The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
Niseme sijafuatilia in details mikataba aliyosaini Rais Samia huko Kenya.
Inawezekana kuna hitilafu na inawezekana ni majungu yetu ya kila siku.
Lakini kitu kimoja nilichowahi kukiona Kwa utaratibu wa serikali ya Marekani..huwa nakitamani Sana tukiweke kwenye sheria na katiba yetu.
Ni mikataba yote inayosainiwa na Rais, Makamu, Waziri Mkuu, mawaziri na yeyote Yule Kwa niaba ya Taifa hasa nje ya nje ni kuwa mikataba yeyote ambayo haijapita kwenye Bunge huwa 'sio halali'
Rais anaruhusiwa kusaini mkataba wowote ule popote pale lakini uhalali wake ni mpaka upitishwe na Bunge.
Hili kama Wamarekani wameliona umuhimu wake. Je, sisi Taifa changa?
Hivi Mnakumbuka Mustapha Karamagi alivyowahi kwenda kusaini mikataba ya madini Kwa siri na hotelin nchi ya nje usiku wa manane?
Kama tungekuwa na sheria hizi wala tusingeumiza kichwa.
Viongozi hufanya errors nyingi kwenye ziara nje ya nchi na wasingependa onekana 'vizingiti' vya mahusiano bora Kati ya nchi na nchi lakini zikiwepo sheria wala hakuna shida.
Kama hatuna hii sheria basi wabunge huu ndo wakati.
Chochote watakachaosaini viongozi wetu.
Huko nje kinakuwa 'sio halali'hadi kipitiwe na wabunge na kipitishwe Kwa kura.
Wakati wa kudai sheria hizi ndo sasa
Inawezekana kuna hitilafu na inawezekana ni majungu yetu ya kila siku.
Lakini kitu kimoja nilichowahi kukiona Kwa utaratibu wa serikali ya Marekani..huwa nakitamani Sana tukiweke kwenye sheria na katiba yetu.
Ni mikataba yote inayosainiwa na Rais, Makamu, Waziri Mkuu, mawaziri na yeyote Yule Kwa niaba ya Taifa hasa nje ya nje ni kuwa mikataba yeyote ambayo haijapita kwenye Bunge huwa 'sio halali'
Rais anaruhusiwa kusaini mkataba wowote ule popote pale lakini uhalali wake ni mpaka upitishwe na Bunge.
Hili kama Wamarekani wameliona umuhimu wake. Je, sisi Taifa changa?
Hivi Mnakumbuka Mustapha Karamagi alivyowahi kwenda kusaini mikataba ya madini Kwa siri na hotelin nchi ya nje usiku wa manane?
Kama tungekuwa na sheria hizi wala tusingeumiza kichwa.
Viongozi hufanya errors nyingi kwenye ziara nje ya nchi na wasingependa onekana 'vizingiti' vya mahusiano bora Kati ya nchi na nchi lakini zikiwepo sheria wala hakuna shida.
Kama hatuna hii sheria basi wabunge huu ndo wakati.
Chochote watakachaosaini viongozi wetu.
Huko nje kinakuwa 'sio halali'hadi kipitiwe na wabunge na kipitishwe Kwa kura.
Wakati wa kudai sheria hizi ndo sasa