ID ni hii hii moja..hakuna ingne
sasa iweje hadi leo hujapitia UKAGUZI...na unakaribia kusheherekea besidei yako ya kwanza JF?
itabidi ukaguliwe na wote kwa kuwa hukujisalimisha mapema...wote wawili?..kwani mmoja hatotosha?
haya mpendwa...!!!hiyo inatokea...
itabidi ukaguliwe na wote kwa kuwa hukujisalimisha mapema...
haya mpendwa...!!!
karibuni...sijala ubweche wa shughuli siku nyingi
Hapana sio wewe noahism ni Donn bhana acha kuniyeyusha mie haya kunywa hii juice nimekutumia na chagua uipendayo hapa ila ya parachichi naona inakufaa wewe View attachment 82184
itabidi nikualike kwenye ubweche wa kwangu maana naona una kiu na njaa ya kupata ikitu hicho
kila maungo?... aaa..sehemu zingne ni strictly prohibited
Hapana sio wewe noahism ni Donn bhana acha kuniyeyusha mie haya kunywa hii juice nimekutumia na chagua uipendayo hapa ila ya parachichi naona inakufaa wewe View attachment 82184
te te te te te.... kumbeee eeeh!
si ladyfurahia kakuletea wewe juice sio mimi