Wanaandaliwa kuwa wazalendo hao wanaowaandaa kuwa wazalendo ni akina nani?hata kwenye mataasisi ya kidini na yasio ya kidini wanafundishwa wasijihusishe na mahusiano katika udogo wao kwasababu kuna madhara. Wanaandaliwa hadi muda ukifika wataoa kabisa na kuwa wanafamilia bora na wenye maadili....
Hawa chipukizi wanaopikwa mapema sana ni wazalendo wa baadae watakao zima fikra potofu kama zako kwa maneno na vitendo...
Sheria zipo na zitaendelea kuwepo, umbumbumbu wa sheria kwa yeyote, hauzui wazalendo makini kusonga mbele
Aiseeeeni chipukizi na uanachama
Ni mpumbavu Tu anayeweza kuandika upupu kama huuWakati vyama vingine wanalakamika ccm wanaiba kura wao ccm wapo busy kuandaa wapiga kura wao wa baadae wanaojifunza uzalendo,ukakamavu,ujasiriamali na mengine mengi ,ccm ni dude kubwa na kauli hii ya kidumu chama chama cha mapinduzi inaanza kueleweka ,hakiwezi kudumu kama hakuna warithi.
Ongeza bidii kwenye kutafuta hela ,makasiriko yatakimbiaNi mpumbavu Tu anayeweza kuandika upupu kama huu
waliopewa ridhaa ya kuongoza nchi na wazazi wa chipukizi hao hodari, makini na madhubuti waliotayari na kujitolea kulitumikia Taifa kwa dhati na kwa uaminifu mkubwa kwa manufaa ya waTz wote...Wanaandaliwa kuwa wazalendo hao wanaowaandaa kuwa wazalendo ni akina nani?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mimi huyu?Ongeza bidii kwenye kutafuta hela ,makasiriko yatakimbia
we salia hivyo hivyo na ramli zako na wenzako wachache, wazee wa kususa na mihemko, akati wengine wanaendelea kujenga msingi, kujizatiti na kujiimarisha wanapostahili....Labda kwa mbeleko ya vyombo vya Dola. Kwa bahati mbaya kizazi kimebadilika. Hiki sio kizazi Cha ccm tena.
tafuta helaMimi huyu?
Unaturudisha palepale kwenye TAKRIMA na RUSHWAunapotosha kwa kufahamu au kutokufahamu.
Kwan hao watoto ni wanachama au chipukizi wa chama?
Watoto watabaki watoto tu.
Wacha watakuja wakwambie, sio kila MTU unayemuona humu ana njaatafuta hela
njaa tena?Wacha watakuja wakwambie, sio kila MTU unayemuona humu ana njaa
unarudi wew na wewe mwenyewe na pekeyako, wengine ndio wanamove on na wanaandaa chipukizi kutake over kwa weledi sanaUnaturudisha palepale pa TARIMA na RUSHWA
Sawanjaa tena?
Jamaa wa makasiriko watanambia nini sasa zaid ya kuyaporomosha
kwan alieshiba hatafuti hela...
alie na hela hawezi babaika na chipukizi hata kidogo...
Naona una makasiriko na hasira kama una upungufu wa kinga mwiliniMimi huyu?
Shujaa aliliona hilo, ila Mfumo ukamkataliaUnazungumzia kufanywa wazalendo au kuandaliwa kuja kulinda Mali za wizi za wazazi wao kupitia ccm? Machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataondoa huu upuuzi.
SawaNaona una makasiriko na hasira kama una upungufu wa kinga mwilini