gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,985
- 15,950
KabaliModerator pia anaweza kuona vile inafaa.. Andiko libaki kwa mjadala ama alitie kabari
KabaliModerator pia anaweza kuona vile inafaa.. Andiko libaki kwa mjadala ama alitie kabari
Utumwa huu, siwezi kukubali kugeuzwa fala na Mwanasesere kama hivi, iwe hadharani au sirini, kamwe haiwezekani.Hapana mkuu.. Naona ni Kama hii interview ya mrema hapaView attachment 3349495
hahaaaa naambiwa pia bar zote zimefungwa barmids wote wamepewa jezi na hela wakapige vigelegele kule mkutanoni, yaani nguvu inayotumika kuangamiza upinzani na kuihalalisha siisiiemu ingetumika kwenye mambo ya msingi Dubai ingetusubiri kwa maendeleo.Tumezindua gurudumu la mama kule Idodomya
John Pombe Mrema alishawahi kuwa na akili? ndiomaana Heche anawaambia walikua wanabebwa na chama kama punda aliyembeba Yesu akajiona maarufu kumbe umaarufu sio wake.Utumwa huu, siwezi kukubali kugeuzwa fala na Mwanasesere kama hivi, iwe hadharani au sirini, kamwe haiwezekani.
incase ulikuwa hujui hiyo 5g ambayo tunaitumia sasa hivi imeanzia China.Ila kwa china inayoijua, Kuna uwezekano mkubwa 4 G ya USA, ikawa na nguvu, na imara kuliko 10 G ya china
Hii taarifa iko nusu na ina nia ya kupotosha.
China anazindua 10G kwa maana kwamba anazindua uwezo wa kupakua data ama download speed ya 10 gigabytes na sio kwamba anazindua 10G ya maana ya Generation kama 5G.
Soma hiyo taarifa hapa chini. Kinachozungumziwa kwenye 10G ni G ya Gigabytes ya kupakua data na sio G ya Generation kama ya 5G.
![]()
What Does China’s Newly Launched 10G Internet Actually Mean?
Between April 20 and 24, media outlets reported that China had launched 10G internet for the first time. According tomythdetector.com
Mi5 tena kwa Wavimba machoHata Iphone zinazotumika marekani na ulaya zinatengenezwa na hao hao.
Kwa mtu wa kawaida hiyo ni kubwa sana, kama sijakosea saivi unaweza kupata 4Gbps na kila port itapitisha 1gbps au 2gbps na hapo matumizi yawe ya Taasisi, kwa mtu binafsi 200mbps inatosha sana10Gbps kwa mtu wa kawaida Bobgo use case yake ni ipi?
Utakuwa umechanganya kidogo, jua mtu anaye miliki fiber ni USA pekee wengine wote tunanunuua kutoka kwake ikiwemo na China. Ndio maana kukitokea tatizo lolote kwenye bahari la fibercut hata mchina atakosa internet. Hapo wachina wanazungumzia kuwa wana switch zenye uweze wa kutoa internet yenye uwezo wa 10gbps. Ila fiber cable inaweza kupitisha internet yenye uwezo wa 500Gbps ndio maana tumeachana na copper wireyaani hata kama ingrkua inatumia reli kusafirisha data. Point ni kwamba wenzake bado wapo 5G katika aina hyo ya usafirishaji data. Hyo inatosha kumpa china maua yake.
Kabisa labda hiyo 10gbps iwe kwa taasisi kubwa ila kwa mtu binafsi hata ukiwa na 200mbps ni nzuriHata 5gbps ni kubwa sana kwa wabongo wengi, wengi ni YouTube, tiktok, fb Sasa hiyo 10g kwa vitu hivyo ni nonsense tu.
Situmii Starlink. Kwa Tanzania sijui kama kuna options zaidi ya kutumia ISP ambao speeds zao hazitafuka huko.Unatumia starlink? Kwa mtu alie bongo hataki kutumia router za mitandao ya simu lakini apate net kama hio unamshauri vipi?
Hata Oppo,vivo na Xiaomi na Huawei miongoni mwa simu bora duniani zimetengenezwa na huyo huyo Mchina.Tecno ili,tengenezwa na hao hao
sawa boss. ni kampuni gani ya marekani inayomiliki hyo fiber? na naomba uniambie fiber ni nini? kama hujui sema hujui. usitumie hisiaUtakuwa umechanganya kidogo, jua mtu anaye miliki fiber ni USA pekee wengine wote tunanunuua kutoka kwake ikiwemo na China. Ndio maana kukitokea tatizo lolote kwenye bahari la fibercut hata mchina atakosa internet. Hapo wachina wanazungumzia kuwa wana switch zenye uweze wa kutoa internet yenye uwezo wa 10gbps. Ila fiber cable inaweza kupitisha internet yenye uwezo wa 500Gbps ndio maana tumeachana na copper wire