China tayari imezindua 10G

China tayari imezindua 10G

Kama tumefika tulipo, huko nako tutafika, ni wakati tu
wenzenu wanafanikiwa maana wanataka kufika haraka(sasa). unakaa na mawazo ya kimasikini kudai jambo la muda... Ndo maana mpaka waafrika hatufanikiwi, maana tumezoea kula makombo. tunajua wenzetu wakichoka watatuletea. so tunasubiri tu. Inauma sana hii.
 
China tayari Imeanzisha Mtandao wa Broadband wa Kwanza wa "10G" Duniani! 🤯
Kumbuka sio 6 ah 7G ni 10G!... Mshindani wake mkubwa Marekani bado anahangaika na 6G kuitafuta 7G😀
Sisi huku Afrika tuendelee tu kunywa mtorii na kufanyiana figisu za kisiasa, hayo mengine tuyasome Kama simulizi za Alfu lela ulela au siku elfu na moja (1001)
Mvimba macho kapita na spidi ya ngiri kiyeo juu katuachia vumbi tuu😀😀😀
NB: Tudadavue uhalisia wa hii habari
View attachment 3349310


Hii 10G ni kasi ya mtandao kupitia Optic Fibres, yani nyaya... majengo yanaunganishwa na nyaya yanapata Internet yenye kasi ya 10 Gigabytes kwa Sekunde kutuma au kupokea data kwenye Internet... ni tofauti na 5G ambayo yenyewe ni Wireless kwenye kutuma na kupokea data.

10G ni inatumia Waya kutuma data
5G ni Wireless kwenye kutuma data
 
Hii taarifa iko nusu na ina nia ya kupotosha.

China anazindua 10G kwa maana kwamba anazindua uwezo wa kupakua data ama download speed ya 10 gigabytes na sio kwamba anazindua 10G ya maana ya Generation kama 5G.

Soma hiyo taarifa hapa chini. Kinachozungumziwa kwenye 10G ni G ya Gigabytes ya kupakua data na sio G ya Generation kama ya 5G.

Hii 10G ni kasi ya mtandao kupitia Optic Fibres, yani nyaya... majengo yanaunganishwa na nyaya yanapata Internet yenye kasi ya 10 Gigabytes kwa Sekunde kutuma au kupokea data kwenye Internet... ni tofauti na 5G ambayo yenyewe ni Wireless kwenye kutuma na kupokea data.

10G ni inatumia Waya kutuma data
5G ni Wireless kwenye kutuma data
 
Hii 10G ni kasi ya mtandao kupitia Optic Fibres, yani nyaya... majengo yanaunganishwa na nyaya yanapata Internet yenye kasi ya 10 Gigabytes kwa Sekunde kutuma au kupokea data kwenye Internet... ni tofauti na 5G ambayo yenyewe ni Wireless kwenye kutuma na kupokea data.

10G ni inatumia Waya kutuma data
5G ni Wireless kwenye kutuma data
10G ni inatumia Waya kutuma data
5G ni Wireless kwenye kutuma data✌🏿💪🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Hii 10G ni kasi ya mtandao kupitia Optic Fibres, yani nyaya... majengo yanaunganishwa na nyaya yanapata Internet yenye kasi ya 10 Gigabytes kwa Sekunde kutuma au kupokea data kwenye Internet... ni tofauti na 5G ambayo yenyewe ni Wireless kwenye kutuma na kupokea data.

10G ni inatumia Waya kutuma data
5G ni Wireless kwenye kutuma data
yaani hata kama ingrkua inatumia reli kusafirisha data. Point ni kwamba wenzake bado wapo 5G katika aina hyo ya usafirishaji data. Hyo inatosha kumpa china maua yake.
 
10G wanamaanisha nini? What will the speeds be in megabits per second?

Kwa maana ya 10 Gbps, 10,000 megabits per second au 10G hii ya branding kama mnayoambiwa simu ina 5G halafu haifikishi hata 600 mbps?

10G ya ukweli hapo una download movie 5 za 2 gb kwa sekunde moja.

10G hiyo ujue inabidi uwe na kazi nayo maalum, kuangalia video za Youtube tu 10G utaivunjia heshima yake.

Mimi nina home network inayo support 10G nyumbani (modem, router, switches mpaka NAS devices, lall 10GB SPF cards, laptops on 2.5 gb usb3/ ethernet, and Wifi 7) na naona kabisa sijafikia matumizi ya ku exhaust hata 5Gbps let alone 10Gbps.

Unlwss wanatumia 10G ku brand na ku cobfuse watu wasiofuatilia speeds.
Unatumia starlink? Kwa mtu alie bongo hataki kutumia router za mitandao ya simu lakini apate net kama hio unamshauri vipi?
 
China tayari Imeanzisha Mtandao wa Broadband wa Kwanza wa "10G" Duniani! 🤯
Kumbuka sio 6 ah 7G ni 10G!... Mshindani wake mkubwa Marekani bado anahangaika na 6G kuitafuta 7G😀
Sisi huku Afrika tuendelee tu kunywa mtorii na kufanyiana figisu za kisiasa, hayo mengine tuyasome Kama simulizi za Alfu lela ulela au siku elfu na moja (1001)
Mvimba macho kapita na spidi ya ngiri kiyeo juu katuachia vumbi tuu😀😀😀
NB: Tudadavue uhalisia wa hii habari
View attachment 3349310
Mkuu, wewe umeielewaji hii taarifa?
 
Back
Top Bottom