Endeleeni kujifariji 2020 itafika atarudi tena madarakani.Na pengine ana file la kumbukumbu mahali na doze
Heshima kwako kaka mkuu.Mwalimu haingii darasani bila ANDALIO LA SOMO! Mhubiri haingii nyumba ya ibada bila msahafu na vifungu rasmi vya kusoma... Mwanasiasa makini hapandi jukwaani kuhutubia bila kuwa na dondoo rasmi
Haya hayafanyiki kwa bahati mbaya ndio maana hata kwenye vikao na mikutano mbalimbali kuna hadidu rejea na dondoo za kikao
Yote haya si kwa bahati mbaya ndio utaratibu ndio mpangilio.... Ukiwa mhutubiaji toka kichwani ni sawa na kuleta story za kijiweni ambazo hazina mwanzo wala mwisho, ni story za kiwendazimu kwakuwa haijulikani katikati utawaza nini kisha useme nini, mwisho wa siku utaishia kupayuka
We always learn from the best! Though they're not 100%perfect just like any other creature under the sunHeshima kwako kaka mkuu.
Ushauri wangu kwako na wengine
"WEKENI AKIBA YA MANENO".
kwani bin adam tumeumbwa na hatuna ukamilifu, mkamilifu pekee ni yule alotuumba.
Niwatake radhi kama kuna niliye mkwaza.
Mimi naulizia tu HADIDU ZA REJEA kwa kiingereza zinaitwaje??
kumbe aisee..poa