Bwana Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 4,298
- 9,249
ndio maana kila siku tunawakumbusha hawa chawa mbogamboga maisha yanapita wale uliowabambikia kesi kuna siku utakutana nao ukiwa huna mamlaka wala pesa.
Kunywa lubisi sio kiashiria cha kuchoka.Bashungwa na ukatili wake umemrudia. Mungu mkubwa.
SISEMI HANA HELA, HAPANA, UNAONA KABISA KUWA AMEKONDA KWA KIASI FULANI.........TAFUTA PICHA ZAKE AKIWA WAZIRI WA ULINZI.....Kunywa lubisi sio kiashiria cha kuchoka.
Lakini amekonda kwa kiasi fulani sana. siyo kwamba hana heal, hapana. hela anazo san, ile kukosa madaraka, kuwa nje y mfumo wa ccmMushaija anadumisha mila kwa kugida kinywaji asilia/rubisi.
Mbona maelezo na video ni vitu viwili tofauti. Happ huyo baba anamwambia walichukua mita. Yeye wnauliza wako wangapi? Kamq unadhani kafulia, hata huyo jamaa na mke wake wana ela na mashamba ya mikahawa na kiwanda cha mama alaskaBashungwa na ukatili wake umemrudia. Mungu mkubwa.
Nasema amekonda. Amechoka na si kwa vile hana hela, hapana hela anayo. Ile kukosa madaraka, kuwa nje ya core family ya ccmMbona maelezo na video ni vitu viwili tofauti. Happ huyo baba anamwambia walichukua mita. Yeye wnauliza wako wangapi? Kamq unadhani kafulia, hata huyo jamaa na mke wake wana ela na mashamba ya mikahawa na kiwanda cha mama alaska
Hajawahi kuwa bonge huyo ana mwili wakihayaNasema amekonda. Amechoka na si kwa vile hana hela, hapana hela anayo. Ile kukosa madaraka, kuwa nje ya core family ya ccm
Hakafulia, hela anazo sana tena sana. Ile kikosa madaraka na kuwa nienya mfumonwa core ccm.....it seems inamtesa sana. AmekondaMbona maelezo na video ni vitu viwili tofauti. Happ huyo baba anamwambia walichukua mita. Yeye wnauliza wako wangapi? Kamq unadhani kafulia, hata huyo jamaa na mke wake wana ela na mashamba ya mikahawa na kiwanda cha mama alaska
Hilo la mwili kupungua nimeliona kweli.SISEMI HANA HELA, HAPANA, UNAONA KABISA KUWA AMEKONDA KWA KIASI FULANI.........TAFUTA PICHA ZAKE AKIWA WAZIRI WA ULINZI.....
YesMnyambo