Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Wabunge wengi wameanza kuona dalili za hatari KUELEKEZA 2025. Wamekimbilia kwenye majimbo kwa kazi maalumu. Moja ya kazi wanayofanya nikutembelea wazee maarufu nakupiga nao picha , pili nikununua viroba vya mchele vichache na kukabidhi kwa kuwalazimisha wapokeaji warekodiwe na picha ziende kwa hewa. Mwisho wamewaweka standby milard na team yake wanapotumiwa tu picha waweke maneno nakutuma kwa umma.
Watu hawa utawaona majimbo ya Kagera, Kilimanjaro, Lindi, Mbeya, Arusha , Kigoma etc
Je mkakati huu wakinunulia wapiga kura wali na pombe za kienyeji utazaa matunda? Kwamba flan ni mtu wa watu, akija tunakaa naye sana kijiweni na anatembelea hadi wazee wasiojiweza.
Uliomba kura kwamba utaleta maendeleo siyo wali na pombe.
Watu hawa utawaona majimbo ya Kagera, Kilimanjaro, Lindi, Mbeya, Arusha , Kigoma etc
Je mkakati huu wakinunulia wapiga kura wali na pombe za kienyeji utazaa matunda? Kwamba flan ni mtu wa watu, akija tunakaa naye sana kijiweni na anatembelea hadi wazee wasiojiweza.
Uliomba kura kwamba utaleta maendeleo siyo wali na pombe.