CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

Umri wangu unazidi kwenda, pia hata wadogo zangu wananishangaa brother wao. Tufanye jambo moja nalo kuweka nadhiri mbele za Mungu, atakae luka luka tu na apate kansa ya mifupa na damu kwa mpigo

Wajitia pini mchana kweupee
 
Kuepusha stres tu, hata nikiona ana cheat najua kwasababu sina kitu, kama ivi mapenzi yapo moto moto anajua account imejaa sifuri sifu nyini nyuma ya namba flani
uhwii... Umejitia kitanzi mchana kweupeeeee
 
mie, nipo hapa mnalani napata ragae ya kawaida tu ili kupunguza stres nikishakua Low nitakutafuta. Usiku mwema watu8 japo dah! Sikukuona kwenye pariti
kitu cha cocktail utapata kaka...niambie tu wapi unataka nikuangushie!!!
 
Last edited by a moderator:
kama ulimuona mtanashati mmoja aliyefungua CHAMPAIGNE...basi huyo ndio watu8

mie, nipo hapa mnalani napata ragae ya kawaida tu ili kupunguza stres nikishakua Low nitakutafuta. Usiku mwema watu8 japo dah! Sikukuona kwenye pariti
 
Hiki ni chama kipya kabisa kinachopokea mabachela wote JF... Tukiwa na mitazamo tofauti na kile cha Baba V ... Huku ni burudani... Yaani stress free.... Watu kama charminglady , stevoh na C6 munakaribishwa. Na wale mabachela wa longtym kama noahism na figganigga munakaribishwa kujinyakulia kujitwaalia nafasi za uongozi wa chama cha raha a.k.a CHIT CHAT BACHELORS... Uandikishaji umeanza... Wahi sasa

niandike aisee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom