Chochote anachosaini Kiongozi nje ya nchi kiwe 'ceremonial' tu hadi kipitishwe na Bunge

Bora afanye mwenyewe tu na wachache anaowaamini wamsaidie mawazo Tanzania hii hatuna bunge lenye uhalali wa kupitisha chochote kwa Haki.
 
Unamaanisha Nazir Karamagi? Halafu Marekani sio kipimo cha kila kitu kwamba kikiwa chafanyika huko na huku iwe hivyo. Mikataba hadi usainiwe kuna majadiliano marefu yanakuwa yameshafanyika nyuma ya pazia. Hakuna haja ya kuwa na mashaka
 
Good idea mkuu, but one thing to note wabunge wa chama chake wanaweza kumpinga ??
 
Good idea mkuu, but one thing to note wabunge wa chama chake wanaweza kumpinga ??

Swala si kupinga
Wanaweza kuboresha pia..
Sio kupinga ndo kila kitu ..
Unaweza ukafanyiwa marekebisho kabla ya kupitishwa...
 
Tatizo ni kuwa hatuna bunge kabisa na spika ndiyo hatuna kabisa kama yupo basi ni zumbukuku mzungu wa reli ulimwengu uko huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…