Chombezo: Tia yote

Chombezo: Tia yote

TIA YOTE~21
(ujana maji ya moto,hayakawi kupoa)

ILIPOISHIAAAAA...........Nipo ndani ya shule baada ya kuingia tokea nyumbani ndio nikasikia sauti nyuma ikiniambia, sikumtambua haraka nikageuza shingo kumuangaliaa...............
ENDELEAAAAAAAAAAA....Niligeuza shingo upesi upesi nikiwa mwingi wa wasi wasi iliyonijaa vilivyo, kitendo cha kugeuka hapo uso kwa uso na sir lusinde, akivalia suti nyeusi na viatu vyake vyeusi vilivyoendana kabisa na suti yake huku mkononi akiwa kaishikilia briefcase(mkoba), aliyoshikilia na mkono wake wa kushoto.
"Aaaah, hapana sir.'",nilibabaika baada ya kumuona, hakuongea zaidi akaondoka tu na kuniacha nimesimama kama mtu aliyeshushwa na gari baada ya kufika sehemu asiyo ijua akiwa akishangaa shangaa, na ugeni wake.
Nilimpotezea na kuanza kuelekea darasani muda huo namba imekwisha hesabiwa wanafunzi ndio wanatawanyika mmoja mmoja.
"Oi gao niaje mkale"ni sauti ya jamaa yangu wa muda mrefu ambaye hatukuweza kuonana kwa kipindi kirefu hiyo ni baada ya kupata matatizo kidogo ya kifamilia.
"Safi ni vipi, frank upo poa"nilimjibu baada ya salamu yake akionekana mchangamfu.
"Niko poa jamaa,nambie."

"Safi vipi mama anaendeleaje ndugu.,"nilimuuliza swali ambalo ndio chanzo cha kumfanya abaki nyumbani.

"Daah, kaka nashukuru mungu, mama amepona kabisa na afya yake ipo imara."
"Aseeh, hongera sana jambo la kushukuru hilo." Tuliendeleaa kuongea maswala machache, kisha kwa pamoja tukaelekea eneo letu maalum la usafi.
Njiani tuliendelea kupiga soga mbili tatu za kukumbukana mana karibia miezi miwili hakuwepo shule, baada ya matatizo ya mama yake.
Tulifika eneo letu na usafi kuendelea, muda ulipepea haraka mpaka kuisha ndipo tukaelekea paredi kea matangazo na vipindi vya wakati huo. Nayo yalienda barabbara na uimbaji wa wimbo wa shule, siku hiyo ilikuwa tofauti sana walimu wote walifika paredi hapo mimi niliweka gutu kwa kuvibebanisha vidole vyangu cha katikati na cha pili kutokea gumba, waliopitia hatua hiyo wanajua.
Nilikuea nikiomba mungu nisitumbuliwe mana nilijisihi ni jibu tena lililoiva tayari, muda mchache mwalimu wa zamu akaanza kuongea kwa niamba ya walimu wengine ambayo pengine walikuja tu au wana ya kwao ya kuongea.

"Good morning scholar."alisalimia kimombo.

"Good morning teacher's"tuliitikia kwa pamoja wanafunzi wote. Baada ya salamu ndio akaanza kuongea.
"Wanafunzi leo ni siku ya ijumaa, mshudhurio yeni ni machache mno karibia nisu ya waafunzi hawapo sasa uongozi wa shule tukiambatana na mwalimu mkuu, tumeona tuandike majina ya wanafunzi wote mliohudhulia leo kwa kila mkondo a baada ya kuandika majina kutaendelea matangazo mengine. Aliongea hapo walimu karibia wote kasoro mwalimu mkuu, walimu walipita kwa kila mwanafunzi kuliandika jina lake mpaka wanamaliza hapo wakajisogeza mbele na karatasi zao walizo andika majina.
"Nadhani zoezi limeisha kila mwanafunzi jina lake tumeliandika, ambaye hajaandikwa atanifata sawa." Alisema mwalimu, yule na kumkaribisha mwalimu mkuu aseme alichokuja nacho siku hiyo.
"Habari zenu wanafunzi"alianza kwa kusalimia kama kawaida tukamwitika wote kwa pamoja, nae hakusita kuendeleaa kuongea.

"Wanafunzi,tunategemea kuanza mitihami yetu jumatatu, mitihani ya nusu mhula ambayo inaanza mwezi wa sita hivyo taarifa kwenu mjiandae mapema, pia taarifa kwa wale wote wenye madeni hamtafanya mitihani hii ikiwa mnadaiwa, hivyo leo mkirudi mchana mkawape taarifa wazazi wenu sawa."aliendelea kuongea huku gutu langu sijatoa, mana nilimuona kama lusinde ananitafuta.
Nilianza kujificha mana alitafuta kwa macho hivyo alinipa wepesi wa kujizuia kwenye vichwa vya wenzangu.
Baada ya mwalimu mkuu kumaliza tuliruhusiwa kuingia darasani hapo nikijiona mjanja bila kujua kinakuja nini.
Nikiongozana na frank kuelekea darasani huku story za kiujamaa zikiendelea kumwagika mana nilimkumbuka sana rafiki yangu huyo.
Tulitembea mpaka kuingia darasani, nilikuta kashapata makazi yani kiti na meza alikaa sehemu yake karibu na mimi. Muda mchache mwalimu akaingia tena lusinde na viboko vyake mkononi.
Walimsalimia baada ya kusimama, mimi sikufungua hata kimya changu niliweka gutu kama kawaida nikijua kila siku ijumaa kumbe kuna jumamosi mpaka alhamis, mimi nilijua siku ni moja tu.
Baada ya kumsalimia wote tukakaa pamoja na mimi.

"Wanafunzi nitakae mtaja hapa atakuja mbele kama hayupo mtasema nimuweke hayupo"aliongea sir lusinde.

"Maamaa,hivi sipo kweli pale nipo lazima"nilijisemea kimoyo moyo nikijua fika nipo,wanafunzi walikaa kimya wote hata kelele zilinyamaza.

"Sikiliza jina sasa,
SHABANI ISSA.
MWAJUMA MUSA,
FRIDA JOHN,
ESTER PAUL,
DANIEL STEPHANO,
AMIRI SHESHE."Aliendelea kuorodhesha majina huku nikiwa makini na gutu langu nimeweka, cha ajabu idadi ya wanafunzi aliokuwa akitaja wengi wao hawakuwepo hivyo wanafunzi walishia kusema 'absent' mpaka saa hiyo walitoka wawili tu, ikafika wakati akastop.
Hapo moyo wangu ulipoa nikijua nimepona.
"Alaah kumbe kuna haya."alisema baada ya kugeuza karatasi nyuma nilijawa na wasi wasi mpaka jina langu linatajwa.
"GAO NASORO."nililisikia hapo kwa upole nikaenda tu mbele.

"Aah mjanja huo, leo umekuja mwenyewe."alisema,hapo sikumfatiliza nikikaa mbele nikiwa mimi na wasichana watatu, jumla tukatimia wanne kidume nikiwa mwenyewe pale, mwalimu alikusanya fimbo zake alizoweka juu ya meza na kuanza kuondoka.
"Haya mfalme njoo na binti zako nimipe dawa."alisema maneni hayo huku akituongoza tumfate, nilichukizwa na maneno yake siku hiyo nilimtolea uvivu.
"aaah sir maneno gani sasa hayo."nilisema kwa kujiamini.

"Hey, ndio nishasema njoo bas na binti wenzio."alinitukana kuniita binti,alafu akaondoka akitegemea nitamfata.

"Sir mimi binti, tuone sasa kama nitakuja, sikufati katu."nilizidi kuongea kwa kujiamini tena ili kuonesha ninachosema nakimaanisha, nilifata begi langu na kumuaga frank jamaa yangu . Nakuanza kuondoka, sikumfata alipotuita hivyo niliondoka moja kwa moja nyumbani sikuangalia hata nyuma nilivaa sura ya kijasiri na ya kujiamini, nikitembea mwendo wa kibabe njiani mpaka kufika nyumbani.

"Gao, mbona mapema siku hizi."ni sauti ya ester iliyochokoa masikio yangu.

"Bhana, niacheee."nilimjibu kwa jazba na kuingia ndani moja kwa moja chumbani kwangu nikabadili nguo za shule na kutoka chumbani kwangu muda huo nilikaa kitako kutazama runinga sikubanduka nikila narudi kukaa hapo hapo tv ilininogea,mpaka inafika usiku hapo bila kuaga nikatoka nje niendako napajua mwenyewe nilianza kuikata njia inayoelekea njia kubwa ipitayo magari muda huo saa mbili mbili nikaelekea mpaka kwenye gari iliyosimama la abiria nikapanda nikiwa na nia ya kwenda kwa mama imma nikijiambia eti nimemmis sana hapi nikisahau kama ni mke wa mtu tena mumewe ni mwanajeshi aliekaa depo mwaka mzima mpaka kufuzu, yote niliyaona hayana mana kwangu.
Gari nililopanda lilinifikisha moja kwa moja mji mwengine, huko nyumbani kwetu nilishuka ili kutembea umbali mfupi ilikufika.
Nilitaka kuingia kwa tofauti siku hiyo nilitega mlangoni pale kama hakuna mtu niingie ndani moja kwa moja, kweli nilifanikiwa kimya cha pale ndani kilipelekea mimi bila haya wala aibu nilitaka kuingia kwa mke wa mwanajeshi ambaye alikaa dapo mwaka mzima kwa mafunzo ya jeshi mimi bila kuogopa nataka nikaibe mali za watu sikujali kukaa kwake depo na uanajeshi wake nilitumia kutokuwepo kwake.
Niliufungua mlango wa mama imma bila hodi na kuingia ndani nikiogopa kuonekana nje.
"Hah,gao umefata nini saa hizi huogopi?"aliongea kwa kushangaa.

"Hamna bhana kawaida mpenzi ondoa shaka."nilisema huku nikimkumbata hapo nikijivisha uhusika wa baba imma.
Nimemkumbatia ila alizidi kuwa na wasi wasi.
"Tulia bas waogopa nini."
"Bhana gao mimi naogopa tutafunywa wewe umekuja tu bila taarifa."alilalamika hapo mimi sikumjali ndio kwanza nilimwachia na kumshika vizuri alafu mkono wangu mmoja nikaupeleka katika ziwa lake la kushoto, akasisimka..................
ITAENDELEAAA
 
TIA YOTE~22
(ujana maji ya moto,hayakawi kupoa)

ILIPOISHIAAAAA..........."Tulia bas waogopa nini."
"Bhana gao mimi naogopa tutafumwa wewe umekuja tu bila taarifa."alilalamika hapo mimi sikumjali ndio kwanza nilimwachia na kumshika vizuri alafu mkono wangu mmoja nikaupeleka katika ziwa lake la kushoto, akasisimka..................
ENDELEAAAAAA Alinipa wakati mgumu hapo mimi mate yakini jaa mdomoni kwa uchu kama nimeona embe bichi, sikuacha kitendo kile nilizi kulipekecha kwa kulishika lote na kufanya kama napaka mafuta.

"gao sss aaaa "alitoa sauti za miguno hapo kono langu likifanya utafiti kwenye ziwa lake lililosimama dede kama vile imma hakulipitia.
Nilianza kupereka kinywa chake moja kwa moja na kuanza kujinywea juisi adimu isiotengenezwa hata na bakresa.
Alionesha ushirikiano kwa kwa kuzungusha ulimi wake akinipa nafasi mimi kuunyonya kama asali iliyojaa kidoleni.
Huku tukiendelea kudendeka mikono yangu ilikuwa hodari kutalii maungo yake, Mke na mume hapo nia na madhumuni tukaburudike chumbani, nilipaona mbali kutokana hamu nilizokuwa nazo.
T tulifia chumbani hapo macho yangu, yakikutana nashuka iliyotandikwa nadhifu na kupendeza kwa rangi yake, ilikiwa shuka nyeupe yenye mauwa yalioipamba zaidi, sikuendelea kukitafakari zaidi chumba kile nilichoona nikuzisikiliza hisia zangu, siku leta ajizi wala kuremba mwandiko kwenye imla ikiwa muda unakaribia kuisha, hivyo bila ajizi nilimsogeza mpaka pale kitandani nilimpa nafasi ya kuvua nguo aliokuwa kavaa wakati huo ilikuwa ni sketi na blaizi iliyoendana na rangi ya shuka yani nyeupe, alikaa pembeni akizivua huki nikimtizama kama mpiga picha anaesubili mteja wake aweke pozi ili amfyatue picha.
Niliendelea kumtizama nae bila hiya na akaanza kudondosha moja moja alianza blauzi akifungua vifungo vyake baada ya kumaliza hapo ndio akahamia chini, alifungua zipu ambayo ndio kishikizo cha sketi ile nayo ilifuka kwa kufata amri iliteremka moja kwa moja hapo sasa akabaki na nguo mbili tu yani sidiria pamoja na na bahasha (chupi)mate yalinijaa pale alipopanda kitandani akiniita nimfate.
Hapo ndio alinimaliza kabisa nilipanda kitandani na uchu wangu kama fisi alieona mzoga.
Nilipanda kwa pupa moja kwa moja nilianza kuutomasa mwili wake kwa mikono yangu yote miwili nilifanya kama mchezo nilikuwa nikipitisha pitisha vidole vyangu hadib ilipolizika hapo sasa ulimi wangu ulikuwa tayari kwa mashambuliizi nilikinyifoa kisidilia chake na kukitupia pembeni ambako hata ningeambiwa nieleze nilipotupo wakati huo ningekosa hata jibu mana nikishapagawa na mwili wa mama imma nilitumia ulimi wangu kuanza kuupitisha kwanzia chini ya kitovu palipomezwa na nywele ambazo wataalamu walizipa jina la "GARDEN LOVE"Sikupaswa kujua maana yake na walichoozimaanisha nywele zile, nilianza kuparaza ulimi wangu nikipanda juu muda huo mama imma akilalamika kwa raha na kutoa sauti za mahaba,niliendelea kupitisha pitisha na kuamia chini nako vile vile alianza kupiga kelele.

"Oooh, gaooo aaahhh weweee jamaniii"alipiga kelele mpaka nikauziba mdomo wake nikijua nje watu watasikia yalikelele hizo zililija baada ya mimi kuichezea gspot yake ilikaa ndani ya tompoo yake.
Maandalizi yaliendelea mpaka napima oil imejaa hapo sasa ndio nikaruhusu dushelele langu, kulitoa huku limefura kwa kulicherewesha pambano, baada ya kulitoa hapo mama imma kalala kifo cha mende hakielewi kwa utamu wa kumchezea nilimsogelea vizuri karibu na mapaja yake kisha moja moja rafiki wawili wakakutana.

"Oooooh, yoteee aaah shh ssss oooopssss aaa"alitia miguno hapo mimi nilianza kuipereka pangoni kea mtindo wa ingiza toa ingiza toa taratibuu, nae alizidi jigeuza geuza kama nyoka alietiwa mafuta ya taa akiwa ndani.
Sikumjali nilizidi kumsurubisha na dushelele langu kuu kuu lilovimba kama limetiwa amira,baada ya kupagawa hapo maneno yakaanza kumtoka mfururizo.

"Aaah, gao penzi lako tamuu yani hata bana imma hakufikiiiiii,ooooghh oooghhh aaahh taamuuu shhiiit sshhh sssss aaahh hapoo ingizaaa ooh yoteeeee aah,"alizidi kilala mika na kunipa mimi bichwa mpaka likavimba na kuwa kubwa kiasi kwamba nikajiona mimi ndio mimi bila kujali mama imma ni mke wa mjeshi, mtanange ulifika tamati pale wote kujikuta tumechoka hata hatujielewi na baridi ile ya usiku akanilalia kifuani hapo nikiwa tayari nimevua nguo zangu na kubaki kifua wazi alinikumbata mpaka nikasahau kama sio nyumbani hapo tulilala mpaka nikajikuta nimestuka baada ya mama imma kujigeuza na kunipa mgongo akina nafasi nimkumbate kwa nyuma, hapo niliamka nakuanza kushangaa.

"Haaa,mungu wangu niko wapi hapa?"nilijiuliza swali ikiwa jibu nilikuwa nalo tayari.

"Aah, kwa mama imma uuuuh"nilijishangaa sana hapo sasa kimuhe muhe cha woga mana nikikutwa humo msala.
Nilitafuta nilipotupa nguo zangu mana nyengine nilizishusha kwa miguu nilizitafuta na kuzivaa tayari, mama imma hajielewi kitandani ndio kwanza anakoroma na kujifunika shuka vizuri.
sikujisumbua kumuamsha nilitoka kimya kimya kuipita milango yote nilielekea nje.
Nilifanikiwa kuufungua mlango wa nje niliofungua taratibu japo ulikuwa haujafungwa na kitasa hivyo nilifingua taratibu mpaka nilipofanikiwa hapo nikatoka nje giza totoro kila mahali palimezwa na giza ni milio tu ya wadudu na.
Nilitembea kwa tahadhari kabla sijatoka nje kimbembe ni pale nilipokutana na geti dogo la bati, nilijiraumu siku hiyo kwanini nilikuja pale mana getibhilo sikuwa na ufundi wa kurifunga hivyo ikinipa wakati mgumu kiasi kwamba.
Ilinibidi nitumie akili za ziada mpaka kufanikiwa kuufungua kitasa kilichofungia, nilianza kusukuma ufunguke nitoke kitendo cha kutaka kuufungua hapo sasa nikasikia sauti ya baba akikohoa alinitia woga, hapo akili za haraka zikanituma nililirukia uwa lile hadi kusababisa kulivunja sikujali nilikimbia usiku, huo nilizidi kuingia woga mana kutoka kwetu mpaka kwa shangazi ni mbali japo sio umbali wa kilometer nyingi hazifiki kumi.
Nilianza kutembea huku macho juu juu nikiogopa.
Usiku huo kulitulia hata kilichokuwa kinakuja mbele sikuwa nikikiona nilitembea kwa tahadhali kufatana na barabara ya kuelekea nyumbani mala hammadi "MUNGU SI ATHUMANI" nilijikuta tayari nimezungukwa na jopo la vijana walioshilikilia mapanga pamoja na tochi wakinimulika.

"Ndio huyu huyu, anatoka wapi saa hizi kama sio miongoni mwao."alisema mmoja wao huku wengine wakizogoma zogoma niliogopa mara dufu mpaka haja ndogo ikanitoka moja kwa moja..........
ITAENDELEAAAAAA.
 
TIA YOTE----23

ILIPOISHIAAA.....katika juhudi za kurudi nyumbani baada ya kutoka kwa mama imma, nilitembea na giza ndipo watu nisio wafahamu tena hata sauti zao zilikuwa ngeni masikioni mwangu sikuweza kujitambua, hapo walinizunguka huku mikononi na silaha zao walipo nizunguka huku wakibisha bishana hapi mmoja wao akanifata pale katikati...........
ENDELEAAAAAAAAAAA.................. Nilihisi marue rue..
"Wewe nani na unatoka,?"ni swali la kwanza aliloniuliza, yule alienifata pale katikati.
Nikikosa cha kumjibu kwa woga ulionikaa usiku ule.
"Bhan oya anachereweshwa nini huyo apigwe tu, mwizi"alisema mmoja wao mkono kashikilia panga, nililoliona kupitia mwanga wa torch.

"Tulia, kwanza wewe."
"Aahh, tulia nini huyo apigwe au tumpeleke kituoni akaeleze."alizidi kuchochea yule mwengine, hapo sasa kinywa changu kilikuwa tayari kufunguka.
"Jamani mimi sio mwizi,"maneno yalinitoka.
"Sio mwizi unatoka wapi peku peku hivyo."nilikuwa sijajiangalia na hata habari sina kuangalia hapo kweli viatu sina, sikuweza kuwa na kumbu kumbu sahihi juu ya nilipotupa viatu vyangu.
"Huyu ni wale wale embu nipishe"alikipenyeza mmoja aliekuwa kashika gongo, alizuliwa ila tayari alirusha gongo likanipiga la kiuno.

"Oooooh,aaaaaah"nilitoa ukelele wa maumivu.

"Bhana niacheni,sasa kazi gani ya kiboya hii mwizi huyo tumsurubu mwaleta ujinga"alisema kwa jazba.
"Jaman mimi sio mwizi nimekimbizwa kule wakati natoka nje kukojoa ndio wakatokea watu wenye mapanga na kuanza kunifukuza."nilitamka uongo uliofanana na ukweli kabisa,sikujua kama watanielewa wakati huo kiuno kinaleta shida nayasikia maumivu niliyoishia kuyavumilia tu.
Walizozana zozana, muda huo niligundua ni sungusungu,walinielewa kishingo upande upande ila yule mmoja wao hakuweza kuamini aliwalaumu sana wenzake na kutukana matusi kadhaa hasa upumbavu,ujinga na uboya, aliyatamka maneno yale kuwaambia wenzake baada ya kuniachia mimi.

"Sawa kwenu wapi.?"

"sipajui nilikimbia tu giza hili siwezi kufahamu"

"Umetokea wapi?"alizidi kuniuliza maswali ambayo sikuonesha ushirikiano, alikosa hata cha kuendelea kuniuliza hivyo alichofanya ni kuniekekeza njia ya kutokea kwenye kituo cha magari.
Nilimshukuru, kisha nikaachana nao hapo moja kwa moja nikaanza kuongoza kuifata barabara ile, njiani nilianza kujitisha mwenyewe na kuogopa kabisa, niliendelea kutembea na mwendo huo wa kuogopa ogopa.
Wakati nikitembea mwendo wa kulazimisha kiuno kishirikiane na miguu ili nwendo uendeleaa, nilishaangaa gari kubwa la mizigo likipita huku gurudumu zake ziligongana gongana kibaya zaidi halikuwa na taa, Lilitembea na giza lake bila kujali mashimo ba mabonde yaliyopo njiani hapo sasa nilibaki mdomo wazi liliponikaribia gari lile ambalo sidhani kama waliomo ndani waliniona nililiita ni gari kutokana na ukubwa wale ila lilinishangaza liliponifikia halikuwa gari kama nilivyotegemea.
Nilishaangaa sana hadi kukikuta nakimbilia mti uliokopembezoni mwa pale, hapo nilisitiri mwili wangu kutokana na woga ulionijaa,
Niliogopa sana lile halikuwa gari ila ni treni.
Sijasumbua kichwa kujua ni aina gani ya tren inayopita kwenye barabare ambayo sio yake.
Kwa woga niliishia kujibanza kwenye mti nikisubiria lipoteee katika ngoma za masikio yangu, sikuwa nikiliona zaidi ya ya mgongano wa gurudumu.
Sikuwa na habari kumbe muda unazidi kusogea tu, nilitoka mafichoni pale na kuanza kuifata njia ile, mwendo niliotembea ni kama roboti kiuno hakikuwa tayari kutoa ushirikiano niliendelea kukiradhimisha tu ilimradi nifike nyumbani japo naogopa.
Baada ya umbali kadhaa nilikaribia nyumbani kabisa ndio nipo kwenye njia ndogo ya kuingia nyumbani.
Kwa mwendo ule ule,
Mara hammadi bila kuonabnilijikuta nakanyaga mkia wa mmbwa hapo ikawa kama nimemchokoza alianza kupiga kelele za kuboha nilijilazimisha na kurusha teke lililompiga akakimbia, hapo nikapata nafasi ya kufika nyumbani.
Japo nimetumia juhudi zote mpaka nafika nyumbani ila bado ilikuwa kama nimecheza tu mana geti lilisha fungwa tayari hivyo njia ya kuingia ndani hakuna.
Kwa akili za haraka zisizotaka umakini wa kufikiri niliona nipande juu hata nilale uwani,nilisahau kama kiuno changu hakipo imala nilikifanya kuruka juu mzima mzima, kuruka niliruka vizuri kilichonikwamisha ni pale kuvuta mguu kuweka pale juu hapo niliamsha maumivu nikajikuta naanguka chini kabisa.
"Aiiiiiiiii"kelele hazikuacha nitoka, mithili ya mtu alievamia miba tena migunga, lazima kelele zikutoke.
Nilipoteza umaridadi wa kuamka pale chini, niliamua kupageuza kitanda na kulala nikijifunika ngumi.
Usiku ulikuwa mrefu sana, nikiwa nimelala sijui kinachoendelea.
Kilipita kimya hadi kujakukohoa,hiyo ndio ikawa sababu yangu ya kuamka niliamka nikifikicha macho, uchovu wa kuamka.

"Haaah nipo wapi hapa"nilijipa swali na kuamka kusimama nikishangaa shangaa, na kuondoka eneo lile kusubiri mlango ufunguliwe nipate nafasi ya kuingia ndani.
Muda mchache nilisikia ukifunguliwa, macho yote nikayaelekeza getini kuangalia anetoka,
Nilikodoa macho bila mafanikio kwani hakuna alietoka ilinibidi niende kwa tahadhali kwanza nilichungulia uwani hakuna mtu ndipo nikanyata hadi kujituliza kwenye mauwa.
nilijiona mjanja sana kumshinda sungura kumbe nipo mtegoni bila kujua.
Nilijitoa na kuufata mlango haraka haraka nikijua bado wamelala.
Ile kufinya kitasa na kuingia ndani kabla sijageuka mana nilipoufinya niliingia taratibu sikuangalia mbele nilimrudisha mlango taratibu sasa ile kuugeuka tu, shangazi huyo kasimama mbele.............................
ITAENDELEAAAAA
 
TIA YOTE------24

ILIYOPITA..........Baada ya kujibanza banza sehemu kadhaa ikiwemo kwenye maua ya pale uwani, yote ni kukificha nisionwe na mtu.
Harakati zote zilikuwa bure kwani, nilipopata maamuzi ya kuingia ndani hapo ikawa kama kosa kitendo cha kufinya kitasa na kuingia ndani nikiurudisha mlango taaratibu bila kuangalia mbele ndipo namaliza sasa kurudoshia ile nageuka ili niondoke hammadi shangazi mbele yangu........
ENDELEAAAAAA SAAAA.........
Alionekana amefura zaidi kwa hasira hata sura yake ilionesha, hata lile tabasamu la sikuzote linalompendezesha uso, halikuonekana.
Siku subiri aanze kuongea nilianza kibabaika peke yangu..
"Aa aa nililala uwaniii."nilibabaika mithili ya bubu aliezoea kuongea kisha akapata kilema cha ghafla huku akijaribu kuitafuta sauti ikae sawa.

"Nimekuuliza.?"alisema shangazi hapo tayari alinimezesha woga, nikimuogopa kama anatisha.

"Hivi gao kwanini unataka kunipa presha eeh kwanini.?"aling'aka vilivyo hapo sikupenda kumzidishia hasira ilinibidi ni nywee kama piriton.

"Nimechoka kulazwa macho, nimechoka utaniua na presha urudi tu kwenu."alisema, shangazi hapo sasa ikawa kama kamshitua alielala udingizi wabkukesha kibaya zaidi ametumia maji aliyoyagandisha na friji.
"Nisameee shangazi nisamehe tafadhali nakuomba nisamehe sintarudia tena"nilimwaga maneno mfululizo,nikimtaka shangazi anisamehe.

"Mimi nimechoka kitendo ilichofanya sijapenda kumbuka mara ya pili ya kwanza umeondoka bila kuaga ikiwa nakuita leo umelala huko huko, mara nyingine si utafia uko uko umeona ulivyojaa vumbi, mimi nimechoka urudi kwenu"shangazi hakuregeza kamba hakutaka kunipa msamaha kabisa, alipo niambia nimejaa vumbi ndio nikapata nafasi ya kujiangalia,nilikuwa kama kikagula au kichaa aliejiogesha vumbi.

"Nisameheme shangazi tafadhali sitarudia nisamehe tu."nilizidi kuomba msamaha ila ikawa kama natwanga maji kwani shangazi alikuwa kakasirika sana.

"Careeen, careeeen"aliita kea jazba sikujua anamwita wa nini, nae muda mchache akaja kiupole mana tayari alijua hali ya mama yake.

"Abeeeh mama"

"nenda kule ndani anakolala huyu mpuuzi ukatoe nguo zake utie ndani ya begi ulete hapa, umesikia haraka "alisema kwa jazba hapo nilitulia kimya nikiona aibu kuomba msamaha mbele ya careen.

"Mama kwani kuna nini, na mbona gao kachafuka hivyo.?"aliongea kiipole careen.

"Nawewe sitaki maswali, nenda karete harakaa." Alizidi kupiga kelele, careen aliondoka kwa kujirazimisha hadi kuingia chumbani kwangu.
Kuondoka kwa careen ndio nilipata nafasi ya kuomba msamaha.

"Shangazi nisamehe, nakuomba nisamehe nitaenda wapi nisamehe usinifukuze."niliomba msamaha kwakulalamika na magoti nikapiga kabisa kumaanisha nauhitaji msamaha.

"Utaenda kwa mama yako, sipendi kulazwa macho, nimekaa hapo kwenye makochi muda mrefu nikisubiri uingie nilikuwa macho tu sasa mimi naona ukakae na mama yako tu."alizidi pigilia msumali tena wa inch nne akizidi ushindilia, kwa hali ile niliona msamaha ni ndoto nilikosa matumaini kabisa ya kusamehewa.

"Wewe, careeen fanya haraka."

"Namalizia mama."alisema careen, sauti ikitokea ndani, niliamka tu mana msamaha hakuweza nisaidia shangazi kakasirika hadi kumfanya atishe kama chatu aliejizungusha kwenye mti huku ulimi upo nje akisubiri mpita njia amtafune.
Muda mchache Neema akaja akitokea ndani alionekana kushangazwa na hali yangu akasogea hadi pale na Careen nae akatoka ndani kwangu huku kashikilia begi langu mkononi.

"Mama nini tena mbona yupo hivi jana alikuwa wapi.?"aliuliza Neema.

"nilishakataa maswali na wewe unauliza embu nyamaza huyu aende kwao."kitendo cha kusema vile ikawa kama kamsitua Neema, alianza kuniombea msamaha careen nae alianza kuomba yani wote wakijua wapo peke yao huku kila mmoja akizania mwenzake anasaidia kuomba kumbe ni mpenzi mwenza, kama mmoja wao au wote wangejua nimetafuna mpaka Ester na wao wawili sidhani kama wangeshiriki kuniombea msamaha tena ndio wangekandamiza nifukuzwe.

"Mama msamehe tu, muulize vizuri alipolala hujui kakutana na nini huko, msamehe mama tushamzoea sasa ukimfukuza tutabaki na nani."alilalamika neema huku machozi yakimtoka, nilijua fika anachogombea nisiondoke yote ni dushelele.

"Msiniletee uchuro wenu sawa."alisema shangazi.
Wakati huo tayari Alipoa japo sio sana,nadhani maneno ya Neema aliyasikia vizuri hapo akakaa kimya huku kisha akanyanyua kinywa.

"Nenda kaoge kisha ukivaa njoo hapa, nawewe pereka begi ndani.

"Asante shangazi kwa kunisamehe asante."nilisema na kuelekea bafuni kama alivyonambia, sikungoja aongee tena haraka niliingia bafuni na kuvua nguo zangu ambazo kabla sijavua nilijitazama sikuwa na tofauti na kigagula mana nilichafuka mnoo, sikujali nikazivua na kuanza kuoga nilitumia bomba la juu linalo mwaga maji chini baada ya kujiswafi na kujihakikishia nimetaka, ila wakati huo kwa mbali nilisikia kiuno kikiuma japo sio sana hata nilipopiga magoti kiliuma ila sikutaka shangazi ajue,nilichoona wakati huo ni kujinyosha ili hata kikaesawa, nilijibunua mikono kuireta nyuma na kicgwa nacho kikiangalia nyuma, ili kujinyoosha kiuno.

"Aaaahhhhhhhhhhhhh"nililalamika maumivu ya kiuno, sauti ambayo sikujua kama wanasikia walioko nje.
Sikuendelea nikaacha ila nilijiona kidogo kimekaa sawa hapo nikajimwagia maji tena, kisha nikajifuta maji na taulo lililokuwa juu ya mlango, nikatumia kuvaa lilelile.
nikazichukua nguo zangu chafu nilizoshika kwa tahadhali zisinichafue sasa wakati napita pale sebuleni na ushikaji wangu ule wa nguo kabla sijamalizikia hele zikanguka nusu shangazi aone.
"hizo nini.?"aliuliza.
"Hamna shangazi sio kitu."nilivyomjibu hivyo hakuendelea kuongea mana nilitupa na nguo chini ili kumpumbaza hapo nikajua hakuona kabisa kisha nikaingia ndani, nilivaa sanjari na kupaka mafuta,nilipo maliza nikakaa kitandani kupangilia maneno ya kwenda kumuongopea shangazi mpaka anielewe, nilitumia muda kupangilia nikijadili na kichwa tu.
Nilipohakikishwa nimetengeneza maneno ya kueleweka ambayo nikimwambia lazima akubali tu bila kipingamizi nikatoka sasa nikionana na shangazi aliekuwa ananisubiri kwa hamu nimulezee vyote vilivyonilaza nje.

"Mhuu ushaoga sasa nadhani mwili umechangamka, haya jana ulienda wapi na ulilala nje kwanini na kwanini umekuja umechafuka?."aliniorodhoshea maswali akiyokuwa akiyatakia majibu kwa ufasaha na mimi nikaanza kushuka essay ya kuongea maneno nilianza kuporomosha maneno ya uongo na kweli.
"Shangazi mimi nilipo ondika hapa moja kwa mojanilienda pale dukani kwa mangi tunapo kaaga na na kina twite sasa tumekaa pale tukipiga story huku masaa yakienda kutokana nabkunogewa na story sikukumbuka nyumbani niliendelea kubaki mpaka wakatokea watu ambao hatukuwafahamu walianza kutukimbiza na mapanga tulikimbia kwa kutawanyika kila mmoha akielekea kwake sasa bahati mbaya mimi nilielekea kwenye mapori huko alinifata mmoja ambae haku katatamaa alinifukuza kama mmbwa kila nikanguka nilikuwa naamka mana alinikimbiza kama masubwi nilidondoka mara kadhaa na kuamka kisha naendelea kukimbia mpaka nilimpoteza, baada ya kumpoteza porini ndio nimetafuta njia ya nyumbani kisha nilitokea barabarani niliifata mpaka kufika hapa, nako ilinibidi nilale nje tena chini baada ya kujua geti limefungwa ndio asubuhi nimeingia ndani baada ya kusikia mlango umefunguliwa, kufika hapa ndio tunakutana.,"nilihitimisha uongo wangu, ambao niliupa taswira kama ni ukweli.

"Haaah,pole mwanangu kumbe umepata tabu yote hiyo pole sana"alizidi kunipa pole akionekana amehuzunishwa na tukio lile.
Nilijipongeza kwa kuongea uongo ule uliomfanya shangazi aniamini.
Baada ya maongezi kufika tamati nilingia chumbani nikisubiri chai ninywe, shangazi nae akibaki pale sebuleni.
Nilitoka ndani na kuelekea meza ya chakula na kujilia mikate kadhaa na chai ya maziwa vilivyozidi nipa nguvu.
Siku hiyo ya jumamosi iliisha vizuri tu,nikionekana mpole isivyo kawaida yote ni kuwa na tahadhali juu ya shangazi asijenifukuza.
Muda ukikimbia kama umeme mpaka usiku unafika tunakula kisha nikaekekea chumbani kwangu kulala, nikiutafuta usingizi kila nikiutafuta unakataa kuja, hali iliyopelekea nijitokee tu kutizama runinga.
Nilikuwa peke yangu, natizama tv niko makini mara nashangaa nimekaliwa na neema sikumuona alivyokuja nilishangaa kanikalia na nguo yake ya kulalia iliyoacha wazi mapaja yake hasa upande wa nyuma kutokana na kupandishwa na kitonga alichofungasha............
ITAENDELEAAAAAA
 
TIA YOTE----26

ILIPOISHIA...Nipo nyumbani kwa yule ambaye hata jina lake lilishanitoka kutokana na kutokumuona muda mrefu, Baada ya kumtafuta kwenye simu na kutaka nikamuone, na kweli nikaenda bila kipingamizi mapaka kufika kwake na kuingia alinikaribisha kistaarabu nikaingia kama kwangu kisha alienda moja kwa moja kuniretea kinywaji ambacho nilikipokea kinadhifu kisha nikaanza kukinywa huku tukipiga story nabkucheka dakika kadhaa mlango ulifunguliwa na kuingia mwanaume aliye jazia misuli yake, hapo dada yule alipomuona alishtuka....ENDELEAAAAAAAAA.......alinishangaza nisijue sababu iliyomfanya ashtuke.
"Habari zenu."ilitoka sauti nzito ikitusalimu, ambayo mimi niliitika ila dada yule hakuitika.

"Si nakusalimia mbona huitiki, ahaa kumbe tabia zako kuingiza mabwana zako mimi nisipo kuepo"alisema jamaa yule hapo akanitia woga, kibaya zaidi alikuwa anakuja kule tulipokaa huku mikono yake ikiwa mifukoni.

"Hapana mume wangu, huyu ni mdogo wangu tu"alizidi kumhanya hapo mimi nikiwa sielewi kinachoendeleaa, nilitaka kuamka niondoke baada ya kuona mambo yamekuwa mambo jamaa amejasirika vilivyo.

"Unaenda wapi, unaenda wapi, unaenda wapiii eeh"alinikamata mkono baada ya kutaka kuondoka nilipona moto umewaka, nilikosa cha kujibu baada ya kunidaka mkono huku akinitaka niseme ninapoenda, nikiwa nimezubaa.

"Si nakiuliza eeh"aliongea kwa jazba na kunipiga kelebu juu ya shavu langu.

"Mume wangu usimpige, usimpige"alinitete yule dada ila ikawa kama kachochea moto uliokaribia kuzimika.

"Usiseme malaya wewe, kipi unakosa kwangu mpaka utembee na watoto kama huyu, yani mnafanya kucheka cheka ndani kwangu huku mkishikana shikana."alizidi kusema jamaa yule.
Huku amefura vya kutosha hata uso umeweka mipindo pindo, hakutaka kuniachia kabisa pamoja na kunitandika kelebu juu ya shavu langu.

"Mume wangu huyobni rafiki tu jamani muache usimpige."alizidi kunitetea dada yule.

"Wee, nyamaza ngoja nimuoneshe"alinitisha na kunitandika kofi sasa zito.

"Bro nisamehe kaniita mwenyewe."

"Unasemaje, nyamaza unajua ukimuona anapendeza ndivyo alivyo zaliwa jua ni matunzo, yangu sawa leo nakufundisha"alisema huku akiipekua sarawili yake kuutoa mkanda kisha kunivutia pembeni,Mke wake aliamka kutetea ila nae aliambulia kipigo,na kukaa kando akiangalia tu mchezo.
Alinitight mimi vizuri kisha kunishushia vilivyo mikanda isio na idadi huku akinionya.

"Kaka nisamehe mbona unazidi kuniumiza, nisamehe."

"Nyamaza boya wewe unajua napoteza kiasi gani kumpendezesha mpaka wewe uje kumtumia tu bure, alaah nakupa fundisho"alinikomalia akiwa tayari amesha nisurubu
Na bado hakulizika aliachana na mkanda kisha kuanza kunitupia ngumi,nilijifanya najua kupigana eti nazuia ilikuwa kama kosa alinidaka vyema shingoni kisha ngumi za mbavu kuanza ambazo zilinitoa machozi.
Nakuanza kulalamika yule dada aliamka ilikuja kumzuia asiendelee niumiza lakini aliambulia kofi ambalo lilimpeleka chini sambamba na kudondokea mgongo hadi kutoa ukelele wa maumivu, hakumjali nilipata maumivu ambayo nilishindwa kujitetea kabisa na kipigo kile.

"Utanijua leo kama mkuliya ni nani"Alinishangaza aliposema yeye ninmkuliya hapo nikambuka rafiki yale maneno yankuwa wakulya hawana huruma, sasa nilifikili huyu ataniua hivyi nilichoona hata msamaha sio chochote, aliniamsha pale nilipo anguka chini na kuniegemeza ukutani huku akiendelea kunishushia kipigo bahati mbaya sarawili yake ilikuwa mbioni kumdondoka baada ya kuitoa mkanda hivyo ilimbidi aniachie ilikuizuia sarawili yake, hapo ndio nilipata penyo nilichomoka haraka kuukimbilia mlango kea dhumuni la kutoka nje haraka nikiea mbioni kukimbia kumbe na yeye aliniwahi na kurusha teke lililo nisindikiza nje moja kwa moja nilitaka kudondoka ila nilijizuia haraka nikaondoka mbio mbio na maumivu yangu.
Nilijihisi mwana masumbwi anaekaribia kufika tamati kisha mpinzani wake akiwa sambamba na yeye hapo lazima mbio zizidi, ndivyo ilivyokuwa kwangu nikijiona nimeponyeka chupu chupu mikononi mwa mkuliya neno msamaha asielijua maishani mwake.
Nilipotea eneo lile hatabile nyumba nilikuwa mbali nayo, nikaanza safari ya kuelekea kituo cha karibu cha magari nilipanda baada ya kukuta gari linalo ngoja abiria.
Nikiwa garini nimekaa mwili umechoka kwa kipigo hata vazi langu hasa shati lilikuwa na mikunyo ya mikono aliyokuwa akinikunja.

"Kaka, kaka vipi."iliita sauti ya kike, sikutaka hata kugeuka nikiona itakuwa najisumbua, nilichokuwa nafikilia nikufika nyumbani, dada yule hakukoma kujiita yani kweli Zz"USILOLIJUA SAWA NA USIKU WA GIZA"sikumsikiliza dada yule aliekuwa anaichosha sauti yake kwa kuniita nikisahau msemo wa KUBALI WITO KATAA MANENO"nilimpotezea mpaka gari inasimama kituo ninachoshuka hata ile nataka kushuka alinizidi kuniita ila niliona ananisumbua akili yangu haikuwa pale, nilimfikia konda alietaka tozo lake la nauli hapo ndio nikaingiza mkono mfukon, nilishangazwa mana kulikuwa patupu.

"Oya lete pesa hiyo unatucherewesha"aliongea konda,nilishangaa peke yangu mana pesa ilikuwa mfukoni kisha nisiione, Lilikuwa jambo la ajabu, ila nilikosa jibu baada ya kukumbuka tukio la masaa kadhaa na yule mkulya aliekuwa akionesha umwamba wake mwilini kwangu.
Nikiwa katika harakati za kurudia kuitafuta pesa ikiwa tayari jibu ninalo kuwa pesa haipo.
Nilishangaa shangaa huku konda akilalamika nampotezea muda mpaka akanisaidia kutafuta, ndipo akaja mdada.

"Kaka, mambo pesa zako ulizidondosha kwenye gari nimekuita hukunisikia."ni sauti nadhifu ilimtoka dada yule, alieonekana mpole kupita kiasi hapo nilimshukuru sana ama kweli "USIMDHARAU USIE MJUA."nikidharau aliponiita ila kumbe hakuniitia kibaya,nilimkabidhi konda nauli yake na yule dada kuingia ndani nikimsindukiza kwa macho tu, baada ya gari kujaza abiria likaondoka na mimi kwa woga nikaanza kukipitisha pitisha kwenye vichochoro nisikitane na halaiki ya watu wakanicheka kea muonekano wangu.
Nilitembea dakika kadhaa nikaifikia nyumba yetu, nikaingia haraka haraka kwa makini break ya kwanza ilikuwa mlangoni kuingia sebuleni.
nilipita kwa kunyata baada ya kuwaona Doreen na Careen, wamekaa pale nilichepuka haraka mpaka chumbani kwangu walichosikia ni kubamizwa kwa mlango wangu wa chumbani.
Nilipoingia nikaufunga vizuri.
Na kutulia nikiwa ndani, nikiugulia maumivu ya mwili ambayo wakati huo ndio niliyasikia vizuri kila mahali palipo pitiwa na kipigo palianza kuuma.
Niliona sina cha zaidi ya kulala tu.
Kutokana na kuchoka kwa mwili nikajikuta ninalala muda mrefu sana kiasi kwamba nikapitiliza mpaka saa tatu usiku nikipostuka kwa kung'atwa na mbu.
Hapo ndio nikaamka,moja kwa moja nilitika nje tumbo jepesi halina kitu ndani.

"Haah wewe gao ulikuwa wapi."ni sauti ya kushangaa alionishangalia Neema akiwa na wenzake, katika ile meza ya chakula sikujibu swali lake zaidi ya kusogea pale wa lipo na kukipakulia chakula bila kuongea na mtu nikionekana mnyonge.

"Gao unanini mbona umechoka hivyo."aliuliza mmoja wao ambaye sijaangaika kumjua ni nani, zaidi ya kuendelea upakuzi kisha nilipomaliza nikaanza kula, Nilihitimisha ulaji ndipo nikanyanyua kinywa kuongea.

"Nimechoka leo nilikuwa nimelala, careen naomba unifulie kesho shule."nilitoa agizo.

"nishafua tayari, gao nimepiga nitazipiga pas pia."alisema careen,hapobnikashikuru na kurudi chumbani kujiandaa kwa ajili ya kuelekea bafuni kuoga, sikuongea na wakina neema wala Ester alievuta mdomo pale aliponiona nilijua fika ni kutokana na kugoma kumpa alichotaka.
Nilivaa taulo na kuingia bafuni nilipooga haraka haraka, ili kuwahi kulala mwili hauna nguvu.
Nilipomaliza kuoga nikawahi ndani kulala hata shangazi sikukumbuka kuuliza kama yupo, sikuwa na muda huo zaidi ya kujisikiliza maumivu tu.
NIlipo ingia ndani kwangu nilijikuta narukia kitanda kivivu kama mzigo wa viazi uliotupwa chini baada ya mbebaji kuchoka kuubeba.
Nilijisindikiza na mikono kidha hapo hapo, usingizi ukanijaa nililala kabisa, kikapita kimya kirefu nikikoroma tu.
Mpaka kunakucha siku hiyo ilikuwa tofauti kutokana Ester kutokuniamshabikiwabkawaida yake ni kuniamsha, nilijua kisirani chake hata siku mfikilia sana nikaamka na kujianda nguo zangu nilizikuta mezani nikazichukua kisha nikaingia ndani kuzivaa mwishowe safari ya shule ikaanza, nilitembea mita kadhaa bado mwili haupo sawa umechoka choka niliingia tayari shule baada ya kufika.
Tulihesabiwa na kwenda kwenye maeneo yetu ya usafi sikukutana n frank wakati huo, sijamuona nilijua hakufika bado hivyo niliendelea na usafi mpaka kengere ya paredi ikagongwa kisha tulipo kaa paredi tukaruhusiwa kuingia darasani huko ndio ilikiwa kasheshe mana nilielekea chooni au lugha nyengine msalani, nilipopita kule nyuma nilishangaa Grace kunifata na kunikumbata huku akilia kabisa tena alivyonikumbata baadhi ya machozi yalinidodea kifuani hata nilipojaribu kumuliza amepatwa na nini aliendelea kulia tu................ ....
ITAENDELEAAAA....
 
TIA YOTE-----27

ILIPOISHIA......... nilishangaa Grace kunifata na kunikumbata huku akilia kabisa tena alivyonikumbata baadhi ya machozi yalinidodea kifuani hata nilipojaribu kumuliza amepatwa na nini aliendelea kulia tu................ ....
ENDELEAAAA.... Kitendo kilebkilinishangaza vya kutosha na kushindwa kupata tafasiri kamili ya kilio cha Grace.

"Grace unalia nini naomba unambie jamani,kipi kinakuliza."

"Gao acha tu yani sijui wanaume mpewe nini,aah najuta"alisema grace hapo kidogo picha ilinijia,na kujua fika ni mapenzi hayo ndio yanamsumbua japo sijajua kwa kina tatizo lake ila nilihisi tu kutokana na maneno yake.

"Wanaume wananini?,Grace"nikamshushia swali.

"Gao mimi siamini kama Ally kanifanyia vile."alizidi kuongea huku akilia kwa kufina fina,aliniacha na lundo la maswali ambayo nikimshushia ni zaidi ya police.

"Ally ndio nani na amefanya nini,?"

"Gao sikuwahi kukwambia, kabla kuwa nina mpenzi anaeitwa ally."

"ndio hujanambia sasa ally ni nani na unalia nini.?"niliendelea na upolice wangu, ambao haukuwa rasmi.

"Gao naomba tukakae, nikuambie ila inaniuma sana," Alisema, na kukaa sehemu kisha akaanza kunielezea, japo siku hiyo ilikuwa ya kuanza mitihani ya mwezi wa sita, hiyo haikuwa sababu ya kutoacha kuniambia , tukaa pembeni huku nikijaribu kuubana mkojo uliokuwa umenibana, ndio Grace akaanza kunielezea.

"Gao mimi siamini nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulijuana kabla sijahamia shule hii, mana nilikuwa nasoma shule jirani ila mpenzi wangu anasoma shule hii tena kidato cha nne, mwanzoni alinipenda na kunisikiliza kwa kila nitakacho mwambia tulipendana sana ila wiki mbili za nyuma hapo mwenzangu kaanza kubadilika kiasi kwamba hata simu hanipigii wala hanitumii jumbe, hali ile ilikuwa kila siku nikimwambia anachonijibu ni kuwa busy, iliniuma sana nikikumbuka upendo wake wa mwanzo na sasa haupo tena ule upendo.."akanyamaza kidogo na kuanza kulia hapo mimi nikiyafuta machozi yake kwa reso yangu nyekundu yenye picha ya nembo ya club ya manchester united, nilimbembeleza asilie mana alilia kwa uchungu sana, hali iliyonitia simanzi na mimi nikimuonea huruma.

"Gao, najuta kuwa nae pengine nisingekuwa naye leo hii nisingelia hivyi, Ally ni mwanaume wangu wa kwanza kuwa nae naweza dirikibkuswma yeye ndio alinitoa usichana wangu, kitendo alichonifanyia ally kimeniumiza sana sikuwahi kumsariti tokea niwe nae ila yeye amenisariti na kunifokea kisha kunitamkia matusi ya nguoni."alizidi kuongea huku bado akilia na kunipa kazi ya kumfuta machozi ila kabla hajaendelea tukiwa tumekaa ndipo tukasikia sauti.

"'form three wote mnaitwa mtuhani unaanza'iliita sauti ya mdada ambae ni kiongozi (kilanja) anasoma kidato cha tatu mkondo A huku mimi na Grace tukisoma mkondo B nilimwambia GRACE atangulie kisha mimi nikaelekea msalani kukinusuru kibofu changu kilichoanza kuchoma kutokana na kuubana mkojo,grace alikuwa mmyonge hata tembea yake.
Nilimsindikiza na macho kidogo kisha nikaelekea chooni kukinusuru kibofu changu kilichokuwa kikichoma kwa kukaa na mkojo muda mrefu, hivyo ilinibidi tu nikajisaidie hapo niliingia chooni na kumaliza haja yangu bila kujali siku hiyo tuna mtihani niliondoka nikitembea mwendo wa kawaida kama sio wa mtu anayewahi kwenda sehemu nilipofika kwenye korido ya madarasa ya kidato cha nne nilikuta pametulia hakuna kelele wala mwanafunzi anaezunguka pale, hali hiyo iliyofanya nitembe upesi upesi niwahi darasani mana niligundua mtihani ushaanza kama mwalimu alivyotuamhia.
Nilifika mlango wa chumba changu cha mtihani hapo moja kwa moja nilikutana na msimamizi wa kike mwalimu wa kidato cha kwanza.
Nikaomba kuingia nae bila hiyana akaniruhusu huku akiwa busy na simu yake ya kufuta, wala hakunijali ila aliniambia tu nichukue karatasi ya kufanyia mtihani zilizokuwa mbele pale na mimi nikachukua la maswali na la kujibia kisha nikaanza kukifata kiti changu na meza nikijua vipo kumbe laahasha, nilitizamana na Grace aliekuwa anasimanzi machoni,
Nilimtizama na kumpotezea kisha safari ikaendelea, nilishangazwa nilipofika eneo langu ninalo kaa akiwa amekaa mtu mwengine na meza pamoja na kiti changu havipo ambavyo niliviandika jina vyote jina la GAO DE SWAGGERBOY.
Sikuviona na eneo langu, akiwa amekaa mtu mwengine nilishindwa hata kumsumbua nikabaki nimesimama huku nimeduwaa.
"Wewe mbona umesimama hapo hukai, hujui kama muda haukusubiri nusu saa ishakatika sasa,"alisema msimamizi yule.

"Madam kiti changu na meza sivioni,"nilimjibu.

"Sasa si ukatafute unachopoteza muda ni nini."alisema madam hapo sikuwa na sababu ya kuendelea kukaa, nilitoka nje kimya kimya kwenda kutafuta kiti na meza, nilizunguka maeneo kadhaa nikitafuta meza kwanza nilikosa, ila nikatazama juu kule ofisini kwa walimu nikafanikiwa kukiona kiti nikiamua nikifate ila kabla sijakibeba alitokea sir lusinde huku kashika lim.

"Gao, mtihani ukiisha nitafute usingoje nikakutafuta hutafanya mtihani wa pili."alinitisha na kuondoka hapo akilibl yangu ilicheza nikajua ni kitendo cha kumtoroka siku ya ijumaa,niliacha kumuwaza kisha nikajibebea kiti nikawa nakishusha kuelekea darasani, kimya kimya nikatafuta eneo nikakaa nikiwa na karatasi zangu.
Kusema ukweli sikuwa nikijua ni mtihani gani tunafanya hata kusoma sijasoma kabisa, yote ni kuondoka bila lidhaa ya muda maalum wa kutoka shule, ndio mana sijapata hata kujua mtihani wa kwanza.
Wakati huo msimamizi alishatangaza imebaki nusu saa hapo sasa ndio nikauangalia mtihani ambao nilikuja ujua ni wa hisabati, hapo kichwa kilipata moto nikiangalia maswali hakuna ninalo kumbuka,nilichofanya nikayacopy maswali yote na kundika jina langu, sikujibu swali hata moja.
Mpaka muda unaisha tukakusanya kisha wote tukatoka tukiwa nje, wanafunzi wenzangu walianza kujidai kila mmoja, wakisema maswali waliyoyajibu hapo mimi nikiwa sina lolote hadi kukaa mbali nao nikimtafuta Grace, hata aniendelezee sikumuona.
Nilipokuwa nimekaa juu ya jiwe ndio nikakumbuka sir lusinde aliniita, Sikujali nilikaa tu pale nikikumbuka kisanga cha yule mkulya nikiogopa sana, ila sidhani kama ninachakupinga juu ya hisia zangu, nilikaa dakika kadhaa kisha ndio nikauliza mtihani unaofatia, nilimuuliza mwanafunzi mwenzangu aliekuwa akipita eneo lile, nae akanijibu ni kiswahili.
nilitumia muda huo kupitia tulivyosoma hasa mambo ya ngeli za maneno,vishazi, aina za maneno, historia ya kiswahili na topic ndogo nyingine, nilikuwa nikisoma ila sijaona kama naelewa, kichwa kilikataa mawazo mengi nilichoamua nibkuelekea vibanda vya chai angalau akili itakaa sawa, nilifika kweli na kunywa chai kisha kurudi juu ile kufika kikagongwa kipindi kumaanisha mtihani umeanza.
Kabla sijakifikia chumba cha mtihani lusinde alikuwa makini nilimuona akishuka haraka haraka kuja darasani kwangu na kwapani kahifadhi fimbo..............
ITAENDELEAAAAAAAA.
 
TIA YOTE---- 28

ILIPOISHIA......... nilichoamua ni kuelekea vibanda vya chai angalau akili itakaa sawa, nilifika kweli na kunywa chai kisha kurudi juu ile kufika kikagongwa kipindi kumaanisha mtihani umeanza.
Kabla sijakifikia chumba cha mtihani lusinde alikuwa makini nilimuona akishuka haraka haraka kuja darasani kwangu na kwapani kahifadhi fimbo..............
ENDELEAAAAAAAA.
Nilikuwa sina chaguo jengine zaidi ya kujificha sehemu ambayo ilikuwa kama chumba kidogo, niliingia pale, huku nikiwa makini kuchungulua nje nikisubiri lusinde atoke ila wapi,kila nikitazama ola niliogopa kwenda yote ni kuto tii wito ambao aliniita na mimi nikapuuzi nakujifanya mkaidi mana kama ningemfuata alivyoniita pengine nisinge jificha ficha juu yake.
Niliendelea kukaa huku nikila chabo mbili tatu kumuangalia,yote haikutosha ilikuwa kazi bure mana nilichungulia mpaka nikakata tamaa huku nikiogopa kwenda nikihofia nisije kukutana nae, kitendo kile kilinifanya niendelee kukaa pale huku nikijua muda ni rafiki yangu ya kuwa utanisubiri kumbe laahasha muda hauna rafiki, hali ya kwamba ulitembea mbio mbio mpaka nikaanza kusikia mizogomo zogomo ya wanafunzi wakicheka kwa furaha, sikutaka kuamini kama mtihani wa kiswahili umenipita, mtihani ambao ulikuwa rahisi sana kwa kuwa ni lugha yetu tuliyoizoea nilijiraumu nikiwa sina cha kufanya niliona hata aibu mpaka ikapelekea moja kwa moja niondoke shule wakati huo.
Nilipita nyuma nyuma nikiogopa papalazi hasa wambea wa darasa wasije pata habari za kwenda kuongea.
Nilikuwa natembea kinyonge kama mtu anaeumwa mwendo wangu ule ulifanya nikatoka nje ya shule.
Nako mwendo haukuwa tofauti na ule niliokuwa nikitembea kule,shule mwendo ambao pengine hata ningekutana na mtu njiani asingeacha kuniuliza juu ya hali yangu, nilighafilika sana pale nilipokuwa nikitembea kisha akaja mtu na kunirukia kwenye mabega kwa nyuma kitendo ambacho kama si uwanaume wangu tayari ningeanguka sakafuni kwenye vumbi.

"Nani wewe aaah,mijitu mengine sio wastaarabu aaah,"maneno yalinitoka pale pale kabla sijamuona alienirukia.
Nilipoangalia ndipo nikakutana na sura ambayo haikuwa ngeni mbele ya macho yangu kitendo cha kumuona ndio nilitibuka ukichanganya na kisirani nilichotoka nacho shule,nilimtupia matusi mengi yasio na idadi kiasi kwamba mpaka akaondoka kwa aibu iliyomjaa, alikuwa ni loveness nilikumbuka pale nilikuwa maeneo ya kwao.
Sikuendelea kukaa pale nikaondoka haraka haraka.

"Aah, mi wanawake mingine haijielewi "maneno hayakuniisha kinywani niliyatamka kila mara nikichukizwa na kitendo chake cha kunidandia kwa kunirukia.
Safari iliendelea japo nilibadili mwendo kabisa wakati huu nilionekana mtu mwenye haraka sana, na hatua ndefu kama mwanafunzi mwenye njaa akiwahi ugali nyumbani.
Nilitembea hima hima hadi nikaufikia mtaa wetu hapo nikaanza kuchanja njia nikiisogelea nyumba yetu.
Hatua kadhaa nikaufikia mlango wetu mkuu kuu ambao ni geti nikaingia ndani kabisa hapo kuufata mlango wa kuingilia.
Nilifinya kitasa kama kawaida nikaingia ile naingia macho hayana panzia nilimshuhudia Ester akiwa kalala upaja wote upo nje kutokana nakuvaa khanga tu, runinga ilikuwa wazi hakuizima kabisa alafu aliweka miziki.
Macho yalinitoka nikajikuta nameza mafunga kadhaa ya mate hadi nikashindwa kuendelea kuondoka hali iliyopelekea nisimame kama mlinzi nikitizama tu ule upaja, hisia zangu hazikuweza kuhimili utulivu kabisa pale pale zikanituma hovyo na mimi nikazifatisha, niliamua nimfate Ester, pale alipo nia na madhumuni niimsogelee kisha niushike shike upaja wake nikijifanya namuamsha. Mawazo yangu niliyafanyia vitendo nikaenda kweli tamaa ishanijaa kweli mapenzi kitu haramu,nilumchukia Ester aiku ile lakini leo kisha nimeona paja lake likiwa wazi eti nataka kulichezea kitendo cha kusogea karibu zaidi nikagundua sio paja tu kumbe hadi hadi matiti yake yalio simama dede yalikuwa wazi, sikufikilia ni mtindo gani aliolala zaidi ya uchu kunijaa, hapo kono langu lisilo na adabu likayaendea maziwa yake kifuani ulikuwa mkono wa kushoto nililishika hali iliyopelekea Ester aruke huku akipumua kwa nguvu.

"Haah, wewe mbona tunashituana jamani nilikuwa mbali umenistua"aliongea kwa kudeka na mapozi kisha akasimama na kujifunua khanga na kujifunika vizuri hapo macho yalinitoka mana nilishuhufia alichovaa ni chupi tu tena iliyotuna eneo la tompo.
Kabla hakijaendelea kitu pale pale tulisikia ujio wa watu ambao hawakuwa wengine zaidi ya wakina Doreen na Careen.
Hapo nikaondoka haraka kuelekea chumbani kwangu, Ester nae akikaa kwenye kochi kama sio yeye.
Niliingia chumbani kwangu kisha nikazitoa nguo za shule mwilini mwangu nilizokuwa nimevaa, haikuwa na haja ya kuzifua mana hazikuchafuka kabisa hivyo nilizivua na kuziweka vizuri.
Njaa ilinisokota nikatoka ndani kwenda kula.

"Gao, mambo vipi habari za shule,"nisauti ya kike toka kwa Careen iliyoniita na kunisalimia nami nikaitika kisha nikaa anza kuondoka nikiifata meza ya chakula bila kuremba nikala kisha nikaamka pale kwenda kutizama tv.
Nako tukiwa tumejumuika wote, tukipiga story na kucheka neema alirudi toka chuoni wakati huo ni jioni niliwaacha na kuingia chumbani kwangu.
Nilipoingia moja kwa moja nilikuwa na kazi ya kuzitafuta pesa zangu ambazo nilizuweka kwenye moja ya nguo zangu ambayo niliivua nilitafuta bila mafanikio yoyote, kila nguo ninayotoa haina nilihangaika hadi naziona giza lishaingia hata nilikokuwa nilitaka kwenda kutembea sikwenda hivyo nikabaki tu ndani kwangu nikisubiri niitwe kwa chakula muda ulienda mpaka nikahisi usingizi na kulala.
Nilishindwa hata kustuka na kukumbuka kama kuna kula hali iliyopelekea nipitiww nisile kabisa hadi kunakucha nikaamka na kupiga mihayo yote njaa tu, nikaamka na kujiandaa kwa ajili ya kwenda shule huku njaa ikiniandama ila nikajali kwenda shule, nilifika shule kama kawaida na kuchukua namba ya kuwahi na kuelekea maeneo ya usafi mpaka muda wa darasani kufika tayari mtihani kuanza niliomba dua lusinde asije tokea, dua ambazo nadhani zilipokelewa mana hakutokea nikafanya mtihani hadi unaisha bila lusinde kutokea.
Baada yatl mtihani kuisha hapo ndio wanafunzi wote tukatoka kitendo cha kutoka nje nikiwa nashangaa shangaa.
,"gaoo, gaoo"iliita sauti ya madam akiniitia staff, sikumkaidi ikanibidi nimfate mana aliponitaa alisimaa akinisubiri sikuwa na ujanja wa kutokwenda nikamfata, moja kwa moja nikamsalimia hapo tukaelekea ofisini,hadi tukaungia akaniambia nikae, mlango kaurudishia mana haukaagi wazi,
Kisha akachukua kiti na kukaa karibu yangu sikujua dhumuni lake ila nilibaki kumuangalia tu, ndipo akaanza kuongea.

"Gao, mimekumis sijakuona muda mrefu."alisema madam.

"Nipo tu mimi."nilijibu wakati huo anazidi nisogelea kiasi kwamba akatumbukiza mguu wake kati kati ya miguu yangu.
Nilishindwa kuitoa mpaka akanishika akitaka nifungua vifungo vya shati langu..............
ITAENDELEAAAA.
 
TIA YOTE---- 29

ILIPOISHIA..........
"Nipo tu mimi."nilijibu wakati huo anazidi nisogelea kiasi kwamba akatumbukiza mguu wake kati kati ya miguu yangu.
Nilishindwa kuitoa mpaka akanishika akitaka nifungua vifungo vya shati langu..............
ENDELEA..
"Madam bhana acha nikasome kunamtihani sijasoma"nilisema, kujitetea asiendelee na mchezo ule, kumbe ikawa kama nimechochea, alini sogerea karibu zaidi huku mdomo wake akiukutanisha na wangu juu ya lips.
nilianza kukataa.
"Madam sitaki,niache hapa shule."nilikataa na kujitoa miguuni mwake lakini haikuwezekana mana kiti ni cha plastic kitendo cha kusogea pengine ningeanguka mana kakishika mikono yote.

"Wewe tuliaa, sawa sasa piga kelele au lete fujo nakufukuzisha shule, fanya ninachotaka sawa usinikaidi hata mara moja."aliongea kiukali hapo nikawa mpole japo mchezo niliutamani ila niliogopa pale shule.
Aliendelea na mbwembwe zake akichezea kifua changu na mkono wake wenye kucha ndefu anazofuga.

"Madam jaman, tutakutwa tafadhali niache leo tutafumwa hapa shule."niliongea kinyonge sana.

"Sawa nimekuelewa ila siwezi kukuacha hivi hivi."

"Unataka nini sasa kam huniachi hivi.!"niliongea kwa kushangaa.

"Nipe juisi ya mate yako,alafu leo ukitoka hakuna kwenda kwenu tunaenda kwangu."aliniogipesha kusema vile tena aliongea kwa serious kumaanisha anachosema anataka kifanyike.
Nilikaa kiwoga nikiwa sina cha kuongea akanishika kidevu kwa nguvu moja kwa moja akakutanisha ndimi hapo ndio mchezo ukaanza nilishindwa kuleta pingamizi mana alinishikisha matiti yake hapo na mimi kwa midadi nikayashika bila kuwa haya,hali iliyopelekea apandwe na midadi hadi kuanza kupandisha miguu yake juu ya mapaja yangu hivyo kuniweka kati ilikuwa kama kaniweka uchizi mana nilianza kuvunja msimamo wangu pale nilipoamua kushusha mikono yangu kuisakama sketi fupi aliyovaa hapo nikiipapasa kuifunua ili nikutane na kilichomo ndani,nae alizidi kugugumia kimahaba huku ndimi zetu zikiendelea kupiga soga zenyewe.
Mpaka wakati huo nani wa kuzizuia hisia zangu zisifanye kitu,zilicho dhamiria niliziki kupekecha tompooo yake niliyoikuta imesitiriwa vizuri kwenye bahasha ambayobni chupi nilipekecha na mkono wangu wa kushoto ambao niliungiza chini na mkono wa kulia nikimshikilia mgongoni kwa kumkumbatia huku naye amenishikilia na mikono yake miwili, vinywa vyetu vilizidi badilishana juisi ya embe kwa ya chungwa,nilisahau hata kuna mtihani kwa utamu ule wa hamu, dakika kadhaa akaniachia alivyokuwa kanikumbatia na kuanza kulisaka dushele langu ambalo wakati huo lilisha sisimka na kusimama dede,alianza kulipekua pekua kwa pupa pupa, hapo mimi nimeachiana na ndimi yake na kuamishia mikono kwenye tompoo yake ambayo mkono mmoja ulifanya kazi ya kufunua sketi ile na mwengine ukitalii talii juu ya tompoo yake hakuacha kulalamika kimahaba.
Kabla hatujaendelea ba chochote kengere iligongwa muda wa mtihani umefika hiyo ndio ikawa danganya yangu.
"Madam,naomba kuondoka nikafanye mtihani tafadhali"woga ulinirudia nikitaka kuongeka ila kwa midadi aliyokuwa nayo akakataa kabisa hapo ndio nikaanzabkutisha kama mwalimu anakuja aliniachia na kuamka haraka kisha akajiweka vizuri na kukaa kando,hapo nikapata nafasi ya kuamka na mimi kisha kujifunga mkanda vizuri na kuondoka haraka nikaufungua mlango kwa kasi kisha nikakimbilia darasami kwangu.
Nilifika hata hawakuanza kufanya mtihani hivyo nilingia na kukaribishwa na macho ya wanafunzi wenzangu wakiniangalia, wengine wakicheka hasa wa mbele, sikujua wanacheka nini ila nilihisi tabu pale mbele haraka nikawahi kukaa muda huo hata mitihani haijagawiwa.

"Oya boi Vip uko poa,"Alinisalimu Frank ambaye sikujua kaibukia wapi.

"Niko poa ulikuwa wapi wewe."nilimuuliza.

"Nilikuwepo ila,nilikuwa busy sana, sema nini gao mbona upo rafu."

"Nipo rafu.!!,kivipii."alinishangaza kunambia vile.

"Unalipstic nyekundu hapo chini ya mdomo wako"

"unasemaje?,frank."

"Unarangi,chini ya mdomo."alizidi kunishangaza, ila kabla sijamjibu tayari msimamizi alianza kugawa karatasi.

"Nyamazeni, walisimama kaeni, hamjui kama ni chumba cha mtihani mnatakiwa mtulie, pia hakikisha unaandika jina kila karatasi yako sawa."alikuwa akiongea msimamizi na kugawa karatasi za kujibia,hapo frank akaondoka kukaa sehemu yake ya kufanyia mtihani.
Nilitumia wakati huo kufuta rangi ile kabla msimamizi hajaiona, sikutumia kioo nilifuta kwa kubashiri tu.
Kisha nilipojiridhisha ndio nikatulia, japo nilijifuta vile ila msimamizi aliponikaribia akawa na walakini na mimi.

"Wewe, mbona unarangi mdomoni alafu nguo zako, zimekunjana hivyo ulikuwa wapi."alinisukumia swali ambalo lilinitaka nimakinike kulijibu nisije jichimbia kaburi mwenyewe,nilitumia sekunde kadhaa kufikilia uongo wa kutumia pale.

"Hamna madam, nadhan nilishika rangi kisha nilipo jishika shavuni ndio nimejipaka,"nilitia uongo, nilioudabakiza chumvi na kufanya uwe mtamu.

"Wewe mtoto wewe, haya bwana"alisema madam kisha akajongea mbele baada ya kunipa karatasi ya kujibia mtihani.
Ulikuwa ni Civics japo sikuwa fundi ila unajibika nakumbuka mara ya mwisho nilipata 25%.
Baada ya zoezi la ugawaji karatasi kuisha ndipo ukafatia ugawaji wa mitihani kila mwanafunzi alipata na mtihani kuanza.
Sikuwa na haraka nao nilikimbilia SECTION C ambayo ndio sehemu ya mwisho nilianza kuperuzi kama vile nipo facebook nasoma simulizi, sasa kasheshe ni pale kila swali ninalo angalia siliwezi hali ilikuwa ngumu kwangu nilichokumbuka ni difine ya postive relationship ambayo niliijibu kwa ufasaha, sasa maswali mengine ilikuwa kazi, nilirefusha shingo yangu kuibiabhuku na huko nikapata majibu kadhaa mengine nikaacha kujibu, pale kwenye kuchagua nilianza kukutanisha vidole huku nikifumba macho vikikutana ndio jibu hilo, nilifanya hivyo mpaka mida unaisha mwalimu akachukua katatasi, kisha wanafunzi tukatawanyika mimi nilipotoka tu madam nae haraka haraka akanifata kisha kea lugha ya ukali akanimbia nimfate nikikataa tu anamwita lusinde, sikukataa nikamfata tena akaniambia niongoze mpaka tunafika barabarani hapo hapo, akasimamisha bajaji kisha akaniambia nipande bila kujua tunaenda wapi, nilishindwa hata kuuliza pale.

"Dereva utashusha kama nilipo kuambia shika hela yako hii"alimpa pesa hapo ndio kinywa changu kikafunguka.

"Tunaenda wapi madam,"Niliuliza kwa wasiwasi.

"Weee, weee, usiniite madam sawa niite jack,alafu sitaki maswali."alinijibu hapo nikabaki kimya tu.
Bajaji ilishika kasi mpaka kusimama, sehemu ambapo mbele kuna nyumba kubwa ambayo hata kipofu asingeshindwa kutambua ni wapi hiyo ni kwa harufu ya pombe iliyotapakaa eneo lile.
Akashuka kwenye boda boda na kunitaka na mimi nishuke.

"Tunaenda wapi sasa huku jamani"

"Sitaki maswali tena njoo hapa ukitoroka tu nakufukuzisha shule nitakuzushia soo hilo maishani mwako usinisahau"alinitisha, mpaka woga ukanijaa, nikabaki kama zezeta tu.
Mbele ya pale tulipo simama kulikuwa na bango lililosomeka.

MAMBUYA GEST HOUSE.lilisomeka hivyo kisha akaniambia tuingie, alinipeleka peleka bila idhini yangu nami nafata tu mpaka tukafika kaunta akatoa hela na kupewa funguo.
Kisha tukapanda juu kuingia katika hicho chumba tulipita floo kadhaaa hadi kufika akaniamuru niingie.
Niliingia tu kama alivyotaka kisha akafunga mlango, na funguo kuiweka kwenye pochi yake, hapo bila haya wala soni akaanza kuvua nguo zake mpaka kuhaki mtupu kabisa kama alivyozaliwa, japo nilikuwa nikiogopa ila uchu ulinijaa huku kiungo changu kikuu dushelele kikipiga push up ndani ya boksa alinisogelea nami nikampokea na mikono yangu miwili kisha akanitupia kitandani hapo akaidaka zipu yangu kutoa maiki......
ITAENDELEAAAAA
 
SIMULIZI:TIA YOTE

TIA YOTE----30
ILIPOISHIAAA...........
MAMBUYA GEST HOUSE.lilisomeka hivyo kisha akaniambia tuingie, alinipeleka peleka bila idhini yangu nami nafata tu mpaka tukafika kaunta akatoa hela na kupewa funguo.
Kisha tukapanda juu kuingia katika hicho chumba tulipita floo kadhaaa hadi kufika akaniamuru niingie.
Niliingia tu kama alivyotaka kisha akafunga mlango, na funguo kuiweka kwenye pochi yake, hapo bila haya wala soni akaanza kuvua nguo zake mpaka kuhaki mtupu kabisa kama alivyozaliwa, japo nilikuwa nikiogopa ila uchu ulinijaa huku kiungo changu kikuu dushelele kikipiga push up ndani ya boksa alinisogelea nami nikampokea na mikono yangu miwili kisha akanitupia kitandani hapo akaidaka zipu yangu kutoa maiki......
ENDELEAAAAA
alianza kuitoa maiki yangu iliyokuwa imekasirika, hapo nikimwangalia tu akaipeleka moja kwa moja mdomoni kwake tayari kuinyonya.
"aaah,yes yess oooh"nililalama kiume wakati akiifakamia dushelele langu, alilifakamia kwa muda kishaa akaanza kunivua nguo nilizokuwa nimevaa hapo wote tukabaki watupu kabisa, na mimi sasa nilianza kuwa tayari na mtanange ule nilimlaza vizuri baada ya kujigeuza nilimkatia moja kwa moja kifuani palipo pendezeshwa na dodo zake zilizo mkaa vyema, hapo nilizidaka kama maji ya kandoro na kuanza kuzibugia niliendelea huku yeye akiendelea kulishika shika dushelele langu na kufanya kama wafanyanyo wanaosuuza vyimbo hasa mwiko wanavyoudekeza kama mtoto.
aluzidi ni sisimua hapo mimi kidile changu cha kati kikaanza kazi yake kutekenya tompoo yake, hapo alipiga kelele ya msisimko.

"ooooh, aaaah gaaaaooh."alilamika, nami sasa nikaanza kumnyonya kuannzia masikio ili nimpagawishe nilanza kuyanyonya kama alamba huku kono langu likiendelea kutalii katika tompooo yake, niliporidhika na msikio nikaanza kushuka shingoni nikielekea chini alizidi kusisimkwa na mimi nikionesha ufundi niliorithishwa toka tanga na babu, tanga ndio mapenzi yalipodhariwa yani udamwi dambwi wote utaukuta tanga, uliona wapi mume anaenda kuogesha na maji kuwekwa viungo vya chai hasa iriki,mdarasini na vyengine yote ni tanga tu hakuna kwengine.
nilishuka na ulimi mpaka kufika kwenye kitomvu chake nilichoanza kukiramba, nilipo ridhika hapo sasa ndio nikakutana na kitu roho inapenda ,ilikuwa ni tompoo iliyokuwa safi hata ukoka hakuna hapo ulimi wangu ukawa na papara tayari ulianza kuifakamia tompoo yake.
"oooh,gaooo aah oooh,shiiiit aah ahh ssshh aah ssss"alianza kupiga kelele hapo nilimwacha alale na miguu yake akaitanua, mimi nikaingia katikati nikiinyonya kiufundi,alizidi kuropoka tu.
"oooh,gaooo endeleaaa ahhh tamuuuu aaa ooooohhh"alilalamika na kukandamiza kichwa changu zaidi.

"gaoo, inatoshaa nitieee pleaseeee aaagh ssssh ooohh"aliniambia kwa sauti ya kitoto tena ya kudeka,nami sikuleta ajizi wala kufanya makosa hata kwenda nyumbani nilisahau kabisa yote ni tamaa tu.
alipomba nianze sikuwa na papara nilichofanya nikachukua kidole cha kati dole matusi kama linavyoitwa hapo moja kwa moja nikaanza kuitekenya GSpot iliyopo ndani ya uke inchi mbili au tatu kuingia ndani, gspot iligunduliwa na mchunguzi na kuipa jina hilo, wakati nikiitekenya hapo madam uvumilivu ulimshinda alipiga kelele kama mtoto, yani siku hiyo nilikuwa mwalimu yeye akawa mwanafunzi kwani alipagawa vililivyo hapo hata dushelele halikuingia kazini, niliendelela kuitekenya mpaka nikahakikisha kidole kimelowa hapo sasa ndio ukawa muda sasa wa dushelele kuingia kazini.
Unajua nini msomaji raha ya mapenzi ulidhishwe hapo ndio raha inapokuja ila eti unakuta, jimwanaume dakika tano kachoka tayari hoi tena kalala kama pongo , huku akimuacha mwenzake na hamu, ndio mana mnakimbiwa alafu ooh wanawake wasaliti wakati mwenyewe mbovu kitandani,unajua kuwa mwanamke, sio pesa tu hata ukimlidhisha katika swala la mapenzi mtadumu, wewe hushangai mtu na pesa zake kahonga mpaka gari lakini anasalitiwa, wote ni ubovu kitandani ukiwa fundi hata kama maisha yenu mnayoishi ni afadhali ya jana atakuvumilia kwasababu unamkuna anavyotaka.

********
kitendo cha madamu kulilia mechi na mimi kupima kama njia ipo vizuri haina mashimo wala magogo yaliyozuia njia hapo sasa ndio nikamwambia aamke kitandani nae aliamka kwa kudeka akiona namcherewe.
"bwanaa niingize basi mwenzio naumia"aliongea kwa kudeka huku akitaka kujiingiza mwenyewe nikamkwepesha kisha moja kwa moja nikkamwambia akae mtindo mbuzi kagoma style hii nini kama dog mana aliinama kwa kubonoa na utamu wote kuja nyuma hapo sana nilitumia mkono wangu kuopasa kidogo kisha dushelele nikaliingiza moja kwa moja ndani ya tompoo yake.

"oooh, gaoooo pleasee ingiiiza suck me hard, oooooh sssssssshh sshhhh aaaaasss"alilalamika wakati nikiingiza taratibu na mimi wakati huo utamu wa ajabu ulinijia mana tompoo yake ilikuwa mnato kabisa yani dushelele linaingia huku likibanwa banwa kupata joto la tompoo,nilianza ingiza toa ingiza toa, huku mikoni yangu ikishikilia hips zake nikipump kuingiza ndani, madam alilalamika na kubwatuka bwatuka kwa utamu.

"gaaaaoooo,ooohhh, sikuachiiii aaah unajuaa kukunaa hata bwanaaa anguu hajawahi nikuna huvii sssssh oooo, *** me hard aaah"alilopoka maneno yake hapo mimi sikuregeza kama nilikuwa hodari sana,sasa baada ya robo saa mtanange ukiwa umeshika hatamu.
namimi nikaanza kugugumiaa.
"ooooh ooooh aaaah aaah oooohh oooohh"niligugumia pale askari walipokuwa njiani.

"napiiz, nitoe oooh"nilimpa tarifa juu ya ujio wa wageni wale .

"mwaga humo humo aasss sssshh aaaah ooooooh shiiiit shiiiiiit, napiiz namimii"alilalamika na kutaka nipizii humi humo kumbe na yeye alikuwa mbioni kufunga gori la upendeleo baada ya kipa wangu kujifunga, tulipiiz kwa pamoja hapo nikachomoa dushelele kisha nikajilaza kitandani nae akaja juu, na kuichua kisha akapeleka mdomoni na kuanza kuifakamia na mimi sikuwa nyuma mkoni wangu maalumu waa kushoto nao ulianza kuisugua tompoo yake.
yani utamu ukinoga mpaka nikasahau kama kuna nyumbani nasubiriwa huko,nilipotezea tu.
baada ya kuchezeana tena ilikuwa half time tumetoka sare sasa kipindi cha pili ndio kuanza, wakati huu tulifanyiajuu ya kitanda mimi nilala kitandani kisha yeye akaja juu na kulikalia dushelele lililorenga tompoo yake,hapo sasa mimi nilibaki kungalia tu ashughulike mwenyewe nae alipa mgongo kisha akaanza kukata mauno ya chura yaliozidi nipagawisha alimudu mchezo akizungusha kiuno kama feni bovu linalo msubili fundi akalipitie.

"aaaagghh aahhhh aaahh ooohh, madam mtamu unayajua mambo aaah,"kwajinsi kiuno chake alivyokuwa akikizungusha juu ya tompoo yangu sikuwa na sababu ya kuacha kugugumia kwa utamu wake,mana alikuwa akizungusha kiuno kama hana mfupa unaweza sema anakatika nyonga mmh tu hata shilole akasome.
mtindo ule ulipelekea askari wangu dakika kumi wakiwepo njiani kutoka ila yeye akawahi kufunga gori ambalo baada ya yeye kufunga hapo tompoo ilizidi kuteleza na mimi ndio nikashusha mzigo wangu.
"oooh,aah your so sweet like honey"aliongea madam pale nilipochomoa, namimi nikapata bichwa alivyonisifia yani hata mawazo na kwetu sina kabisa.

baada ya raundi ile kuisha na sare ilibidi twende extra time hata apatikane mshindi.
masam akanilalia kifuani kwangu na kuanza kuuhusudu ulimi wangu, tulianza kunyonyana ndimi na michezo mengine ila kama extra haijaanza hapo sasa ndio ikawa kama naamka.

"haaah, madam kwanini hukunambia kama muda umenda hujui kama nakaa kwa wazazi su nitafukuzwa aaah jamani"nililamika sana yeye akaniona kama mpumbavu tu.

"weee weee niachie utoto wako hapa, yani mpaka niridhike huwezi kuondoka hivi hivi bado na funguo sikupi."aliongea hapo nusu nilie mana nikifikilia soo la nyumbani ndio kabisa nachoka.
nilimtii kishingo upande tu.
hapo sasa mechi ikaanza tena wakati huo wasi wasi umenijaa alichukua dushelele na kuliingiza mwenyewe na kunivuta akikaa mtindo wa kivivu yani kifo cha mende, sikumkaidi nikaanza shughuli yangu ingiza toa ingiza toa alipagawa sana pale nilipokuwa nikiingiza na kutomasa maziwa yake ya kitoto mana hakuzaa,alilalamika na kupiga kelele zisizo kera mpaka akasinzia na mimi nikafika mshindo nilijichimoa haraka kisha moja kwa moja nikatafuta mkoba wake yani nilishindwa hata kwenda kuoga mana gest bubu haina hata vyoo vya ndani mpaka utoke nje, hivyo nikachukua kitambaa chake na kusafisha dushelele langu, lilipokuwa safi nikavaa nguo zangu haraka kabla hajaamka nilivaa na funguo miliipata kisha nikaufungua mlango hapo lilikuwa giza lishaingia nilichepuka upesi nisije kuitwa na mavazi yangu ya kimwanafunzi ilinibidi nipitie uani, nikapita vizuri na kutoka nje kulifata giza, giza lilikuwa totoro hivyo nikaelekea barabarani na kupanda ili kupanda bodaboda.

"dogo unaenda,"

"ndio naenda, mtaa wa tatu."nilimjibu,kisha nikapanda aliipereka lesi lesi mpka akanifikisha karibu na kwetu nikashuka na kumlipa kisha akaniacha nimesimama nikisindikiza mwanga wa pikipiki kwa macho.

"mamaa, nimefika nyumbani sasa nitamjibu nini shangazi akiuliza ninapo toka"nilijiuliza maswali ambayo sikupaswa kujijibu, nilibaki nikitikisa kichwa tu huku mwili umechoka nikaanza kutembea kuifata njia ya kuingia ndani kwetu, nilikaribua geti na kuingia moja kwa moja nikijiamini huku kichwani nishapangilia swager za kumdanganya, niliingia kwa kujiamini mpaka nikafikia mlango wa kuingia ndani niliufinya bila kuogopa na kuingia ndani, wakati naingia sikuangalia waliopo kwenye makochi nilipita tu ila kabla sijafika hata ndani.
"wee gaoo...,"...............
ITAENDELEAAAAAA
 
TIA YOTE--31

ILIPOISHIAAAAAAA..............

"mamaa, nimefika nyumbani sasa nitamjibu nini shangazi akiuliza ninapo toka"nilijiuliza maswali ambayo sikupaswa kujijibu, nilibaki nikitikisa kichwa tu huku mwili umechoka nikaanza kutembea kuifata njia ya kuingia ndani kwetu, nilikaribua geti na kuingia moja kwa moja nikijiamini huku kichwani nishapangilia swager za kumdanganya, niliingia kwa kujiamini mpaka nikafikia mlango wa kuingia ndani niliufinya bila kuogopa na kuingia ndani, wakati naingia sikuangalia waliopo kwenye makochi nilipita tu ila kabla sijafika hata ndani.
"wee gaoo...,"...............
ENDELEAAAAAAAAAAAAAAAAA.
"weee gaoo,haya wapi hiyo"ilitoka sauti ya shangazi iliyokuwa kavu tokea mdomoni.

"naaam shangazi."niliamua kuitika bila kujibu swali aliloniuliza.

"shi shii shiikamoo shangazi"niliamkia kiwoga woga.

"shikamoo ya nini umetoka wapi na giza hili.?"alunifata na kunipachika swali lililonitetemesha mwili nikifikiria cha kujibu.

"shangazi ni ni ni."nilibabaika kabla sijasijibu akaongea tena.

"nini nini,hivi wewe mtoto kwanini unataka kuniua na presha, kwanini hunisikii kila siku nacho kuambia hutaki nielewa."aliongea mfulululizo bila kunipa nafasi ya kuongea kutokana na kunifakamiza na maneno mfulululizo.
huku akiwa kasimama mbele yangu kama kawaida yake.

"shangazi, nisikilize punguza jazba kwanza nikwambie nilipotoka."niliongea kwa busara za kutosha, nikionekana mstaarabu.

"nikusikilize nini wewe mtoto unajifanya umekuwa sio, ngoja nimpigie mama yako simu aje kukuchukua."aliongea shangazi akionekana hana utani hata kidogo.

"shangazi tafadhali nisikilize naomba usimuite mama, leo shule tulikuwa na kipindi cha jioni kuna mwalimu alijitolea kutufundisha sasa nikaona haina haja ya kuwahi kurudi nyumbani kupishana pishana na wakina doreen na careen nikaamua nisime tu kwa kuwa na bure kabisa."niliongea uongo ambao kwa jinsi nilivyokuwa nikitamka maneno kwa hisia shangazi akatulia kabisa na kipoa.

"wewe, eeeeh, nikajua ulienda kuzurura ninge kurudisha kwenu leo ila kwa kuwa ulikuwa unasoma, sawa ila bahati yako, nisamehe tu mwanangu sikujua,nisamehe kwa kukufokea."aliongea kitaratibu, hapo nikijipa hesabu ya ushindi kumdanganya, wakati huo sikuwaona kina careen wala doreen, ester nilijua yupo jikoni.

"sawa shangazi nimechoka nina njaa ngoja niibadili nguo nije kula"

"sawa mwanangu, siku hizi Neema anacherewa kweli yani."alisema shangazi hapo sikutia neno mana tatizo langu lilikuwa lishatatulika hivyo nikaingia chumbani kama nilivyo mwambia shangazi kuwa naenda kubadili nguo za shule nije kula.
niliingia haraka haraka nikazivua nguo na kutoka mana tumbo lilianza kunikwangua kutokana na njaa.
nilifungua mlango wangu na kutoka hapo nilipo toka tu moja kwa moja macho yangu, yakakutana na careen alieambatana na doreen wakifungua fungua daftali zao pale wakiwa makini kusoma sikuwashangaa sana, mana nilijuafika kuwa nao wameanza mitihani ya nusu mhula, walikuwa kidato kama changu cha tatu, nilipita karibu yao nyuma ya sofa walizokuwa wamekaa.

"hah, gao mambo"ni sauti ya uchangamfu ya careen alienisalimia kwa njonjo, nami sikupenda inipite salamu ile hivyo nikaitika kwa kibesi(sauti ya mkazo).
"poa"nilitika huku nikiondoka bila kumwangalia yote ni njaa niliyokuwa nayo, nikaikaria meza ya chakuka kisha nikajipakukia na kuwaza kufukia kutokana na kutaka kula cha jioni na cha usiku nilijiwekea kiasi kidogo ilu mradi wakati wa usiku nisiwe nimeshiba,hivyo nilimaliza mapema kwa kufakamia vile .
nilipomaliza baada ya kunawa nilijumuika na wakina doreen,nikikakaa mbali nao sofa la pembeni yao, muda huo shangazi hakuwepo hapo mana kawaida yake kila siku mida kama hiyo hupenda kwenda kuoga hiyo ndio kawaida yake.
Nilikaa nikitazama runinga, kipindi ambacho hakikunivutia zaidi ya kunichosha sikukipenda kabisa kilikuwa ni taarifa ya habari ya Chanel ten ile ya saa moja,uzuri ilikuwa ikiishia yani inafika tamati,wakati nilisubiri iishe dakika kadhaa sauti ya careen ikamtoka.

"gao nakuomba mara moja unisaidie."aliita na mimi nikamfata tu walikuwa wamekaa wawili ila kila mtu na daftari yake.

"naam unasemaje,"

"nisaidie,hili swali linanisumbua sana."aliniogopesha kuniambie nimsaidie swali, mana kichwa changu chenyewe ndio hicho naenda shule sina nijifunzacho naenda ilinionekane ninaenda tu ushahidi kuondoa ujinga tu.

"swali gani hilo?"niliuliza nikijihami kama ni hesabu nijue namkimbia vip, nilipanga hata nimdanganye naenda chooni mkojo umenibana.
ila ikawa tofauti pale nilipoangalia swali lenyewe ni somo la kingereza ambalo kidogo nilikuwa nikielewa japo kidogo sio sana vya kupata mia darasani.
nilichuka daftali yake kuangslia zaidi linahusu nini.

"sasa unasimama nitaelewa vipi si uiname au kaa hapa kabisa unielekeze"alisema careen hapo nikaamua nikae baada ya kuangalia swali lenyewe ni kuhusu language use matumizi ya since na for,unless na if, although,despite inspite, niliyatazama kwa makini maswali yale,nikiwa kimya mana swali lilitaka kugeuza inspite of kwenda kuwa despite.
"mbona unatazama nisaidie pengine wakauliza hata kesho kwenye mtihani wenu,.
"nilianza kushirikisha ubongo wangu unipe jibu ila nikawa nachemka ubongo haukuonesha ushirikiano wowote kwangu ulikuwa ukiniacha nishiriki mwenyewe pengine ni kutokana na kutokuwa makini darasani pale walumu walipo kuwa wakihimiza.
swal liliuliza>> We walk on,unless it was raining.
aliniambia niigeuze sentensi hiyo, kusema ukweli sikuwa nkijua hata nikitaka kujaribu, sipati jibu sahihi hivyo ilinibidi nikodoe macho tu kama emoj ya wasap,.
"mbona hujibu nisaidie basi"alizidi nihimiza nilijibu hapo mimi sina cha kujibu nimepoa tu.

"chakula tayari njooni tule"nilishukuru pale Ester alipotuita kwa chakula ndio ikawa pona yangu nisiaibike pale.

nikawa wa kwanza kuamka kisha nikaenda, wakati huo nae neema akaja alitusalimu huku akisema kachoka, tuliendelea kuongea pale huku tukimeza chakula mpaka tunafika tamati nilikuwa nimeshiba vya kutisha nikanawa na kuamka moja kwa moja chumbani kwa nikachukua sare zangu za shule kwenda kuzifua,nilitoka nazo mpaka uwani kisha nikaanza kufua, huku muda ukisogea hima hima mpaka namaliza kusuuza kimya kishaingia,hapo nikaingia ndani, muda huo sikuwaona wote zaidi ya shangazi nikaamua kujumuika nae aliniuliza maswali kadhaa kama nimefunga mlango nilimwambia nimefunga nae alikuwa akiangalia tamthilia anayo ipenda inayoruka startv, nilianza kumchokoza na maswali yangu nikimtaka aniambie juma ni nani yangu yule baba anae ishi na mama ambaye ananitesa hasa kile kipigo cha siku ile,shangazi alionesha kikwazo mpaka akaanza kunambia sasa na mimi nikatega sikio kumsikiliza akaanza.

"gao mwanangu baba yako alikufa kipindi hicho, baada ya yeye kufa ilikuwa simanzi sana mana aliacha pengo ambalo halikuwa na wakuliziba, alikuwa tegemezi la familia, sasa alipokufa,juma ambaye alikuwa ni mdogo wake baba yako,alileta mzozo kutaka kumrithi mama yako...........
ITAENDELEAAAAA
 
Wasalaam wana jamvi, samahanini ntakua bize kidogo na majukum hvyo ctaweza kupost chombezo hili hvyo tafadhali bonyeza hyo link hapo chini ili uendelee kupata uhondo mwanzo mwisho wa chombezo hili buree kabisa bila senti
TIA YOTE SEHEMU YA 32 - gaooh255
 
Back
Top Bottom