Chipukizi Wing CCM ni kinyume cha Sheria?

Chipukizi Wing CCM ni kinyume cha Sheria?

we salia hivyo hivyo na ramli zako na wenzako wachache, wazee wa kususa na mihemko, akati wengine wanaendelea kujenga msingi, kujizatiti na kujiimarisha wanapostahili....
Unajiimarisha halafu ikifika wakati wa uchaguzi unategemea mbeleko ya vyombo vya Dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi?! Uza ubongo huo bro maana unakaa nao kwa hasara.
 
Unajiimarisha halafu ikifika wakati wa uchaguzi unategemea mbeleko ya vyombo vya Dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi?! Uza ubongo huo bro maana unakaa nao kwa hasara.
baki namna hiyo ukilalamika acha wengineo, wajinoe vyema na wanao ili uendelee kulalamika na kuchafukwa vizuri sana wewe mwenyewe, na jamii zako zote zijazo muuendelee kuwe kwenye himaya ya wanaojiandaa na kujizatiti daima...
 
baki namna hiyo ukilalamika acha wengineo, wajinoe vyema na wanao ili uendelee kulalamika na kuchafukwa vizuri sana wewe mwenyewe, na jamii zako zote zijazo muuendelee kuwe kwenye himaya ya wanaojiandaa na kujizatiti daima...
Watatoka tu, Amin usiamini, uombe tu watoke kwa amani, maana kinyume chake mtaokota maiti zao hadharani na wengine kuishia jela.
 
waliopewa ridhaa ya kuongoza nchi na wazazi wa chipukizi hao hodari, makini na madhubuti waliotayari na kujitolea kulitumikia Taifa kwa dhati na kwa uaminifu mkubwa kwa manufaa ya waTz wote...
Unazungumzia hawa hawa wezi walioashindwa almost kila kitu kuanzia maji, umeme na elimu?

Wanawafundishwa nini hao watoto ilhali wao ni incompetent kwa kila kitu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Watatoka tu, Amin usiamini, uombe tu watoke kwa amani, maana kinyume chake mtaokota maiti zao hadharani na wengine kuishia jela.
njaa njaa ni kitu mbaya sana aise,
inaasha, mihemko ,hasira na fikra za uharibifu na mauti tu🤣
Japo huna uwezo wowote

hebu kunywa walau tama la maji kidogo urilax
 
njaa njaa ni kitu mbaya sana aise,
inaasha, mihemko ,hasira na fikra za uharibifu na mauti tu🤣
Japo huna uwezo wowote

hebu kunywa walau tama la maji kidogo urilax
Ningekuwa na njaa ningekuwa najipendekeza kama ww Ili nitoke kimaisha.
 
Ningekuwa na njaa ningekuwa najipendekeza kama ww Ili nitoke kimaisha.
tones na imotions za replies zako zinaeleza kinagaubaga ulivyo na njaa, hasira na gubu dhidi ya wanaosonga mbele kwa ubunifu , bidii, kuungana na kuimarika kwao
 
tones na imotions za replies zako zinaeleza kinagaubaga ulivyo na njaa, hasira na gubu dhidi ya wanaosonga mbele kwa ubunifu , bidii, kuungana na kuimarika kwao
Kwa taarifa yako Niko hapa mjini muda mrefu, Nina mijengo kadhaa, ya kurithi na yangu binafsi. Nimeshotaka kwenye umasikini toka nikiwa mtoto. Na ndio maana sifagilii majizi Ili wanipe maisha.
 
Kwa taarifa yako Niko hapa mjini muda mrefu, Nina mijengo kadhaa, ya kurithi na yangu binafsi. Nimeshotaka kwenye umasikini toka nikiwa mtoto. Na ndio maana sifagilii majizi Ili wanipe maisha.
sasa mbona una gubu na kubabaika na maisha, kazi, mipango na bidii za wengine
 
sasa mbona una gubu na kubabaika na maisha, kazi, mipango na bidii za wengine
Mimi na majizi ni tofauti kabisa. Na Sina nafasi nitatoa kwa majizi kujidai. Kama ndio wanaokuweka mjini waambie waibe vizuri ili kibao kikigeuka msije mkaaibika pamoja.
 
Mimi na majizi ni tofauti kabisa. Na Sina nafasi nitatoa kwa majizi kujidai. Kama ndio wanaokuweka mjini waambie waibe vizuri ili kibao kikigeuka msije mkaaibika pamoja.
utachakaza nafsi yako bure tu kwa hastles za wanaofanya bidii na mambo yao.....

uta ng'ang'ana sijui fulani hivi fulani vile but huwezi fanya kitu na huwezi enda popote, na huwezi zuia mwingine asisonge mbele kwa chuki zako....
 
utachakaza nafsi yako bure tu kwa hastles za wanaofanya bidii na mambo yao.....

uta ng'ang'ana sijui fulani hivi fulani vile but huwezi fanya kitu na huwezi enda popote, na huwezi zuia mwingine asisonge mbele kwa chuki zako....
Kama ambavyo ninaowachukia hawawezi kunifanya chochote ama kunizua kuendelea, maana tayari Niko hatua nyingi mbele Yao, tena kwa mapato halali.
 
Back
Top Bottom