China isingemchelewesha Lowassa

badala uzungumzie pembe za ndovu na gesi wanazobeba wachina unatuletea use... naamin wewe ni kijana leta mada hot tuchangie sio huo upuuzi
 
Wanaomshabikia EL hawana point zaidi ya mihemko tu, ingawa n kweli ili taifa liende mbele linahitaji vyama vya upinzani kwa wingi bungen lakini si kwa kumuweka EL awe raisi, EL kwake n segerea tu
 
magufuli anafaa siyo fisadi na hana marafiki mafisadi

Ni kweli kabisa kuwa yeye hana tuhuma za ubadhirifu wa mali ya umma, matumizi mabaya ya madaraka na kuitia hasara serikali?

Magufuli ni CCM. Tuichague CCM? Hivi mmegundua ufisadi ni tatizo leo ilhali miaka yote mmekuwa mkiufanya?
 
kama china walikuwa hawacheleweshi mbona lowasa hajanyongwa wakati sheria hizo zito tanzania ya kunyonga mpaka kufa

Sio Lowasa, kuna mmoja alishikwa live huko huko na wakasubiri kuweka mikataba ya kutuibia kisa wasimuue huyo mtu wao. Wachina ni wachina kweli kama bidhaa zao zilivyo. Na hata ingekuwa hivyo ccm wangebaki sasa! wote wangenyongwa
 
Ingefaa nje ya wana siasa ianzishwe opresheni moja kabambe komboa nchi kwa kweli kwa Tz sijaona wana siasa wakweli wenye moyo na nchi hii wote wezi wanaitafuna nchi yetu kama mchwa, wanaifaidi keki ya taifa peke yao kwa kweli inauma sana
 
Lazima ahukumiwe na kufungwa baada ya Dr Magufuli kuwa rais. Huyo ni jambazi, mwizi, fisadi, muomngo lagai, mtoa rushwa kanunua chadema na anataka kumuua dr slaa

Ata anzia wapi wakati na yeye anayake, Riporti ya CAG inaonyesha mabilion ya shillingi i hasara ya kuchelewa kulipa makandarasi hii tu yatosha angekuwa CHINA ukiacha uuzaji wa nyumba holela.
 
Wewe mwenyewe umesema mpaka1995 alikuwa wazili wa ardhi bado tena 2000akawa wazili wa maji mhuuuu!!! ����������hiv hujiuliz kama alikuwa anafanya vizur kama alifanya vibaya wala asingerud madalakani, rudi kajipange tena upya, lowasa ndo kipenz cha weng, kwa hiyo unatushauli tuchguwe ccm? Au tupe bas ushauli tujuwe..
 
kama ni risasi boss wake wa kipindi hicho angekua wa kwanza kutunguliwa
 
Taabu yako wewe ni kukariri; sijui ulisoma shule moja na Magufuli??!! uzi mrefu mantiki sifuri! Uchina ipi unayoijua wewye? au unataka nasisi tuanze biashara ya kukariri kariri kama mgombea fulani alivyokariri vitoweyo?!
 
Back
Top Bottom