moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
kwenye pombe hunipati ng'oo,labda uanze kuchoma nyama
kwenye pombe hunipati ng'oo,labda uanze kuchoma nyama
vipi ndoa yako ina matokea au matunda😀😃😃😃😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 nikikununulia kitimoto kilo mbil nawez kujipakulia Tani zangu hilo zigokwenye pombe hunipati ng'oo,labda uanze kuchoma nyama
ptuuu wewe muislam situmii hiyo haramnikikununulia kitimoto kilo mbil nawez kujipakulia Tani zangu hilo zigo
we inakuhusu nini 😅😳vipi ndoa yako ina matokea au matunda😀😃😃😃
maana hukunizalia nikajiuliza una matatizo ya uzazi 🤣
aaaah basi nyama ya mbuzi ndizi choma 😀hapo vipi?ptuuu wewe muislam situmii hiyo haram
msindikize nakatusi kalaini kidogowe inakuhusu nini![]()


ila wewe nikijana wa hovyo sanawewe tayari ni mavi ya kale,ngoja nisubirie jibu lake
haha hata sio kijana wa ovyoila wewe nikijana wa hovyo sana
Sasa mavi ya kale si hayanuki we mtani😀😃🤣🤣 ngoja aje akuonyeshe jinsi tulivyoachana kwa amani kabisawewe tayari ni mavi ya kale,ngoja nisubirie jibu lake
Mfyuuu nijikute tuhaha hata sio kijana wa ovyo
halafu sasa mwenyekit wa baba jumuiya
Nina aibu ukinipa mzigo naweza shindwa![]()
Babu yaangu unakosea utakulaje wateja
watani hawabaniani🤣Mfyuuu nijikute tu
haha watej kwan mimi.mganga wa kienyej?Babu yaangu unakosea utakulaje wateja
😂😂😂 wew sii unauza limbwatahaha watej kwan mimi.mganga wa kienyej?