China na Russia kamwe hawawezi kutumia hiyo chanjo ya mRNA ya kampuni ya Pfizer (Billgate) na BioNTech (Mjerumani): Kwa nini Afrika tulazimishwe?

Hivi sisi wa Africa hatuna wana sayansi wa kufanya research na kututengenezea chanjo bora? Au wanafundishana wenyewe tu wazungu na kutengeza chanjo na madawa uku wanatuachia sayansi ya kulalamika tu.

Kila siku tunalilia hatukaki vipimo, hatutaki chanjo wanataka kutuua, wana sayansi wetu wako wapi watutengengezee dawa na chanjo bora.

Vyuo vyetu vinafundisha nini? Tofauti nini na wanacho fundishwa hawa wenzetu ambao kutwa wanatungenezea sisi dawa.

Umuhimu wa Afrika kwenye sayansi nini zaidi ya kuwa kifaa cha majaribio?
 
 
 
Hakuna scientists kilaza ksma wewe, gundua sasa ya kwako
 
HII NDIO POINT YA MSINGI KABISA, MNAOMSHAURI MH. RAISI MFIKISHIENI HUU UJUMBE. TUMECHELEWA LAKINI SIO MBAYA. HUKO TUENDAPO INAONEKANA KUTAKUA KUBAYA ZAIDI.

ZIJENGWE MAABARA ZA KISASA KWA AJILI YA HAYA MAMBO.
 
Du eti gharama ni kubwa. Kwa hiyo gharama ya maisha na gharama ya 3000 kwa siku ipi kubwa?

Kukazwa hospitali siku moja sio Chini ya 30,000 hapo ni kitanda tu ukiweka gharama matibabu ventilator au oxygen etc. Maana yake kuvaa barakoa ni rahisi kuliko gharama ya matibabu plus mateso ya siku za kuugua na hatimae hata kufa.

Mtu anaweza kushona hata barakoa tano zikamsaidia kwa asilimia Fulani kuliko Hali ilivyo.

Kuhusu wahudumu wa afya eti ni gharama kubwa laki tano. Si serikali ilipewa msaada zaidi ya 200m USD na wanasema wanazielekeza kuwakinga first line soldiers. Sasa eti zimekuwa ghali, sitabishana Tena wajinga kilichobakia ni kukaa kimya ili umuona baba na mamako wakifa, wanao na mkeo na wewe uwe wa mwisho ili upate uchungu kabla na wewe kupata Hilo pigo
 
siasa nyingi sana afrika. walichotuzid wenzetu wao wamewekeza kwenye science. kuna funds za kutosha ndio maana chanjo zinapatikana.

afrika ni reverse.. sisi tunawekeza kwenye siasa. ndio maana hata wasomi wetu wanakimbilia siasa.
 
Wanajeshi wetu wanonekana kama wavietinam sembuse hayo madubwasha mkuu.
 
Issue sio kuchangia, hapa issue ni kwa sababu gani amechangia
 
Hawa wazungu wamehakikisha wameua elimu yetu kwa kuifanya digital only. Yaani hatufundishi tena ile original. Utakuta medical students wetu wanafanya human anatomy dissection kwenye computer yenye digital cadaver. Laboratory technician anafundishwa kutumia tu kutumia computerized machines zinazopima vipimo vyote. Kazi yake ni ku press tu a button kwenye hiyo mashine na kupata results ya hiko kipimo. Hafundishwi kufanya Gimsa stain manually kwani inafanywa na digital machine iliyokuwa fed na gimsa application na mzungu. Utakuta daktari hawezi kufanya diagnosis bila CT scan au MRI machine. Hafundishwi tena manual science ya kuweza kufanya diagnosis bila hiyo mashine ya CT scan. Yaani yeye anaiamini hiyo CT scan kuliko brain yake kwani brain yake haikufundishwa hivyo. Kwa hiyo yeye hawezi kutengeneza digita applications za hiyo CT scan kuiboresha na hivyo anavyotaka CT scan hiyo imfanyie.

Wenzetu wazungu wanakazana na hiyo original education ya manual na kui advance. Digital applications wanazitengeneza tu kurahisisha kazi za manual walizozigundua. Sasa sisi tunaona utumiaji wa hizo automated applications kuwa ndiyo elimu. Kwa hiyo mtu hata wa darasa la saba tu unaweza kumfundisha kufanya vipimo vyote anavyofanya laboratory technician wetu ndani ya mwezi mmoja tu na hawatakuwa na tofauti ye yote ya maana.
 
Pole! Unavyolalama ni kama huyu jamaa ni nabii wa magonjwa. Is he one of your brothers? Kama hujui kinachoendelea duniani, stop that unnecessary agape!
 
Napenda sana watu wanaoanalyse mambo namna hii badala ya kukimbilia ku conclude.
umesema kweli sana.
 
Fuatilia katika google shirika taasisi inaitwa GAVI, na mwaka jana waliingia december, Tanzania kupitia wizara ya afya kuandaa mazingira ya chanjo kabla mh. Hajapiga ban.
Kama ilivyokuwa mkutano wa berlin, mabeberu waligawana makoloni basi sasa hv wanagawana masoko. Ndio maana gates na gavi yake na wenzake wamelenga africa, urusi ana yake, china ana yake, marekani na Europe wana zao pia tofauti.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…