kalipeni
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,585
- 1,348
Siku ya jumamosi tarehe4 jeshi la Marekani lilifanikiwa kuitungua baloon ya upelelezi, surveillance baloon/ spy baloon, kama ilivyoelekezwa na Rais Biden.
Baloon hiyo inayosemekana ni ya jamuhuri ya watu wa China, japo serikali ya China inadai lengo la hiyo baloon ilikuwa kwa ajili ya masuala ya hali ya hewa.
Swali la kujiuliza mchina aliwezaje kufikisha baloon hiyo hadi ndani ya anga la Marekani bila kugundulika na inasemekana ukubwa wake sawa ba basi kubwa 3 za kubebea wanafunzi.
Lengo la China ni nini?
Vipi kama Marekani wasingefanikiwa kuigundua na kuitungua madhara yangekuwa nini?
Na ina semekana zingine zinaonekana Mexico na Colombia.
Karibuni tujadili.
Baloon hiyo inayosemekana ni ya jamuhuri ya watu wa China, japo serikali ya China inadai lengo la hiyo baloon ilikuwa kwa ajili ya masuala ya hali ya hewa.
Swali la kujiuliza mchina aliwezaje kufikisha baloon hiyo hadi ndani ya anga la Marekani bila kugundulika na inasemekana ukubwa wake sawa ba basi kubwa 3 za kubebea wanafunzi.
Lengo la China ni nini?
Vipi kama Marekani wasingefanikiwa kuigundua na kuitungua madhara yangekuwa nini?
Na ina semekana zingine zinaonekana Mexico na Colombia.
Karibuni tujadili.
