Anonymous101
Senior Member
- Sep 21, 2015
- 176
- 66
Ina maana hujawahi sikia wanafunzi wa Tanzania wanavyoteseka na kunyanyasika
Huko nje na RAIA wa kawaida jee bunguni hujasikia wanavyoteswa na wazawa ila sijui mnataka prestigious kitaa haya kila
Sio wote wanapitia hizo experiences.Ina maana hujawahi sikia wanafunzi wa Tanzania wanavyoteseka na kunyanyasika
Huko nje na RAIA wa kawaida jee bunguni hujasikia wanavyoteswa na wazawa ila sijui mnataka prestigious kitaa haya kila LA KHERI kijana