Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Mahakama nchini china imewanyonga wapenzi wawili Zhang Bo na girlfriend wake Ye Chengchen,
Kwa kuwaua kwa kuwatupa Watoto wawili (wakike Zhang Ruixue, 2, aliefia papo hapo, na wakiume Zhang Yangrui, 1 aliyefia hospital) kutoka gorofa ya 14 ya apartment waliyokua wanaishi...
Tukio hilo lilitokea Nov/02/2020, Ambapo Mwanaume aliyekua ametalakiana na mke wake mwaka 2019 alikua akitoka na mwanamke huyo Bila kumuambia ya kua ana watoto,
Baada ya mwanamke kugundua, ndipo alipoanza kumshindikiza auwe wanae hao ili waishi kwa amani lakini pia alidai wazazi wake hawatapenda yeye kuolewa na mwanaume mwenye watoto...
Baada ya ushawishi wa mara kadhaa, Mwanaume huyo siku moja kabla ya tukio alimuomba mtoto wa kike aliyekua akiishi na mama yake baada ya kugawana katika malezi, ili aje amsalimie mdogo wake, Ndipo Alipowarusha wanae hao akiwa peke yake ndani, ikiwa ni muda mchache tuu Mama yake mzazi ambaye ndiye alikua mlezi wa watato(wajukuu) kutoka na kusingizia ni ajali na alikua amelala, baadae ilibainika ni njama.
Kwa kuwaua kwa kuwatupa Watoto wawili (wakike Zhang Ruixue, 2, aliefia papo hapo, na wakiume Zhang Yangrui, 1 aliyefia hospital) kutoka gorofa ya 14 ya apartment waliyokua wanaishi...
Tukio hilo lilitokea Nov/02/2020, Ambapo Mwanaume aliyekua ametalakiana na mke wake mwaka 2019 alikua akitoka na mwanamke huyo Bila kumuambia ya kua ana watoto,
Baada ya mwanamke kugundua, ndipo alipoanza kumshindikiza auwe wanae hao ili waishi kwa amani lakini pia alidai wazazi wake hawatapenda yeye kuolewa na mwanaume mwenye watoto...
Baada ya ushawishi wa mara kadhaa, Mwanaume huyo siku moja kabla ya tukio alimuomba mtoto wa kike aliyekua akiishi na mama yake baada ya kugawana katika malezi, ili aje amsalimie mdogo wake, Ndipo Alipowarusha wanae hao akiwa peke yake ndani, ikiwa ni muda mchache tuu Mama yake mzazi ambaye ndiye alikua mlezi wa watato(wajukuu) kutoka na kusingizia ni ajali na alikua amelala, baadae ilibainika ni njama.