Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,196
- 138,552
Wandugu nawaomba viongozi na wanachama wote wa CHADEMA kuachana na suala la maandamano ya DSM nawashauri watii mamlaka zilizopo hata biblia inatuagiza.
Tutaumiza wanachama wetu bure chonde chonde jamani AMANI NI KITU CHA THAMANI KUBWA HAIPATIKANI KWA BEI RAHISI
haina shida ni matembezi ya mshikamano Kama Alivyofanya Yule jangili yenu kinana huko kigomaOle wako umlaghai aende kwenye hayo matembezi yenu yasiyokuwa na kichwa wala miguu halafu apigwe na kitu chenye ncha kali. Nitakufuata unipe "chakula cha usiku".
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu kwani lazima uje kuandamana si ubaki tu na mkeo na wakwe zako home mutazame nyimbo za diamond na mzee yusuph?
Pia ikiwa ni CHADEMA mnasema ni maandamano lakin kama ni maCCM na maCUF mnasema ni matembezi ya mshikamano..du......
mkuu SPIKA anafuata kanuni huwezi unalotaka wewe litendeke bila kuzingatia maslahi ya umma pamoja tujenge chama chama hujengwa kwa hoja si maandamano
maandamano si shida ila polisi wameshakataa tuwe waungwana wa kutii sheria bila shurutiHalafu free riders kama wewe ndo wankuwaga vihere-here kula matunda ya Uhuru, tunaandamana, hutaki-acha.....nipo Dodoma naja na famlia yangu kwa ajili ya maandamano tu.....
you really touch my soulEti wanawaiga misri na Tunisia..hiyo kauli mbiu ya people power ni propaganda na brainwashing za nchi za magharibu ili kuvuruga stability ya nchi za kiarabu ili ziendelee kuwa weak na kuwategemea wao na hivyo wao wazungu wapate access ya resource kiulaini.
Nao akina saanane ndo wanatuletea hapa.
It is a well known tactics for them to start what appear as a peacefull demonstration or protest and when the government dont interfere it spread.by the time the government start cracking it turn into civil disorder and then into insurgent and then full rebellion disguised as a MOVEMENT OF,BY and FOR THE PEOPLE.
By that time foreign groups are busy pumping in financial support and even weapons to increase the unrest while they get contract to control our resource.
By the time people are beginning to ask themseleves what is real happening,people are busy killing each other and some are fleeing the country.THAT IS Kind of Bullsh*t people like saanane are preaching.
And am pretty sure by the time things cool down,those responsible for starting it will be loong dead,or living in europe or so old they wear adult diapers and are spoonfeed from a blender.
Ben Saanane; Mitume na Manabii gani walipambana na Mamlaka zao/zipi?
haina shida ni matembezi ya mshikamano Kama Alivyofanya Yule jangili yenu kinana huko kigoma
"Bwana akasema, Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walioko Misri, nami nimekisikia kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao; maana nayajua maumivu yao; nami nimeshuka ili niwaokoe na mikono ya wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hata nchi njema, kisha pana; nchi ijaayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkaanani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi" (Kutoka 3:7,8).
Hata Wana wa Israeli wakati wanakombolewa toka Misri, wapo waliopinga kukombolewa na kusema wameridhika na maisha wanayoishi wakiwa Misri, ila Musa hakukata tamaa aliendelea kuwahimiza kwamba wanapaswa kuondoka Misri.
Na walipoanza safari ya kuondoka Misri, walipofika bahari ya shamu waliogopa sana,
ndipo wana wa Israeli wakamgeukia Musa ?Je kwa sababu hapakuwa na makaburi katika nchi
ya Misri umetutoa huko ili tufe jangwani?? (mstari.11).
Lakini Mungu alikuwa anajua nini kitatokea, alikuwa anawapima ili kuwafundisha waweze kumtumainia yeye,
Musa akawaambia watu ?Msiogope, simameni tu mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo?BWANA
atawapigania,nanyi mtanyamaza kimya? (Kutoka14:13,14)
Hivyo nasi ktk vita hii ya kutafuta ukombozi halisi wa taifa hili tunapaswa kuondoa Woga, ingawa tunajua ktk process hii wapo watakao kufa ila ni bora tufe wachache kama sadaka ili watakao baki waishi maisha ya raha siku zote.
naguswa na nafsi zilizojeruhiwaMkuu kwani lazima uje kuandamana si ubaki tu na mkeo na wakwe zako home mutazame nyimbo za diamond na mzee yusuph?
Pia ikiwa ni CHADEMA mnasema ni maandamano lakin kama ni maCCM na maCUF mnasema ni matembezi ya mshikamano..du......
Mkuu wewe mbona muoga sana wa maandamano kuna nini kwenye maandamano? au waogopa vitu vyenye ncha kali? bora kupambana tu mpaka kieleweke kwani hawa CCM hawana tofauti na wakoloni labda tofauti ni kwa kuwa wao ni weusi.kaka ben huwezi fananisha ujerumani na tanzania kumbuka kule kulikuwa na utawala dhalimu,,,, mandela alipambana na wakoloni sasa sisi tuko huru tunajitawala wenyewe unajua kuruhusu maandamano hovyo inaweza kutokea ya misri nchi yetu ni changa sana kubeba madhila hayo ni bora tuone mbali bora ungefanyika mkutano bila maandamano
kwani ni watu gani wanarusha vitu vyenye ncha Kali Kama sio polisiccm?Bora Kinana anayeua Tembo kuliko nyie mnaotaka sisi tufe kwa kurushiwa vitu vyenye ncha kali kwenye hayo matembezi yenu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
MTATIRO anaimiliki TEMEKE????Maandamano ya Amani, kwa nini msifanyie huko Dodoma karibu na Bunge?. Mnakuja Temeke kwa Mtatiro!, tena karibu kabisa na Kituo kikubwa cha Polisi?. mie nasubiri kuwaona wale watovu wa nidhamu bungeni wanavyomwagiwa maji ya washawasha. Kama ni kufikisha malalamiko kwa wananchi, mbona tayari tumeshajionea jinsi Spika na msaidizi wake wanavyokilinda chama chao na serikali?. nadhani ingekuwa vizuri kama CDM na NCCR wangetafuta hoja za kuwang'oa hao maspika huko Bungeni.
hivi kama bwana yesu ananipa mkate wa kila siku niandamane kwa nini??mkuu wewe mbona muoga sana wa maandamano kuna nini kwenye maandamano? Au waogopa vitu vyenye ncha kali? bora kupambana tu mpaka kieleweke kwani hawa ccm hawana tofauti na wakoloni labda tofauti ni kwa kuwa wao ni weusi.
Kumbuka Musa chini ya utawala wa farao kule misri, kumbuka shadrak meshak na abelnego mpaka wakatupwa kwenye tundu la simba, kumbuka mtume S.A.W alikuwa akipigania kuhusu nn, kumbuka JIHAD ya west Africa under Abdallah Bello na Hajj Umar, Kumbuka Daudi na Goliath, kumbuka Yehoshafati wa yuda na jeshi lake, Kumbuka yoshua na waisrael pale yericko and so on..........................