Chilojnr
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 308
- 1,354
- Thread starter
- #21
Sehemu ya 06
Kwa siku hiyo alikuwa na ratiba ya kuonana na wasichana wawili, na wote ilikuwa ni lazima kufanya nao mapenzi, kuwaacha kwake ingeonekana kuwa kosa kubwa, hakutaka kukubali na ndiyo maana akaamua kujipanga.
Kitu cha kwanza siku hiyo asubuhi akanywa chai nzito, mchana pia akala chakula cha nguvu. Akamuita Asha na kuzungumza naye, alichomwambia ni kwamba siku hiyo alikuwa na ratiba ndefu hivyo alitakiwa kumuangalizia noma.
“Ratiba gani?” aliuliza.
“Recho anakuja!” alijibu.
“Recho? Mama mchungaji?” aliuliza.
“Ndiyo! Huyo ataondoka kama saa kumi, halafu pia Bupe atakuja jioni,” alisema.
Asha akashtuka, hakutegemea kusikia hivyo, huyo kaka yake alionekana kuwa mtu hatari, mzee wa mademu ambaye hakutaka kushindwa kabisa. Kwake ilikuwa vigumu kuamini kama alikuwa akienda kufanya mapenzi na wanawake wawili kwa muda mchache hivyo.
Wakati mwingine alikuwa akifurahia kilichokuwa kikitokea kwa sababu tu alijua angekwenda kufurahia kwa kusimama dirishani na kuanza kujiridhisha kwa kile kilichotakiwa kutokea.
Majira ya saa nane akapigiwa simu na Recho na kuambiwa tayari alifika kituoni na alianza kutembea kuelekea kwao.
“Sawa!”
Haraka sana akamuita Asha na kumwambia kwamba alitakiwa kujifanya alikuwa rafiki yake, ampokee na kuzungumza naye, baadaye ajifanye anamsindikiza hapo ndipo atakapompeleka chumbani kwake.
Akakubaliana na Asha na hivyo msichana huyo kupokewa. Alivyoonekana tu haikuwa kazi kugundua kama alikuwa msichana mlokole, kwa jinsi alivyovaa, alivalia sketi ndefu iliyokwenda mpaka miguuni na kwa juu alivalia blauzi nyeupe.
Asha akamchukua na kumpeleka sebuleni, alimwambia kabisa kuhusu mpango wake, wazazi wake hawakutakiwa kujua alifika nyumbani hapo kwa ajili ya nani.
Alimtambulisha kwa mama yake na walipokaa kwa nusu saa, msichana huyo akaaga kuondoka na Asha kujifanya kumsindikiza, wakapitia uani.
Huko ndipo Recho alipoingizwa chumbani kwa Juma ambapo alimkuta mwanaume huyo akimsubiri kwa hamu kubwa kitandani.
Alipoingia tu, Juma akasimama na kumsogelea, akamkumbatia kama baba aliyemkumbatia mtoto wake ambaye hakuwahi kuonana naye kwa miaka kadhaa.
“Hatimaye umefika mpenzi,” alisema Juma huku akimwangalia Recho.
Hapakuwa na muda wa kupoteza, yaani ilikuwa ni kama msichana huyo alifuata ngono chumbani humo, hapakuwa na kuulizana hali ya huko alipotoka ama mambo mengine, yaani akamuweka kitandani, akaanza kumvua nguo na kubaki kifua wazi.
“Juma subiri kwanza!” alisema msichana huyo akijitahidi kujitetea.
“Kuna nini?” aliuliza Juma.
“Nimekuja kukusalimia tu!” alisema.
“Najua! Tutasalimiana zaidi baada ya hapo,” alisema.
“Najua lakini mb....aishiiiiiiiiiii...oooooh...” alisema msichana huyo, kabla ya kumalizia sentensi yake, akaanza kuugumia kwa mahaba kwani ulimi wa Juma tayari ulianza kuchezea vichuguu viwili vilivyokuwa kifuani mwake.
“J..um..aaaa...” alisema Recho huku akionekana kuingia ndani ya mchezo wenyewe.
Juma hakutaka kuelewa, alikuwa na hamu na Recho lakini kingine alichokuwa akikifikiria ni msichana Bupe ambaye alitakiwa kufika hapo majira ya saa kumi na mbili.
Alitakiwa kufanya haraka na huyo kwanza kabla ya huyo wa jioni, alijitahidi kumfanyia utundu wote, Recho alikuwa akilalamika tu kitandani hapo, Juma alipitapita kwenye kifua chake, tumbo, kitovu, nyonga na sehemu nyingine, Recho akawa hoi.
“Naruhusiwa?” aliuliza huku akiwa ameishika sketi ya msichana huyo na kuanza kuivuta kwa chini.
Recho alishindwa kujibu swali hilo. Kwa kawaida unapouliza maswali, kunakuwa na majibu matatu, jibu la kwanza ni ndiyo, la pili ni hapana na la tatu ni ndiyo ambalo linaweza kuwakilishwa na ukimya tu.
Taratibu Juma akaanza kuitoa kutoka maungoni mwake, Recho hakuleta ubishi wala kitu chochote kile, sketi ikavuliwa, nguo ya ndani nayo hivyohivyo.
Akabaki kama alivyoumbwa Eva katika bustani ya Eden, Juma alikuwa akimwangalia kwa matamanio, kwake alionekana kuwa kama mpya vile, alichokifanya ni kuitanua miguu yake, mmoja ukapelekwa Kaskazini na mwingine Kusini na kuanza kupiga deki.
Kichwani mwake kulikuwa na jambo moja tu lililojengeka, kwamba kama unataka kuyafaidi mapenzi basi ni lazima uyafanye katika mazingira ya uchafu, na ndicho alichokifanya.
Recho alikuwa akilalamika kimahaba, wakati mwingine alitoa sauti lakini Juma alikuwa akimziba kwani hakutaka sauti ya msichana huyo isikike nje ya chumba hicho.
Wakati akiendelea na mambo hayo, Asha kama kawaida yake alikuwa nje ya chumba hicho, hakutaka kuwa bize kama siku nyingine kwani ilikuwa ni mchana halafu watu wengine ndani ya nyumba hiyo walikuwa wakitokatoka kuendelea na shughuli nyingine, ila sauti ya Recho alikuwa akiisikia vilivyo kwani hakuwa mbali na dirisha hilo.
“Baby pleaseeeeee....gimme some more....” alisema Recho kwa Kizungu kile cha kwenye televisheni.
Juma alikuwa siriazi na jambo hilo, alikuwa tayari kufanya makosa sehemu nyingine lakini si sehemu kama hiyo, hasa anapokuwa na msichana chumbani kwake.
Juma hakutaka kumaliza nguvu zake kwa Recho kwani alijua alikuwa na gemu matata sana hapo baadaye, hivyo alifanya kikawaida sana na alipomaliza, wakabaki wakiangaliana kitandani.
“Vipi?” aliuliza Juma huku akimwangalia msichana huyo.
“Yaani wewe kila nikija unataka tufanye mapenzi,” alisema Recho kama alikuwa akilalamika fulani hivi.
“Sasa wewe ulitaka tukae tuongee tu jamaniiiii! Aya niambie kilichokufanya kutaka kuniona,” alisema Juma huku akimwangalia Asha.
“Mh! Na wewe nawe!” alisema Recho.
Ni kawaida ya msichana, hata kama alikuwa amelifuata penzi hakuwa tayari kulisema hilo, alizugazuga lakini ukweli ni kwamba alifuata penzi la mwanaume huyo kwani alilimisi sana.
Walikaa na kuzungumza na ilipofika majira ya saa kumi jioni, akaaga, Asha akamchukua na kumsindikiza. Juma akatoka na kuelekea bafuni, akajimwagia sasa akatulia na kuanza kumsikilizia huyo Bupe.
Alimkumbuka jinsi alivyokuwa, msichana huyo hakuwa na masihara, aliumbika, alikuwa na msambwanda wa maana na muda wote alikuwa akimfikiria, alitamani sana kuona akionana naye na kumuweka ndani ya chumba hicho.
Akampigia simu, simu hiyo ilikuwa ni kama kumkumbusha kwamba hakutakiwa kumsahau, akajifanya kumsalimia na kumwambia alimaliza kazi zote hivyo alikuwa akimsubiri nyumbani kwao.
“Mwanaume una presha sana jamaniiii!” alisema Bupe.
“Lazima niwe na presha bwana! Nina hamu ya kumuona mwanamitindo wangu, mwanamke anayejua kuvaa kuliko wote hapo Mwembechai,” alisema maneno ambayo yalimfanya Bupe kufurahia tu, hakujua kama maneno hayo yalikuwa na mtego wake.
“Jamani nitakuja! Usiwe na presha, umesikiaeeee...” alisema Bupe.
“Sawa bhana! Mimi nakusubiri!” alisema Juma.
Moyo wake ukaridhika, sasa akajua kabisa kulikuwa na uhakika wa Bupe kufika nyumbani hapo. Alikaa kwa dakika chache, akaamua kumuita Asha, ilikuwa ni lazima ampange kabisa asije kuharibu kwani mtu aliyekuwa akija muda huo alikuwa muhimu sana.
“Asha! Nataka umpokee mgeni wangu mwingine,” alisema Juma huku akimwangalia Asha.
“Sawa. Ni nani?”
“Bupe!”
“Ndiye nani?”
“Nilionana naye jana pale Oilcom!”
“Jana?”
“Ndiyo!”
“Na leo anakuja?”
“Ndiyo!”
“Mh! Wewe kaka’angu utakufa,” alisema Asha.
“Hakuna atakayebaki hai!”
“Ila wewe utakufa kifo kibaya sanaaaaa....”
“Tulia weweeeeee...” alisema huku akicheka.
Alimpanga Asha kwamba Bupe angefika hapo kwa bodaboda hivyo alitakiwa kwenda kumpokea. Huyo hakutakiwa kuwa kama Recho kwa maana kwamba hakutakiwa kufika sebuleni bali alitakiwa kupelekwa chumbani moja kwa moja.
Hilo halikuwa tatizo, akakubaliana naye na hivyo kuanza kusubiri. Ndani alikuwa na presha kubwa, hakujua gemu yake na Bupe ingekuwaje siku hiyo kwani alitamani sana kuwa na msichana huyo kupita kawaida.
Alikaa mpaka majira ya saa kumi na mbili, akasikia simu yake ikiita, haraka sana akaipokea, alikuwa Bupe ambaye alimpigia kwa namba ngeni.
“Ndiyo nakuja, nielekeze,” alisema. Akaanza kumuelekeza kwa makini kabisa na kumwambia dada yake angekwenda kumpokea kwani alikuwa na kazi anafanya, msichana huyo akakubali.
Alipokata simu, akamuita Asha na kuanza kumpanga kwamba huyo Bupe alikuwa njiani, hivyo alitakiwa kujiandaa kwenda kumpokea kwa kuwa angefika kwa bodaboda muda si mrefu.
Kama alivyosema ndivyo ilivyotokea, baada ya dakika kadhaa, simu yake ikaanza kuita, alipoipokea, sauti ya Bupe ikasikika na kumwambia alifika alipomwambia afike, akamuita Asha, akampa elfu tano na kumwambia akamchukue msichana huyo.
Haraka sana Asha akaenda huko, alipofika, akamchukua na kuanza kuongozana naye kuelekea nyumbani. Njiani walikuwa wakiongea kana kwamba walikuwa wamezoeana kwa kipindi kirefu, waliongea mpaka walipoingia nyumbani kwa mlango wa uani ambapo moja kwa moja Bupe akapitishwa mpaka geto kwa Juma.
Juma alipomuona tu, haraka sana akainuka kutoka kitandani na kumsogelea msichana huyo, akamkumbatia na kumwangalia usoni.
“Umependeza kama kawaida yako! Hujawahi kuniangusha,” alisema Juma huku akimwangalia Bupe usoni.
“Umeshaanza kunifunga kamba!” alisema msichana huyo.
“Hamna! Huo ndiyo ukweli! Hebu jiangalie,” alimwambia huku akimshika mkono na kuanza kumzungusha, basi Bupe akajisikia rahaaa.
“Na Mungu amekubariki sana, akaamua kukuongezea ongezea nyama huku nyuma ilimradi tu uje kuturusha roho ,” alisema Juma huku akimwangalia Bupe kwa matamanio makubwa.
Bupe akaanza kujisikia aibu.
Baada ya kuongea kwa dakika kadhaa, Juma akatoka na kwenda kumnunulia kinywaji mgeni, akamchukulia soda na viepe kwani alimwambia ana njaa hivyo alitaka kula kwanza kabla ya mambo yoyote yale.
Kwa Juma hakuwa na tatizo lolote lile, kwake alifurahi kwa kuona sawa tu kwani mwisho wa siku ilikuwa ni lazima kukamilisha alichokuwa akikihitaji.
“Ila yule manzi amejazaaaa...” alisema huku akielekea kwa muuza chipsi.
“Halafu mtu anakwambia uzinzi dhambi! Sasa kweli umekutana na mtu kama Bupe, kweli kuna dhambi hapo? Kama ni dhambi kwa nini Mungu amempa nyama za nyongeza kama zile?” aliuliza, yaani alijitahidi kwa nguvu zote kutetea hoja yake kwamba uzinzi haukuwa dhambi hata kidogo.
Siku hiyo hakutaka kuzungumza lolote na watu wengine, alikuwa na haraka sana, ule mzigo aliouacha chumbani kwake haukuwa wa kawaida na haukutakiwa kupotezewa muda hata kidogo.
“Juma...” alisikia akiitwa, alipogeuka, macho yake yakatua kwa mshikaji wake aliyeitwa Ramadhani.
“Niambie!”
“Mzee baba unatisha!” alisema Ramadhani huku akimwangalia Juma.
“Kwa nini?”
“Nimekuona na Rukia jana! Yule manzi watu wanamsaka sana halafu mtoto anakaza, jana tumekuona naye, atanusurika kweli?” aliuliza Ramadhani huku akimwangalia Juma, alimjua, mtu huyo hakuwa na masihara hata kidogo hasa kwa sekta ya wanawake kama hiyo.
“Kwa nini asinusurike, siku hizi nimeacha mambo hayo!” alisema Juma.
“Hahaha! Huwezi kuacha, labda upunguze. Na vitu vyote unavyoviona kwa dada wa wenzio, kuna msela kaviona kwa dada yako,” alisema jamaa huyo huku akicheka.
“Alizaliwa msichana kwa ajili ya hayo, kuijaza dunia, kama kweli unamtaka, mfuate kwani ukishindwa, nitamfuata dada yako,” alisema Juma na wote kuanza kucheka.
Hapo Ramadhani alimkumbusha kuhusu Rukia, alimsahau kabisa kwa kuwa alikuwa na mambo mengi. Akachukua simu yake na haraka sana akampigia msichana huyo na kuanza kuzungumza naye.
Alikuwa na tamaa na hakutaka kumuacha msichana yeyote aliyekuwa akikatiza mbele yake na ndiyo maana hata huyo Rukia kumuacha ilionekana kama dhambi kubwa mbele yake.
Je, nini kitaendelea?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa siku hiyo alikuwa na ratiba ya kuonana na wasichana wawili, na wote ilikuwa ni lazima kufanya nao mapenzi, kuwaacha kwake ingeonekana kuwa kosa kubwa, hakutaka kukubali na ndiyo maana akaamua kujipanga.
Kitu cha kwanza siku hiyo asubuhi akanywa chai nzito, mchana pia akala chakula cha nguvu. Akamuita Asha na kuzungumza naye, alichomwambia ni kwamba siku hiyo alikuwa na ratiba ndefu hivyo alitakiwa kumuangalizia noma.
“Ratiba gani?” aliuliza.
“Recho anakuja!” alijibu.
“Recho? Mama mchungaji?” aliuliza.
“Ndiyo! Huyo ataondoka kama saa kumi, halafu pia Bupe atakuja jioni,” alisema.
Asha akashtuka, hakutegemea kusikia hivyo, huyo kaka yake alionekana kuwa mtu hatari, mzee wa mademu ambaye hakutaka kushindwa kabisa. Kwake ilikuwa vigumu kuamini kama alikuwa akienda kufanya mapenzi na wanawake wawili kwa muda mchache hivyo.
Wakati mwingine alikuwa akifurahia kilichokuwa kikitokea kwa sababu tu alijua angekwenda kufurahia kwa kusimama dirishani na kuanza kujiridhisha kwa kile kilichotakiwa kutokea.
Majira ya saa nane akapigiwa simu na Recho na kuambiwa tayari alifika kituoni na alianza kutembea kuelekea kwao.
“Sawa!”
Haraka sana akamuita Asha na kumwambia kwamba alitakiwa kujifanya alikuwa rafiki yake, ampokee na kuzungumza naye, baadaye ajifanye anamsindikiza hapo ndipo atakapompeleka chumbani kwake.
Akakubaliana na Asha na hivyo msichana huyo kupokewa. Alivyoonekana tu haikuwa kazi kugundua kama alikuwa msichana mlokole, kwa jinsi alivyovaa, alivalia sketi ndefu iliyokwenda mpaka miguuni na kwa juu alivalia blauzi nyeupe.
Asha akamchukua na kumpeleka sebuleni, alimwambia kabisa kuhusu mpango wake, wazazi wake hawakutakiwa kujua alifika nyumbani hapo kwa ajili ya nani.
Alimtambulisha kwa mama yake na walipokaa kwa nusu saa, msichana huyo akaaga kuondoka na Asha kujifanya kumsindikiza, wakapitia uani.
Huko ndipo Recho alipoingizwa chumbani kwa Juma ambapo alimkuta mwanaume huyo akimsubiri kwa hamu kubwa kitandani.
Alipoingia tu, Juma akasimama na kumsogelea, akamkumbatia kama baba aliyemkumbatia mtoto wake ambaye hakuwahi kuonana naye kwa miaka kadhaa.
“Hatimaye umefika mpenzi,” alisema Juma huku akimwangalia Recho.
Hapakuwa na muda wa kupoteza, yaani ilikuwa ni kama msichana huyo alifuata ngono chumbani humo, hapakuwa na kuulizana hali ya huko alipotoka ama mambo mengine, yaani akamuweka kitandani, akaanza kumvua nguo na kubaki kifua wazi.
“Juma subiri kwanza!” alisema msichana huyo akijitahidi kujitetea.
“Kuna nini?” aliuliza Juma.
“Nimekuja kukusalimia tu!” alisema.
“Najua! Tutasalimiana zaidi baada ya hapo,” alisema.
“Najua lakini mb....aishiiiiiiiiiii...oooooh...” alisema msichana huyo, kabla ya kumalizia sentensi yake, akaanza kuugumia kwa mahaba kwani ulimi wa Juma tayari ulianza kuchezea vichuguu viwili vilivyokuwa kifuani mwake.
“J..um..aaaa...” alisema Recho huku akionekana kuingia ndani ya mchezo wenyewe.
Juma hakutaka kuelewa, alikuwa na hamu na Recho lakini kingine alichokuwa akikifikiria ni msichana Bupe ambaye alitakiwa kufika hapo majira ya saa kumi na mbili.
Alitakiwa kufanya haraka na huyo kwanza kabla ya huyo wa jioni, alijitahidi kumfanyia utundu wote, Recho alikuwa akilalamika tu kitandani hapo, Juma alipitapita kwenye kifua chake, tumbo, kitovu, nyonga na sehemu nyingine, Recho akawa hoi.
“Naruhusiwa?” aliuliza huku akiwa ameishika sketi ya msichana huyo na kuanza kuivuta kwa chini.
Recho alishindwa kujibu swali hilo. Kwa kawaida unapouliza maswali, kunakuwa na majibu matatu, jibu la kwanza ni ndiyo, la pili ni hapana na la tatu ni ndiyo ambalo linaweza kuwakilishwa na ukimya tu.
Taratibu Juma akaanza kuitoa kutoka maungoni mwake, Recho hakuleta ubishi wala kitu chochote kile, sketi ikavuliwa, nguo ya ndani nayo hivyohivyo.
Akabaki kama alivyoumbwa Eva katika bustani ya Eden, Juma alikuwa akimwangalia kwa matamanio, kwake alionekana kuwa kama mpya vile, alichokifanya ni kuitanua miguu yake, mmoja ukapelekwa Kaskazini na mwingine Kusini na kuanza kupiga deki.
Kichwani mwake kulikuwa na jambo moja tu lililojengeka, kwamba kama unataka kuyafaidi mapenzi basi ni lazima uyafanye katika mazingira ya uchafu, na ndicho alichokifanya.
Recho alikuwa akilalamika kimahaba, wakati mwingine alitoa sauti lakini Juma alikuwa akimziba kwani hakutaka sauti ya msichana huyo isikike nje ya chumba hicho.
Wakati akiendelea na mambo hayo, Asha kama kawaida yake alikuwa nje ya chumba hicho, hakutaka kuwa bize kama siku nyingine kwani ilikuwa ni mchana halafu watu wengine ndani ya nyumba hiyo walikuwa wakitokatoka kuendelea na shughuli nyingine, ila sauti ya Recho alikuwa akiisikia vilivyo kwani hakuwa mbali na dirisha hilo.
“Baby pleaseeeeee....gimme some more....” alisema Recho kwa Kizungu kile cha kwenye televisheni.
Juma alikuwa siriazi na jambo hilo, alikuwa tayari kufanya makosa sehemu nyingine lakini si sehemu kama hiyo, hasa anapokuwa na msichana chumbani kwake.
Juma hakutaka kumaliza nguvu zake kwa Recho kwani alijua alikuwa na gemu matata sana hapo baadaye, hivyo alifanya kikawaida sana na alipomaliza, wakabaki wakiangaliana kitandani.
“Vipi?” aliuliza Juma huku akimwangalia msichana huyo.
“Yaani wewe kila nikija unataka tufanye mapenzi,” alisema Recho kama alikuwa akilalamika fulani hivi.
“Sasa wewe ulitaka tukae tuongee tu jamaniiiii! Aya niambie kilichokufanya kutaka kuniona,” alisema Juma huku akimwangalia Asha.
“Mh! Na wewe nawe!” alisema Recho.
Ni kawaida ya msichana, hata kama alikuwa amelifuata penzi hakuwa tayari kulisema hilo, alizugazuga lakini ukweli ni kwamba alifuata penzi la mwanaume huyo kwani alilimisi sana.
Walikaa na kuzungumza na ilipofika majira ya saa kumi jioni, akaaga, Asha akamchukua na kumsindikiza. Juma akatoka na kuelekea bafuni, akajimwagia sasa akatulia na kuanza kumsikilizia huyo Bupe.
Alimkumbuka jinsi alivyokuwa, msichana huyo hakuwa na masihara, aliumbika, alikuwa na msambwanda wa maana na muda wote alikuwa akimfikiria, alitamani sana kuona akionana naye na kumuweka ndani ya chumba hicho.
Akampigia simu, simu hiyo ilikuwa ni kama kumkumbusha kwamba hakutakiwa kumsahau, akajifanya kumsalimia na kumwambia alimaliza kazi zote hivyo alikuwa akimsubiri nyumbani kwao.
“Mwanaume una presha sana jamaniiii!” alisema Bupe.
“Lazima niwe na presha bwana! Nina hamu ya kumuona mwanamitindo wangu, mwanamke anayejua kuvaa kuliko wote hapo Mwembechai,” alisema maneno ambayo yalimfanya Bupe kufurahia tu, hakujua kama maneno hayo yalikuwa na mtego wake.
“Jamani nitakuja! Usiwe na presha, umesikiaeeee...” alisema Bupe.
“Sawa bhana! Mimi nakusubiri!” alisema Juma.
Moyo wake ukaridhika, sasa akajua kabisa kulikuwa na uhakika wa Bupe kufika nyumbani hapo. Alikaa kwa dakika chache, akaamua kumuita Asha, ilikuwa ni lazima ampange kabisa asije kuharibu kwani mtu aliyekuwa akija muda huo alikuwa muhimu sana.
“Asha! Nataka umpokee mgeni wangu mwingine,” alisema Juma huku akimwangalia Asha.
“Sawa. Ni nani?”
“Bupe!”
“Ndiye nani?”
“Nilionana naye jana pale Oilcom!”
“Jana?”
“Ndiyo!”
“Na leo anakuja?”
“Ndiyo!”
“Mh! Wewe kaka’angu utakufa,” alisema Asha.
“Hakuna atakayebaki hai!”
“Ila wewe utakufa kifo kibaya sanaaaaa....”
“Tulia weweeeeee...” alisema huku akicheka.
Alimpanga Asha kwamba Bupe angefika hapo kwa bodaboda hivyo alitakiwa kwenda kumpokea. Huyo hakutakiwa kuwa kama Recho kwa maana kwamba hakutakiwa kufika sebuleni bali alitakiwa kupelekwa chumbani moja kwa moja.
Hilo halikuwa tatizo, akakubaliana naye na hivyo kuanza kusubiri. Ndani alikuwa na presha kubwa, hakujua gemu yake na Bupe ingekuwaje siku hiyo kwani alitamani sana kuwa na msichana huyo kupita kawaida.
Alikaa mpaka majira ya saa kumi na mbili, akasikia simu yake ikiita, haraka sana akaipokea, alikuwa Bupe ambaye alimpigia kwa namba ngeni.
“Ndiyo nakuja, nielekeze,” alisema. Akaanza kumuelekeza kwa makini kabisa na kumwambia dada yake angekwenda kumpokea kwani alikuwa na kazi anafanya, msichana huyo akakubali.
Alipokata simu, akamuita Asha na kuanza kumpanga kwamba huyo Bupe alikuwa njiani, hivyo alitakiwa kujiandaa kwenda kumpokea kwa kuwa angefika kwa bodaboda muda si mrefu.
Kama alivyosema ndivyo ilivyotokea, baada ya dakika kadhaa, simu yake ikaanza kuita, alipoipokea, sauti ya Bupe ikasikika na kumwambia alifika alipomwambia afike, akamuita Asha, akampa elfu tano na kumwambia akamchukue msichana huyo.
Haraka sana Asha akaenda huko, alipofika, akamchukua na kuanza kuongozana naye kuelekea nyumbani. Njiani walikuwa wakiongea kana kwamba walikuwa wamezoeana kwa kipindi kirefu, waliongea mpaka walipoingia nyumbani kwa mlango wa uani ambapo moja kwa moja Bupe akapitishwa mpaka geto kwa Juma.
Juma alipomuona tu, haraka sana akainuka kutoka kitandani na kumsogelea msichana huyo, akamkumbatia na kumwangalia usoni.
“Umependeza kama kawaida yako! Hujawahi kuniangusha,” alisema Juma huku akimwangalia Bupe usoni.
“Umeshaanza kunifunga kamba!” alisema msichana huyo.
“Hamna! Huo ndiyo ukweli! Hebu jiangalie,” alimwambia huku akimshika mkono na kuanza kumzungusha, basi Bupe akajisikia rahaaa.
“Na Mungu amekubariki sana, akaamua kukuongezea ongezea nyama huku nyuma ilimradi tu uje kuturusha roho ,” alisema Juma huku akimwangalia Bupe kwa matamanio makubwa.
Bupe akaanza kujisikia aibu.
Baada ya kuongea kwa dakika kadhaa, Juma akatoka na kwenda kumnunulia kinywaji mgeni, akamchukulia soda na viepe kwani alimwambia ana njaa hivyo alitaka kula kwanza kabla ya mambo yoyote yale.
Kwa Juma hakuwa na tatizo lolote lile, kwake alifurahi kwa kuona sawa tu kwani mwisho wa siku ilikuwa ni lazima kukamilisha alichokuwa akikihitaji.
“Ila yule manzi amejazaaaa...” alisema huku akielekea kwa muuza chipsi.
“Halafu mtu anakwambia uzinzi dhambi! Sasa kweli umekutana na mtu kama Bupe, kweli kuna dhambi hapo? Kama ni dhambi kwa nini Mungu amempa nyama za nyongeza kama zile?” aliuliza, yaani alijitahidi kwa nguvu zote kutetea hoja yake kwamba uzinzi haukuwa dhambi hata kidogo.
Siku hiyo hakutaka kuzungumza lolote na watu wengine, alikuwa na haraka sana, ule mzigo aliouacha chumbani kwake haukuwa wa kawaida na haukutakiwa kupotezewa muda hata kidogo.
“Juma...” alisikia akiitwa, alipogeuka, macho yake yakatua kwa mshikaji wake aliyeitwa Ramadhani.
“Niambie!”
“Mzee baba unatisha!” alisema Ramadhani huku akimwangalia Juma.
“Kwa nini?”
“Nimekuona na Rukia jana! Yule manzi watu wanamsaka sana halafu mtoto anakaza, jana tumekuona naye, atanusurika kweli?” aliuliza Ramadhani huku akimwangalia Juma, alimjua, mtu huyo hakuwa na masihara hata kidogo hasa kwa sekta ya wanawake kama hiyo.
“Kwa nini asinusurike, siku hizi nimeacha mambo hayo!” alisema Juma.
“Hahaha! Huwezi kuacha, labda upunguze. Na vitu vyote unavyoviona kwa dada wa wenzio, kuna msela kaviona kwa dada yako,” alisema jamaa huyo huku akicheka.
“Alizaliwa msichana kwa ajili ya hayo, kuijaza dunia, kama kweli unamtaka, mfuate kwani ukishindwa, nitamfuata dada yako,” alisema Juma na wote kuanza kucheka.
Hapo Ramadhani alimkumbusha kuhusu Rukia, alimsahau kabisa kwa kuwa alikuwa na mambo mengi. Akachukua simu yake na haraka sana akampigia msichana huyo na kuanza kuzungumza naye.
Alikuwa na tamaa na hakutaka kumuacha msichana yeyote aliyekuwa akikatiza mbele yake na ndiyo maana hata huyo Rukia kumuacha ilionekana kama dhambi kubwa mbele yake.
Je, nini kitaendelea?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
