la kususa lakini hawana plan B ya nini kifanyike badala yake, hayo kwangu ni mawazo ya kitoto, ukiwasusia CCM bado maisha yataendelea tu, hawajali, na kama wakisusa kweli, bora na uchaguzi mkuu ujao wasishiriki kabisa, kwasababu wakishiriki matokeo yake watawasababishia wafuasi wao madhara kama haya yaliyowapata kwenye uchaguzi huu.

Bora waache kushiriki uchaguzi kabisa ili kulinda roho za wafuasi wao. Hili linatakiwa kufanyika hata huku Bara.
 
Yaani nimeamini CCM watu wa ajabu , kichaa walchonacho Ni kikubwa Sana yaani uue mselfu ya watu ili upate ushindi , uumize , uteke , ufunge , ubambikie kesi wapinzani wako ili washindwe uchaguzi ,halafu wewe huyohuyo baadaye uje uwalazishe kushiriki kwenye serikali ? Kama sio wehu nini? Kila siku huwa nawaambia Kuna mtu anaumwa bipolar disorder .
 
Hii pointi nzuri; wengi wanakuja na wazo la kususa lakini hawana plan B ya nini kifanyike badala yake, hayo kwangu ni mawazo ya kitoto, ukiwasusia CCM bado maisha yataendelea tu, hawajali, na kama wakisusa kweli, bora na uchaguzi mkuu ujao wasishiriki kabisa, kwasababu wakishiriki matokeo yake watawasababishia wafuasi wao madhara kama haya yaliyowapata kwenye uchaguzi huu.

Bora waache kushiriki uchaguzi kabisa ili kulinda roho za wafuasi wao. Hili linatakiwa kufanyika hata huku Bara.
Umeona vyema.

Manahodha hodari hapa ndipo tutawajuwa.

Mazingira ya Zanzibar yanahitaji critical analysis juu ya uamuzi wowote ule.

Tokea mwanzo nakumbuka kuelekea uchaguzi was 2020, ACT walishabainisha kwamba hawatosusa. Technically CCM wamefanya vitimbi na mauaji ili ACT wasuse ili wamalize kazi mapema.

Wapinzani wajipange kwa kutumia uchochoro mwembamba wa Zanzibar wakiwa ndani na nje wapige mziki kama inawezekana.

Kwa yaliyotokea 2020 CCM ilitaka kuwahadaa jumuiya ya kimataifa na hawakuwa na namna kufanya hivyo ilibidi wauwe na kuhujumu ili ule utamu was kuwa peke yao kwenye Serikali na Baraza LA Wawakilishi waendelee.

Sasa wamelazimisha kwa gharama kubwa wakiamini wapinzani watasusa.

Naamini kuwe na hesabu Kali ya kusindikiza mambo na kujichawanya kwenye jumuiya za kimataifa na wawemo ndani ya SUK tuone labda kutakuwa na result gani kuliko kususia moja kwa moja bila ya guarantee yoyote.
 
Vijana mnatakiwa sasa mjifunze,endapo Maalim akakubali alafu kuna watu wapo tayari kufa kwaajili ya mtu flani.una kufa na huyo mnaemfia anaungana na aliewauwa maisha yanaendelea.
"mpumbavu mkubwa wewe usikubali kufa kwaajili ya wanasiasa njaa"
 
Hii ni sayansi ya siasa.

Naamini maamuzi yoyote yatakuwa na kitu cha kushika.

Ukiona wamesusa basi jua kumekucha Zanzibar.

Ukiona wameingia ujuwe hesabu inatakiwa wawemo ili mapambano yanoge.

CCM INA Nazi ya kujibu tuhuma za mauaji na kuvunja sharia, na wakati huo huo GNU inatakiwa iwepo.

Manahodha hodari ndio wanahitajika hapa na sio kususia.
 
Vijana mnatakiwa sasa mjifunze,endapo Maalim akakubali alafu kuna watu wapo tayari kufa kwaajili ya mtu flani.una kufa na huyo mnaemfia anaungana na aliewauwa maisha yanaendelea.
"mpumbavu mkubwa wewe usikubali kufa kwaajili ya wanasiasa njaa"
Safari hii sidhani kama maalim atakubali
 
Vijana mnatakiwa sasa mjifunze,endapo Maalim akakubali alafu kuna watu wapo tayari kufa kwaajili ya mtu flani.una kufa na huyo mnaemfia anaungana na aliewauwa maisha yanaendelea.
"mpumbavu mkubwa wewe usikubali kufa kwaajili ya wanasiasa njaa"
Katika wahafidhina nawe umo.

Waliotenda makosa wanahitaji kuwajibishwa.

Katiba inahitaji GNU. Katika mazingira hayo lazima wahafidhina wawe na wasiwasi iwapo ACT itaingia serikalini.

Mambo mengine acha tusiseme hapa.

Fikiria yatakapokuja masindikizo ya kimataifa kama yapo na walioathiriwa wakiwa wamo serikalini itakuwaje?

Jee huko ndani hali itakuwaje?

Nasisitiza manahodha hodari tu ndio watanielewa.
 
Yakhe uachaguzi sio vita atiii. Tujenge Nchi yetu maisha yaendelee. Usikae na kinyongo haya mambo yashaisha, inaelekea wewe hujui siasa ndio maana wapata shida shida sana. Eti nawewe una mshauri Maalim, hivi kati yako na yeye nani anajua vema siasa?. Kauze urojo na juice ya Miwa ulipe ada za wanao ulamaa
Kwahiyo mmeuwa na kufanya kila unyama pemba ili mate Urais kwa mauaji halafu mtake maridhiano?

Hayo maridhiano mtu akakae na mamaye na babaye.
 
Akikataa then inakuwaje?

Unaongea mtu ambae silaha yake ni kijiko na uma tu?

Waijenge nchi
Jinga kabisa hakuna asiejua jeur ya Maalim ni kwamba UMMA WA WAZANZIBAR upo pamoja na yeye siasa za ZANZIBAR wewe zisikie tuu ukiwa huko Tandahimba
 
Katika wahafidhina nawe umo.

Waliotenda makosa wanahitaji kuwajibishwa.

Katiba inahitaji GNU. Katika mazingira hayo lazima wahafidhina wawe na wasiwasi iwapo ACT itaingia serikalini.

Mambo mengine acha tusiseme hapa.

Fikiria yatakapokuja masindikizo ya kimataifa kama yapo na walioathiriwa wakiwa wamo serikalini itakuwaje?

Jee huko ndani hali itakuwaje?

Nasisitiza manahodha hodari tu ndio watanielewa.
Umeandika point sana mkuu,ila kwamimi msimamo wangu ukopalepale.siwezi kufa kwaajili ya wanasiasa.
 
Mungu amekusikia. Utakufa wewe na kumwacha Maalim akiwa mzima. Hauna arguments. Umejaa chuki dhidi ya binadamu mwenzio. Shetani amekujaa kifuani. Ndio maana mnaua wanadamu wenzenu kwa ajili ya madaraka.
Unamshauri mtu ambae hana zaidi ya miaka mitano inatakiwa awe amakufa kupisha wengine wazaliwe?

Yaani akikataa hii mitano hana kitu kingine anaweza kuifanyia Zanzibar kwa umri wake.

Mdanganye afe bila sifa yoyote.
 
Tunasikia CCM wanakutongoza ili uingie katika maridhiano na CCM , jambo hilo usjije ukalikubali hata sekunde ya sekunde, achana nalo mara moja, wamechukua serikali kwa nguvu, wameteka uchaguzi, wamepanga matokeo, wameyatangaza waliyoyapanga, leo maridhiano ya nini, kubwa lipi lililowafanya watake maridhiano, ndugu wasomaji CCM wamsehinda uchaguzi wa Zanzibar kwa kishindo , sasa haya anayoyadai CCM yanatokea wapi sababu yake nini ?

Maalim Seif kaa chonjo na mtego huu hawa wanataka kukugombanisha na umma uonekane wewe ulitakalo ni madaraka na ccm wanataka wakupe pipi ya umakamo kaambali na pipi hio hizo ni zile pipi za wataliana zilizozikigaiwa Nungwi, madhara yake sio leo leo.

Yaliyotokea Zanzibar hakuna asie yajua kuhusu yaliyofanywa hata CCM kuibuka na ushindi mnono Maalim kaa mbali na ushindi wao ukitia mguu sijui maridhiano maridhiano ulikuwa ufanyike uchaguzi huru, wameuharibu ili watafute maridhiano ya kuhalalisha haramu atakaewakubalia yupamoja nao. Kuna clip zinaenezwa zikimsafisha mshindi wa uchaguzi haramu huo kama tuuonavyo sisi na eti yale yaliofanywa kuupata ushindi yeye hahusiki na hakupendezewa nayo na atawawajibisha waliohusika na mauaji na utesaji, tunkwambia Maalim hilo ni lake akilifanya tutaliona na tutampongeza na asipolifanya bado litabakia kuwa ni lake.

Watu kwa mamia wameuliwa Zanzibar (Unguja na Pemba) leo hii eti maalim njoo tuzungumze yaishe.

Kumbuka kuna watu wako ndani na haijulikani mustakbali wao, kuna wale waliosafirishwa kupelekwa Tanganyika akina Mazuri Naibu Katibu wa ACT-Wazalendo lakini kuna wengine wengi Unguja na Pemba wanateswa kinyama, pia wewe hujui kinachoendelea kuna familia wamekimbia kusikojulikana kama pale Ngwachani Pemba kijiji kizima kimesambaratika kusikojulikana mateso kila aina kwa wapita njia eneo lile mpaka uonyeshe kitambulisho kama unakaa nje ya Ngwachani ndio unapita. Kule shumba Pemba karibu watu 60 wako ndani na mateso na kila siku polisi wanaenda kuangalia nani amerudi kijijini wanamshika zinaachwa nyumba za wana ccm tu.

Mimi nadhani maalim anaweza kukubali kwa masharti ili kunusuru zile familia ziwe huru na watu wengine ambao wanaumizwa kinyama. Kama watakubali kuwaacha huru ni bora kuliko hayo mengine watu watavumilia mpaka Mungu mwenyewe atakapoleta wepese juu ya hao madhalimu waliokubuhu.
 
Umeona vyema.

Manahodha hodari hapa ndipo tutawajuwa.

Mazingira ya Zanzibar yanahitaji critical analysis juu ya uamuzi wowote ule.

Tokea mwanzo nakumbuka kuelekea uchaguzi was 2020, ACT walishabainisha kwamba hawatosusa. Technically CCM wamefanya vitimbi na mauaji ili ACT wasuse ili wamalize kazi mapema.

Wapinzani wajipange kwa kutumia uchochoro mwembamba wa Zanzibar wakiwa ndani na nje wapige mziki kama inawezekana.

Kwa yaliyotokea 2020 CCM ilitaka kuwahadaa jumuiya ya kimataifa na hawakuwa na namna kufanya hivyo ilibidi wauwe na kuhujumu ili ule utamu was kuwa peke yao kwenye Serikali na Baraza LA Wawakilishi waendelee.

Sasa wamelazimisha kwa gharama kubwa wakiamini wapinzani watasusa.

Naamini kuwe na hesabu Kali ya kusindikiza mambo na kujichawanya kwenye jumuiya za kimataifa na wawemo ndani ya SUK tuone labda kutakuwa na result gani kuliko kususia moja kwa moja bila ya guarantee yoyote.
Hizo mbinu za CCM hutumika kote ili kuwakatisha tamaa wapinzani, mfano kutowapa mawakala nakala za matokeo, ili kuwavuruga makusudi wasusie uchaguzi, na wapinzani wakilazimisha kushiriki, ndio CCM wanafanya mambo ya aibu kama waliyofanya mwaka huu.

Watu wa aina hii wanachotaka ni kususiwa, halafu wao watatafuta vile vyama vyepesi vya upinzani wawape nafasi kadhaa maisha yaendelee, nyie mnaosusa ndio mnakuwa mnajifuta kwenye siasa taratibu.

Japo chama cha siasa kinaweza kubaki na wapiga kura wake, kwasababu siasa ni itikadi, na itikadi iko ndani ya mtu, lakini pamoja na hayo hao wapiga kura watakosa kazi ya kufanya kama chao kitakuwa cha kususa tu.
 
Seif achana na tapeli Mbowe wewe kubali kushirikiana na ccm ule mema ya nchi unafikiri Mbowe atakupa hela ya kulipa deni lako pale Serena hotel?
Unafikiri wewe unavyolipwa buku 7 na mwenzako yuko cheap??
 
Back
Top Bottom