Chit-Chat English Language Debate, Lara1 vs Heaven On Earth.

Chit-Chat English Language Debate, Lara1 vs Heaven On Earth.

Ninaposema kutofika popote sizungumzii uwingi wa comments bali nazungumzia kutimia kwa lengo la Uzi, sidhani kama wahusika watashiriki kwa namna ambayo ungependa washiriki
 
Ninaposema kutofika popote sizungumzii uwingi wa comments bali nazungumzia kutimia kwa lengo la Uzi, sidhani kama wahusika watashiriki kwa namna ambayo ungependa washiriki

Kuna mmoja ameniambia nikiona hajaja hapa nijue kuwa hana bandle.
 
Kuna kushindwa na kushinda... Kwenye kukubali kushindwa ndio pagumu
 
Siku nyingine uwe na adabu usipende kutaja taja majina ya wake za watu humu jamvini bila idhini ya waume zao. Over.
 
Na kesho lazima wasutwe wao wanatabia mbovu sanaa yan apa nataman tulianzishe hukuu

Kufunga kwao kila uzi kunaleta mashaka

Hususan uhusiano wao na mtuhumiwa????????

Maana si wangeweza kuedit au kuondoa comment wasizozitaka???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom