Sijaelewa kabisa, majina gani, mfano lipi hebu kuwa clear and open tuelewe unachomaanisha hapaNilimuuliza Chinga mmoja kwanini majina yao ni tofauti sana na mengine? akanijibu :aaah njomba jina langu ni nyie ndio nnaotumia sasa kwa nini niwachagulie jina zuri? kama ningekuwa nalitumia mwenyewe sawa.Duh!!!
Cjakusoma kabsaaaa???
Mh!kaaazi kweli kweli, thanx@ aine
'"nchumali njia panda, chufulia, kijiko, nyelele, pungo, nchumeno, chipoti,chikulubu n.k"
@ aine
'"nchumali njia panda, chufulia, kijiko, nyelele, pungo, nchumeno, chipoti,chikulubu n.k"
Nilimuuliza Chinga mmoja kwanini majina yao ni tofauti sana na mengine? akanijibu :aaah njomba jina langu ni nyie ndio nnaotumia sasa kwa nini niwachagulie jina zuri? kama ningekuwa nalitumia mwenyewe sawa.Duh!!!