Chinga na majina yao.

Capitano

JF-Expert Member
Apr 7, 2011
1,959
1,633
Nilimuuliza Chinga mmoja kwanini majina yao ni tofauti sana na mengine? akanijibu :aaah njomba jina langu ni nyie ndio nnaotumia sasa kwa nini niwachagulie jina zuri? kama ningekuwa nalitumia mwenyewe sawa.Duh!!!
 
Nilimuuliza Chinga mmoja kwanini majina yao ni tofauti sana na mengine? akanijibu :aaah njomba jina langu ni nyie ndio nnaotumia sasa kwa nini niwachagulie jina zuri? kama ningekuwa nalitumia mwenyewe sawa.Duh!!!
Sijaelewa kabisa, majina gani, mfano lipi hebu kuwa clear and open tuelewe unachomaanisha hapa
 
@ aine
'"nchumali njia panda, chufulia, kijiko, nyelele, pungo, nchumeno, chipoti,chikulubu n.k"
 
mkuu hiyo avatar yako ni wenyeji wa kule bondeni? naona kama wanasilimiana vile...unapewa salamu na mvua ya makofi ya dabo dabo
Nilimuuliza Chinga mmoja kwanini majina yao ni tofauti sana na mengine? akanijibu :aaah njomba jina langu ni nyie ndio nnaotumia sasa kwa nini niwachagulie jina zuri? kama ningekuwa nalitumia mwenyewe sawa.Duh!!!
 
Back
Top Bottom