The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Haiti ilipata uhuru zaidi ya miaka 200 sasa lakini kwa sababu ya uongozi mbovu... Same to Tanzania. Miaka 60 hakuna la maana linalioendea zaidi ya ule wimbo wetu maarufu wa amani Utafikiri ni sisi tu Afrika nzima wenye amani.Ni aibu sana nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi kusaidia nchi kubwa kama Tanzania eti vi nchi kama mkoa ndo vinasaidia Tanzania sasa UHURU ulikuwa na maana gani.
Wenzetu walishatoka kwenye kuwaza basic needs.