Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
nilidhani ni soko la samaki feri
umekosea kidogo! Ni soko la Pantoni la Samaki wa Fish.
nilidhani ni soko la samaki feri
aiseee
ni makutano ya magumegume na magubegube
eti hii chit chat ndo nini?
Unatafuta bwana?
angalia usije ukazalishwa mchana kweupe
ni makutano ya magumegume na magubegube
Hizi coment mnazozitoa mkiwa mmekalia vitu vyenye ncha kali huwa ni matatizo matupu!
Hizi coment mnazozitoa mkiwa mmekalia vitu vyenye ncha kali huwa ni matatizo matupu!
angalia usije ukazalishwa mchana kweupe
angalia usije ukazalishwa mchana kweupe
acha kumtisha mwenzio
kwani we mkunga mama? Ama una maana gani? Unajua hizi biashara za kutowauliza mama zenu vizuri unaweza kuta unabishana na babako mzazi humu, halafu tena uko Mwanza?? Muulize mamiyo kwanza, sawa mamaa?