Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Ikiwa bado siku 5 kuanza kwa bunge la bajeti, ni masikitiko makubwa kwa wakazi wa majimbo ya
1. Kawe,
2. Mbeya Mjini
3. Hai
4. Nyamagana
5. Ubungo,
6. Singida Mashariki
Wabunge wa majimbo husika wameshindwa kukutana na wananchi ili kupata maoni yao kuyafikisha bungeni BADALA yake wametumia pesa na marupurupu yatokanayo na ubunge kufanya mikutano ya chadema nje ya majimbo yao.
Tafadhali wabunge wa majimbo niliyoyataja geukeni nyuma na kukumbuka nyinyi ni wawakilishi wa wapiga kura ambao mnatakiwa kuweka mbele mahitaji ya wapiga kura. BADILIKENI mtumikie wana jimbo wenu!!
Kila siku twawasikia kiguu na njia mara Mtwara, Masasi, Newala wakati Sugu ukitamba Dar Live badala ya kupita maeneo ya Mwanjelwa, Soweto, masite nk. kuongea na wapiga kura; HIYO NI HAKI, MTAFAKARI!!!
TEMBELEA Joseph Mbilinyi (Mr II - SUGU) halafu simuoni zitto hapo kwenye list, yeye alishakutana na wananchi?