China na Wenzake watulipe 25% ya faida wanayoipata kutokana na bidhaa wanazouza hapa Tanzania

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Nimeona clip ya Trump ya zamani akilalama kuwa Marekani inagandamiwa kichumi na nchi zinazouza bidhaa mbalimbali nchini Marekani . Mimi kwa upande wangu naona ni wazo zuri sana. Tutunge sheria Nchi yoyote inayouza bidhaa Tanzania itulipe asilimia 25 ya faida wanayoipata kwa kuuza bidhaa Tanzania kwa mwaka. Nahii iwe tofauti kabisa na ushuru na kodi zingine za kawaida zilizopo
.
 
Kwani hao wa US walilifanyia kazi hilo wazo la Donald, Na kama wanalifanyia kazi itakuwaje pale muuzaji akipata hasara, je watamfidia kwa hizo 25% pia?
 
Wewe ni mjinga!
Kwanini unataka wakulipe?
Na wewe uko tayari kulipa kule unakouza bidhaa?
Poor JPM, amezungukwa na watu kama wewe ambao ni mentally handcaped
 
Wewe ni mjinga!
Kwanini unataka wakulipe?
Na wewe uko tayari kulipa kule unakouza bidhaa?
Poor JPM, amezungukwa na watu kama wewe ambao ni mentally handcaped

Yeah lakini tuanauza kidogo kuliko kununua
 
USA wanaongelea viwanda vya makampuni ya marekani ambavyo vimehamishiwa china na sehemu nyingine. Makampuni hayo hulazimika kulipa 25% kama coopetate tax.

Yaani ni kampuni za marekani...ila zinafanyia shughuli zao nje ya marekani hususani china.
 
Na kesho unawapa kazi ya kujenga reli ya Standard Gauge ambayo hela yote inarudi China lakini pia umepiga marufuku uagizaji wa nguo za mitumba kwa kutegemea nguo za viwango duni kutoka China

Washauri wa kiuchumi wa nchi hii wanafaa kufukuzwa kazi mara moja
 
Nimeona clip ya Trump ya zamani akilalama kuwa Marekani inagandamiwa kichumi na nchi zinazouza bidhaa mbalimbali nchini Marekani . Mimi kwa upande wangu naona ni wazo zuri sana. Tutunge sheria Nchi yoyote inayouza bidhaa Tanzania itulipe asilimia 25 ya faida wanayoipata kwa kuuza bidhaa Tanzania kwa mwaka. Nahii iwe tofauti kabisa na ushuru na kodi zingine za kawaida zilizopo
.

Na wewe utoe gharama ya 25% ya hewa unayovuta bure bila kuilipia chochote.
 
Nimeona clip ya Trump ya zamani akilalama kuwa Marekani inagandamiwa kichumi na nchi zinazouza bidhaa mbalimbali nchini Marekani . Mimi kwa upande wangu naona ni wazo zuri sana. Tutunge sheria Nchi yoyote inayouza bidhaa Tanzania itulipe asilimia 25 ya faida wanayoipata kwa kuuza bidhaa Tanzania kwa mwaka. Nahii iwe tofauti kabisa na ushuru na kodi zingine za kawaida zilizopo
.

Wakiacha au kukataa bidhaa zao zisiuzwe humu nchini utapata wapi unavyotumia hapo nyumbani kwako. Huwezi hata kujitengezea pichu, watz buana hata dawa ya mswaki huwezi.
 
Back
Top Bottom