Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Hivi sisi wa Africa hatuna wana sayansi wa kufanya research na kututengenezea chanjo bora? Au wanafundishana wenyewe tu wazungu na kutengeza chanjo na madawa uku wanatuachia sayansi ya kulalamika tu.
Kila siku tunalilia hatukaki vipimo, hatutaki chanjo wanataka kutuua, wana sayansi wetu wako wapi watutengengezee dawa na chanjo bora.
Vyuo vyetu vinafundisha nini? Tofauti nini na wanacho fundishwa hawa wenzetu ambao kutwa wanatungenezea sisi dawa.
Umuhimu wa Afrika kwenye sayansi nini zaidi ya kuwa kifaa cha majaribio?
Kila siku tunalilia hatukaki vipimo, hatutaki chanjo wanataka kutuua, wana sayansi wetu wako wapi watutengengezee dawa na chanjo bora.
Vyuo vyetu vinafundisha nini? Tofauti nini na wanacho fundishwa hawa wenzetu ambao kutwa wanatungenezea sisi dawa.
Umuhimu wa Afrika kwenye sayansi nini zaidi ya kuwa kifaa cha majaribio?