ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
unanitaka nini acha kuwa na domo mtindi lakini elewa kuwa mm ni mama paroko na wewe hujatoa zaka la mwezi wa december hivyo njoo parokiani utoe fungu lako kabla hatua kali hatujazichukua za kusimamisha uongozi wa uzee wewe Donn
nzuri sana,
eheee! mwingine huyo keshaingia humu jamani acha nitoke mie sijui mnanitafutia nini ndo mana ulimpoteza mkeo katika function ya white party wewe Filipo
Am inn plz naomba ID
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
welcome... Id ®C.C.B/885
Thnx Donn
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Am inn plz naomba ID
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
utunza hazina....!!! Umepata bibie... Njoo sasa huku nikunong'oneze kazi inavyo kwenda
Njoo ukonga nitakuonesha parokia yangu... Mi wala sikudanganyi
hapo ukonga kuna makanisa mengi sana sasa sijui niende kanisa gani nielekeza njia bhana? eti wewe kaka Filipo nimekosea hapa au nimepatia nambieeeeee